​papa msofe?
kama wamekosa habari si waandike za wema sepetu tu
Uhuru sio gazeti ni kijarida cha udaku.
sijui kama kimauzo hilo gazeti linalifikia MWANAHALISI. ni bora hao wamiliki wa hilo gazeti wakaokote skrepa huko mitaani kuliko kutunga story na kudownload picha huku JF.