Salum mgombe
Member
- Jan 14, 2020
- 22
- 12
Wazee, kama inavoonekana hapo kwa tittle.
Nilikua na ndoto yakuwa blogger na nashkuru kwa uwezo m/mungu nilifanikiwa na nikawa monetized na kampuni ya Adsense. Ila nimepitia challenge kubwa sana katika hii kampuni (kuzimiwa matangazo) ndani ya akaunt yangu kuko na $200 aisee roho inauma sana. Nimekuja na hii post ili kupata ushauri kadhaa kutoka kwa jamaa zangu mbali mbali maana nimehamia katoka hii kampuni ya PropellerAds kwasasa.
Huku kuna changamoto mambo sio mtelezo kama ilivo kwenye Adsense nadhani wakongwe mnaelewa hili. sasa nataka mbinu au ushauri kutoka kwenu kama kuko na njia mbadala yakueza kupiga $100 kwa siku ndani ya propeller baasi ningependa tushee kwa pamoja ili tusaidiane.
Salute kwa kaka #machoziyasimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua na ndoto yakuwa blogger na nashkuru kwa uwezo m/mungu nilifanikiwa na nikawa monetized na kampuni ya Adsense. Ila nimepitia challenge kubwa sana katika hii kampuni (kuzimiwa matangazo) ndani ya akaunt yangu kuko na $200 aisee roho inauma sana. Nimekuja na hii post ili kupata ushauri kadhaa kutoka kwa jamaa zangu mbali mbali maana nimehamia katoka hii kampuni ya PropellerAds kwasasa.
Huku kuna changamoto mambo sio mtelezo kama ilivo kwenye Adsense nadhani wakongwe mnaelewa hili. sasa nataka mbinu au ushauri kutoka kwenu kama kuko na njia mbadala yakueza kupiga $100 kwa siku ndani ya propeller baasi ningependa tushee kwa pamoja ili tusaidiane.
Salute kwa kaka #machoziyasimba
Sent using Jamii Forums mobile app