Propaganda Za Mitandao

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
PROPAGANDA ZA MITANDAO

Mwaka jana niliwahi kuandika makala moja kuhusu propaganda za mitandao katika makala hiyo niliongelea kidogo kuhusu baadhi ya watu kwa kusukumwa na ushabiki wao wa kitu fulani , uhuni wao tu , ugonjwa tu , na matatizo yao mengine mbali mbali waliyonayo wanaamua kukaa katika computer zao na kuanza kuandika na kusambaza habari mbaya kuhusu watu wengine , vikundi au kampuni za wengine kwa makusudi kabisa bila kuwa na udhibitisho na habari hizo .

Watu hawa wana blogu wengine ni maarufu katika forum za watanzania na wengine wanaaminika sana kiasi kwamba wakisema chochote kwa manufaa yao basi watu wote huwafuata wao na kusikiliza kile wao wanachosema hata kama sio kwa masilahi ya taifa hili tukufu la Tanzania .

Wananchi wanaosoma blogu hizi , forum hizi na aina nyingi ya vipeperusi wawe makini sana na matangazo yao , watu hawa hawana nia njema kwa maisha ya watanzania walio wengi , wanaharifu fani ya habari na taaluma yake kwa ujumla na ndio maana wanatumia majini tofauti tofauti kujitetea au kuhalalisha hizo habari zao .

Ni kweli mtandao hauna mipaka , kabila dini wala chama lakini wengi wao wanaonekana kuishushia hadhi serikali ya tanzania , baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na chama tawala chama cha mapinduzi kwa propaganda zao ambazo hazina masilahi yoyote

Tunaheshimu uhuru wa mtu kusema au kuandika chochote katika mtandao lakini mtu anapofikia kutuma habari za uwongo zinazochochea vurugu na fujo nyingine katika jamii mtu au kundi hilo la watu hatutalivumilia wala kulikalia kimya

Watatafutwa na kufikichwa katika vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi za kusambaza habari za uwongo , chuki na visasi
 
Usitake kutisha watu wewe kibaraka mkubwa wa Mafisadi
Na wewe unaweza kuwa mmoja wapo wa propaganda za Mtandao, na eti unajiita Researcher??
Haya vielelzo vya hayo maneno yako kuwa watu wanaandika habari za uongo kuhusu serikali, viongozi, na chama tawala viko wapi?

Hivi wewe ndio unasema kweli eti unaliteta taifa na wananchi wake??
Acha unafiki na ufaidhina wewe, wewe unawezekana punguani kabisa, unaacha kufanya mambo ya muhimu ya kuwafikisha mafisadi kwenye sheria unakuja na porojo za kutisha watu!!

Sasa tutaendelea kuisema serikali pale inapokosea , viongozi wake, na chama chenu cha Mifisadi, ukiona kama ni uongo weka vigezo na kuwahakikishia wananchi kuwa hii sio kweli, sio kuja na kuleta porojo hapa!

Thank you BabaH. You made my day and there is nothing more to add.
 
Mkuu, Shy

Hii haijatulia kabisa na kwa maana ya jina ulilolichagua la Shy linaendana na mtindo wako wa kupachika hoja hapa jamvini na kukimbia pembeni ili uone what the reaction will be.

Unataka kuwa jasusi? Tazama movie za "Recruit", "Training Day" na hizo ni baadhi tu na zinafundisha kuwa mwangalifu na mtindo wa kufuata mikumbo na ushawishi usio na maana, ili mradi tu unataka kuwa mtu fulani.

Mtindo wa kutishia watu bila sababu za msingi ni ujinga kama si upumbavu. Kama hujui ni kwamba kuna tofauti kubwa kati ya mtu mjinga na yule mpumbavu. Kwa hio jinsi ukakavoendelea kuleta hoja zako zisizo kichwa wala miguu, unaweza ukajikuta una-fit katika moja ya hizo "criterias".

Kwanza ni nani amekutuma kuleta hio ajenda yako hapa?

Wakikutuma tena wewe changanua kwanza kabla ya kuanza kuandika hayo mambo yako ya ajabu.
 
