Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 214
PROPAGANDA ZA MITANDAO
Mwaka jana niliwahi kuandika makala moja kuhusu propaganda za mitandao katika makala hiyo niliongelea kidogo kuhusu baadhi ya watu kwa kusukumwa na ushabiki wao wa kitu fulani , uhuni wao tu , ugonjwa tu , na matatizo yao mengine mbali mbali waliyonayo wanaamua kukaa katika computer zao na kuanza kuandika na kusambaza habari mbaya kuhusu watu wengine , vikundi au kampuni za wengine kwa makusudi kabisa bila kuwa na udhibitisho na habari hizo .
Watu hawa wana blogu wengine ni maarufu katika forum za watanzania na wengine wanaaminika sana kiasi kwamba wakisema chochote kwa manufaa yao basi watu wote huwafuata wao na kusikiliza kile wao wanachosema hata kama sio kwa masilahi ya taifa hili tukufu la Tanzania .
Wananchi wanaosoma blogu hizi , forum hizi na aina nyingi ya vipeperusi wawe makini sana na matangazo yao , watu hawa hawana nia njema kwa maisha ya watanzania walio wengi , wanaharifu fani ya habari na taaluma yake kwa ujumla na ndio maana wanatumia majini tofauti tofauti kujitetea au kuhalalisha hizo habari zao .
Ni kweli mtandao hauna mipaka , kabila dini wala chama lakini wengi wao wanaonekana kuishushia hadhi serikali ya tanzania , baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na chama tawala chama cha mapinduzi kwa propaganda zao ambazo hazina masilahi yoyote
Tunaheshimu uhuru wa mtu kusema au kuandika chochote katika mtandao lakini mtu anapofikia kutuma habari za uwongo zinazochochea vurugu na fujo nyingine katika jamii mtu au kundi hilo la watu hatutalivumilia wala kulikalia kimya
Watatafutwa na kufikichwa katika vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi za kusambaza habari za uwongo , chuki na visasi
Mwaka jana niliwahi kuandika makala moja kuhusu propaganda za mitandao katika makala hiyo niliongelea kidogo kuhusu baadhi ya watu kwa kusukumwa na ushabiki wao wa kitu fulani , uhuni wao tu , ugonjwa tu , na matatizo yao mengine mbali mbali waliyonayo wanaamua kukaa katika computer zao na kuanza kuandika na kusambaza habari mbaya kuhusu watu wengine , vikundi au kampuni za wengine kwa makusudi kabisa bila kuwa na udhibitisho na habari hizo .
Watu hawa wana blogu wengine ni maarufu katika forum za watanzania na wengine wanaaminika sana kiasi kwamba wakisema chochote kwa manufaa yao basi watu wote huwafuata wao na kusikiliza kile wao wanachosema hata kama sio kwa masilahi ya taifa hili tukufu la Tanzania .
Wananchi wanaosoma blogu hizi , forum hizi na aina nyingi ya vipeperusi wawe makini sana na matangazo yao , watu hawa hawana nia njema kwa maisha ya watanzania walio wengi , wanaharifu fani ya habari na taaluma yake kwa ujumla na ndio maana wanatumia majini tofauti tofauti kujitetea au kuhalalisha hizo habari zao .
Ni kweli mtandao hauna mipaka , kabila dini wala chama lakini wengi wao wanaonekana kuishushia hadhi serikali ya tanzania , baadhi ya viongozi wa serikali pamoja na chama tawala chama cha mapinduzi kwa propaganda zao ambazo hazina masilahi yoyote
Tunaheshimu uhuru wa mtu kusema au kuandika chochote katika mtandao lakini mtu anapofikia kutuma habari za uwongo zinazochochea vurugu na fujo nyingine katika jamii mtu au kundi hilo la watu hatutalivumilia wala kulikalia kimya
Watatafutwa na kufikichwa katika vyombo vya sheria ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi za kusambaza habari za uwongo , chuki na visasi