Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,889
- 4,294
Huwa namchukia Sana mtu anayesema hakuna uchawi, huwa nahisi yeye mwenyewe ni participant mkubwa hivyo anajaribu kuwatoa watu kwenye hiyo Imani ili kulinda Siri za kuvu za Giza wazifanyazo.Pole sana ndugu. Tafuta sheikh mzuri akupige kisomo mambo yatakaa sawa tu.