Naona sasa watoa propaganda wa chadema na wapinzani wengine wametulia na kupunguza propaganda zao hapa jf. Inaonekana members wenye kazi ya propaganda na uzushi wameishiwa. kazi inayofanywa na ccm wakiongozwa na kamanda wao Kikwete imeonekana kushika kasi hasa baada ya bajeti mpya kutoka na sasa watu hawana cha kusema.
Wabunge wa ccm wameanza kushughulikia matatizo kidogokidogo ndani ya chama na sasa mambo yamekuwa safi na yanategemewa kuwa safi zaidi kwenye hili bunge.
Watoa propaganda nao wameanza kujichimbia na wengine hata hawatokezi tena hapa. Balance hii ambayo wengine tumekuwa tunaiomba hapa naona sasa imepatikana na kadri Kikwete anavyoendelea kufanya kazi nzuri ya kuleta maendeleo ya nchi basi mengi mazuri yatakuja.
kidumu chama cha mapinduzi.
Wabunge wa ccm wameanza kushughulikia matatizo kidogokidogo ndani ya chama na sasa mambo yamekuwa safi na yanategemewa kuwa safi zaidi kwenye hili bunge.
Watoa propaganda nao wameanza kujichimbia na wengine hata hawatokezi tena hapa. Balance hii ambayo wengine tumekuwa tunaiomba hapa naona sasa imepatikana na kadri Kikwete anavyoendelea kufanya kazi nzuri ya kuleta maendeleo ya nchi basi mengi mazuri yatakuja.
kidumu chama cha mapinduzi.