dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 5,850
- 14,510
Unakuja kijiweni unatuuliza wenye shahada,stashahada wakati huna hata muonekano wa kibosi ili tuhisi kwamba unataka kutupa ajira ila una muonekano wa kishilawadu wa kutaka kutuchora...man ukisikia matangazo ofisi zinazohitaji kuajiri watu uje utatukuta zaidi ya 10000 na vyetu vyetu tunagombania nafasi za kazi 50...