RJ45 JF-Expert Member May 20, 2014 337 113 Nov 18, 2019 #42 Hivi kuna ukweli kwamba ukiomba zaidi ya nafasi moja kwa taasisi moja kupitia ajira portal huchagiwi kabisa hata kama huna vigezo?!
Hivi kuna ukweli kwamba ukiomba zaidi ya nafasi moja kwa taasisi moja kupitia ajira portal huchagiwi kabisa hata kama huna vigezo?!
Kayoka JF-Expert Member Jun 21, 2011 2,239 1,884 Nov 19, 2019 #43 RJ45 said: Hivi kuna ukweli kwamba ukiomba zaidi ya nafasi moja kwa taasisi moja kupitia ajira portal huchagiwi kabisa hata kama huna vigezo?! Click to expand... Unataka kumaanisha nini Mkuu? Hebu weka swali lako vizuri....
RJ45 said: Hivi kuna ukweli kwamba ukiomba zaidi ya nafasi moja kwa taasisi moja kupitia ajira portal huchagiwi kabisa hata kama huna vigezo?! Click to expand... Unataka kumaanisha nini Mkuu? Hebu weka swali lako vizuri....
L Local Mwalimu Member May 12, 2019 16 17 Jan 6, 2020 #44 Mbona watu wa VETA option za koz zao hakuna Sent using Jamii Forums mobile app
Converse Member Mar 19, 2018 60 92 Feb 4, 2020 #45 Napenda kufahamu majina yaliyobaki kwenye data base ya serikali huishiwa nguvu ( Expire) baada ya muda gani baada ya wasailiwa kuitwa kazini Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kufahamu majina yaliyobaki kwenye data base ya serikali huishiwa nguvu ( Expire) baada ya muda gani baada ya wasailiwa kuitwa kazini Sent using Jamii Forums mobile app