lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,325
- Thread starter
- #1,041
Mkuu elewa jambo linalosemwa kuwa ni la siri...means information kuhusu hiyo kitu inabaki kuwa restricted....Naposhindwaga kuelewa ni pale unaambiwa jambo ni la ni la siri lakini ajabu watu wana taarifa za hilo jambo tena mpaka zengine hadi unabaki unajiuliza hivi jambo linaendeleaje kubaki kuwa siri!!!!
Kwa project inayofanywa kwa siri huku idadi ya watu wengi ikibaki kutofahamu ,utaitaje sasa hapo..!!
Usikalili kuwa tunaposema siri ndo haiwezi julikana kwa watu....!!
Understand the concept mkuu...
Jambo kulifahamu flani kwake inakuwa siyo siri tena but kwa wale wasiojua chochote ndo inaendelea kuwa siri....
Sijajua wewe unataka tuiteje....