Usitake kutisha watu wewe kibaraka mkubwa wa Mafisadi
Na wewe unaweza kuwa mmoja wapo wa propaganda za Mtandao, na eti unajiita Researcher??
Haya vielelzo vya hayo maneno yako kuwa watu wanaandika habari za uongo kuhusu serikali, viongozi, na chama tawala viko wapi?

Hivi wewe ndio unasema kweli eti unaliteta taifa na wananchi wake??
Acha unafiki na ufaidhina wewe, wewe unawezekana punguani kabisa, unaacha kufanya mambo ya muhimu ya kuwafikisha mafisadi kwenye sheria unakuja na porojo za kutisha watu!!

Sasa tutaendelea kuisema serikali pale inapokosea , viongozi wake, na chama chenu cha Mifisadi, ukiona kama ni uongo weka vigezo na kuwahakikishia wananchi kuwa hii sio kweli, sio kuja na kuleta porojo hapa!
JIBU HOJA WACHA JAZBA . HUMU JAMVINI HOJA HUPASWA KUJIBIWA KWA HOJA NA SI VINGINEVYO.
KUSOMA MMESOMA LAKINI BADO MAMBUMBUMBU.
 
PROPAGANDA ZA MITANDAO

Mwaka jana niliwahi kuandika makala moja kuhusu propaganda za mitandao katika makala hiyo niliongelea kidogo kuhusu baadhi ya watu kwa kusukumwa na ushabiki wao wa kitu fulani , uhuni wao tu , ugonjwa tu , na matatizo yao mengine mbali mbali waliyonayo wanaamua kukaa katika computer zao na kuanza kuandika na kusambaza habari mbaya kuhusu watu wengine , vikundi au kampuni za wengine kwa makusudi kabisa bila kuwa na udhibitisho na habari hizo .

Watu hawa wana blogu wengine ni maarufu katika forum za watanzania na wengine wanaaminika sana kiasi kwamba wakisema chochote kwa manufaa yao basi watu wote huwafuata wao na kusikiliza kile wao wanachosema hata kama sio kwa masilahi ya taifa hili tukufu la Tanzania .

Wananchi wanaosoma blogu hizi , forum hizi na aina nyingi ya vipeperusi wawe makini sana na matangazo yao , watu hawa hawana nia njema kwa maisha ya watanzania walio wengi , wanaharifu fani ya habari na taaluma yake kwa ujumla na ndio maana wanatumia majini tofauti tofauti kujitetea au kuhalalisha hizo habari zao .

Ni kweli mtandao hauna mipaka , kabila dini wala chama lakini wengi wao wanaonekana kuishushia hadhi serikali ya tanzania , baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na chama tawala chama cha mapinduzi kwa propaganda zao ambazo hazina masilahi yoyote

Tunaheshimu uhuru wa mtu kusema au kuandika chochote katika mtandao lakini mtu anapofikia kutuma habari za uwongo zinazochochea vurugu na fujo nyingine katika jamii mtu au kundi hilo la watu hatutalivumilia wala kulikalia kimya

Watatafutwa na kufikichwa katika vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi za kusambaza habari za uwongo , chuki na visasi
Well said mkuu 100%
 
Usitake kutisha watu wewe kibaraka mkubwa wa Mafisadi
Na wewe unaweza kuwa mmoja wapo wa propaganda za Mtandao, na eti unajiita Researcher??
Haya vielelzo vya hayo maneno yako kuwa watu wanaandika habari za uongo kuhusu serikali, viongozi, na chama tawala viko wapi?

Hivi wewe ndio unasema kweli eti unaliteta taifa na wananchi wake??
Acha unafiki na ufaidhina wewe, wewe unawezekana punguani kabisa, unaacha kufanya mambo ya muhimu ya kuwafikisha mafisadi kwenye sheria unakuja na porojo za kutisha watu!!

Sasa tutaendelea kuisema serikali pale inapokosea , viongozi wake, na chama chenu cha Mifisadi, ukiona kama ni uongo weka vigezo na kuwahakikishia wananchi kuwa hii sio kweli, sio kuja na kuleta porojo hapa!
Acha kujitoa ufahamu, fisadi kuu ndiyo boss wa chama lenu la wahuni watupu wenye sera ya matusi, kaa pembeni watu wenye hekima na busara tujenge nchi yetu yenye amani Tanzania.
Nyumbu hamuwezi elewa
 
Back
Top Bottom