Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 945
Mkuu...above 3D interaction ndo inawezekana...
The super intelligent beings with their higher dimension continuum can never interact with human being who is able to perceive at 3D ....
Only at high dimension ndo tutaweza waona hao jamaaaa...
Serikali za Majuu huko ndo wanafungia watu special na kuwafundisha mazingira ambayo ni beyond 3D ili waweze kuinteract na hao jamaa ...
Their communication is beyond time and space we own...
We have to jump into another level of spacetime range ili tuweze kuinteract nao.
Ukimsikiliza Tesla anakwambia kuwa
""" If we interact with higher beings at our lowest level of spacetime( 3D) ,our DNA can suffer a wide range of super activation"""
Alikuwa anamanisha kuwa ,tukiruhusu interaction ya moja kwa moja na hao jamaa katika mazingira yetu ya 3D ,DNA zetu zitakuwa activated kwa speed kubwa sana na watu wanaweza pata matatizo ya akili kwa sababu mind zao zitaanza kuwasiliana katika High dimension wakati mazingira uliyopo yanaruhusu interaction ya 3D katika lowest mode of operation...hence kuwafanya watu akili zao ziruke juu ...kama wewe ni mfuatiliaji wa matukio ya "human mental abduction" lazima utakuwa ushasikia kuhusu haya matukio ya watu kupotea au kuwa mazezeta pindi wakutanapo na voumbe vya ajabu ,so that is the reason behind....
Wanasema wale jamaa wana aina flani ya Frequency na Amplitude maalumu kila wanapopita katika anga la space and time ...Our DNA's can sense their presence above 3D only...
So we have to be trained first how to visualize and anticipate the higher dimension range kabla hatuja u subject mwili wetu na interaction hiyo...
Nenda American Institute of Technology utaona jinsi vijana wataalamu wa mambo wanavyofundishwa namna ya kuanza kuona mazingira mbali na 3D yetu...
Means wakiiva ndo wanapelekwa undergroud huko kukutana na hao super intelligent beings ambao wanatoa maelekezo kwa njia ya code reading and code unlocking...
Mkuu nataka kujua, inakuaje ni watu wachache ndo wana hii elimu? Wameipata vipi bila kuathirika?
....