tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,946
- 25,168
Waungwana,
Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya kiofisi ya uhakika ya PSPF ARUSHA.Hasa E-mail, hata kama una mawasiliano ya mfanyakazi ambaye ni ndugu ama rafiki.
Note:
E-mail yao hii ya kwenye vitabu vyao na vipeperushi hai-respond.
Ahsante sana.
Naomba msaada wa kupata mawasiliano ya kiofisi ya uhakika ya PSPF ARUSHA.Hasa E-mail, hata kama una mawasiliano ya mfanyakazi ambaye ni ndugu ama rafiki.
Note:
E-mail yao hii ya kwenye vitabu vyao na vipeperushi hai-respond.
Ahsante sana.