Protesters attack palace, party headquarters in Egypt

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
Source: CNN

Cairo (CNN) -- Protesters marching on Egypt's presidential palace Tuesday night broke through barbed wire around the building and hurled chairs and rocks at retreating police.

Officers lobbed tear gas back at them.

After initial clashes, police drew behind fences and protests were peaceful for several hours.

More violence broke out at the headquarters of the Freedom and Justice Party in Menia, south of Cairo. At least 19 protesters were injured, according to Mahmoud Amin, who is in charge of ambulance operations outside the palace.

Read more:Protesters attack palace, party headquarters in Egypt - CNN.com
 
Huyo Morsi naona his days are numbered, watamnyofoa na yeye
 
It will never stop in Egypt and those same people have rather consistently mourned his fall in the pages of much bathroom wiping material since then (less so lately, because Morsi is proving to be a somewhat acceptable replacement for their interests, though he is provoking too much interest and negative attention at the moment). What phrase for this situation would be acceptable to you?
 
Source: CNN

Cairo (CNN) -- Protesters marching on Egypt's presidential palace Tuesday night broke through barbed wire around the building and hurled chairs and rocks at retreating police.

Officers lobbed tear gas back at them.

After initial clashes, police drew behind fences and protests were peaceful for several hours.

More violence broke out at the headquarters of the Freedom and Justice Party in Menia, south of Cairo. At least 19 protesters were injured, according to Mahmoud Amin, who is in charge of ambulance operations outside the palace.

Read more:Protesters attack palace, party headquarters in Egypt - CNN.com



Hawa viongozi wa kiafrika wanababaika na pesa za misaada toka nje. Utakuta kiongozi anaingia madarakani kwa lengo la kufilisi nchi ili asaidie ukoo na marafiki zake. Mwaka jana Misri walimfukuza Mubarak kuwa ni mwizi na dikteta na huyu kijana wa sasa ndiye aliyekuwa anapinga vikali vitendo vya Mubarak mpaka wamisri wakampenda na kumfagilia. Leo hii anataka kuleta absolute power (kama ya Mubarak) na sheria kuwa yeye yuko above the law. Kwa kifupi anataka kuleta sheria ili awe dikteta na asiwe anaulizwa maswali hata kama akiiba kisa yeye ni Mungu mtu. Pia anataka kuleta sheria ya kiislam itawale nchi na wamisri hawataki hiyo sheria ya kiislam na udikteta wake kwani anataka kuwakandamiza watu wale wale waliomweka madarakani ili yeye aibe shinda Mubarak. Sheria ya kiislam ni ukomunist au unyanyasaji wa binadamu kwani kila mtu ana haki ya kuhamua kufanya yale ayatakaye kufanya. Wewe kama utombani eti mpake uoe ni shida yako na inakuhusu wewe, sasa kwanini ukataze watu....who are you? Wewe kama hunywi pombe ni shida yako. Wananchi wameona mbali na hawataki sheria ya kiislam nchini mwao, nawaunga mkono. Hawa viongozi wa kiafrika inabidi wanyongwe, yaani ni wezi mno na wanarudisha bara letu nyuma kiasi tunadharauliwa kila kona ya dunia.
 
Hawa viongozi wa kiafrika wanababaika na pesa za misaada toka nje. Utakuta kiongozi anaingia madarakani kwa lengo la kufilisi nchi ili asaidie ukoo na marafiki zake. Mwaka jana Misri walimfukuza Mubarak kuwa ni mwizi na dikteta na huyu kijana wa sasa ndiye aliyekuwa anapinga vikali vitendo vya Mubarak mpaka wamisri wakampenda na kumfagilia. Leo hii anataka kuleta absolute power (kama ya Mubarak) na sheria kuwa yeye yuko above the law. Kwa kifupi anataka kuleta sheria ili awe dikteta na asiwe anaulizwa maswali hata kama akiiba kisa yeye ni Mungu mtu. Pia anataka kuleta sheria ya kiislam itawale nchi na wamisri hawataki hiyo sheria ya kiislam na udikteta wake kwani anataka kuwakandamiza watu wale wale waliomweka madarakani ili yeye aibe shinda Mubarak. Sheria ya kiislam ni ukomunist au unyanyasaji wa binadamu kwani kila mtu ana haki ya kuhamua kufanya yale ayatakaye kufanya. Wewe kama utombani eti mpake uoe ni shida yako na inakuhusu wewe, sasa kwanini ukataze watu....who are you? Wewe kama hunywi pombe ni shida yako. Wananchi wameona mbali na hawataki sheria ya kiislam nchini mwao, nawaunga mkono. Hawa viongozi wa kiafrika inabidi wanyongwe, yaani ni wezi mno na wanarudisha bara letu nyuma kiasi tunadharauliwa kila kona ya dunia.

Nadhani somo la lugha ya mficho ulipata sifuri
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom