greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,929
Mbowe naye anaenda magetoni kwa nyampala saa ngapi?Sabaya sasa hivi analala saa kumi jioni bila kupenda
Mbowe naye anaenda magetoni kwa nyampala saa ngapi?Sabaya sasa hivi analala saa kumi jioni bila kupenda
Majina ya wahusika wote bado yangalipoKulikuwa na organization fulan isiyokuwa rasimi kwenye vyombo vya ulinzi ambayo ilikuwa ni ya watu wa Kanda ya ziwa.
Hawa walikuwa informers na mahususi kwa yoyote anayeonekana mpenda haki na hashabikii uonezi waliokuwa wanafanyiwa upinzani hasa tangu Tundu Lissu alivyopigwa risasi.
Tuombe Mungu, Mama afanikishe haya maridhiano Ili kuwepo na mizani sawa kwa Kila chama.
Pia police department wapewe seminar waelewe kuwa wao ni civil servants na sio Wana CCM (police CCM)
Siasa za 2015 bado nazikumbuka...Dr Slaa alipishana na Lowasa mlangoni...Baadaye Lowasa akaamua kurudi kundini....sasa wote wawili hao wako nyumba mojaChadema ndio chanzo cha Lowassa kuchukiwa propaganda ilianza pale mwembe yanga labda ulikuwa hujaziliwa!