mozambiqueone
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 232
- 119
Endapo mteja ulikuwa unachangia kwa hiari katika Mfuko ambao nimeutaja, ikifika wakati wa kujiondoa kwa ujumla, kuna fedha yeyote utakatwa au unapewa fedha yote kama ulivyochangia?.
Kama kuna mmoja wetu alishatumia huduma hii, changamoto yake ni nini hasa.
KARIBU.
Kama kuna mmoja wetu alishatumia huduma hii, changamoto yake ni nini hasa.
KARIBU.