Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,228
- 6,398
Kwahiyo unataka tuseme Mungu hayupo kwa sababu pepo haipo hapa duniani? Au kwamba Mungu angekuwepo pepo ingekuwepo hapahapa duniani?Jitahidi kusoma na kuelewa
Sasa nimejibu na wewe huoni kingine zaidi malalamiko unataka nifanye vipi ili uone nimejibu.!
Au ulitaka nikuambie maji yakauke aridhini yawepo angani ili papa na nyangumi tuwaone live bila chenga, fisi simba kwa jamii yao wasiwepo maana wanatumalizia kitoweo,wazungu nao watoweke maana ni wakorofi_hapo ndio ningetosheleza kiu yako.?
Si kwamba nataka ujibu kwa kutosheoeza kiu yangu bali hukulielewa swali langu na ndiyo maana umeenda kueleza vitu tofauti na swali lililoulizwa.