Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Mkuu labda nikuombe kitu kimoja...
Hii dunia au huu ulimwengu una mambo mengi sana ...

Tena mengi mno na mengi yanawwza kukufanya ukaloose sense of perfection kabsa kwa sababu ni mengi sana na yanatolewa katika phase ambazp ni incomplete ndo mana mtu anakuwa haelewi mwisho wake..

Kuna Esoteric teachings hizi haziwekwi kwenye vitabu kama hivyo vinavyozagaa uchocholoni( google) kama ambavyo wengi tumekuwa tukikimbilia huko.

Esoteric knowlege hutolewa kwa watu wachache tena beneficial ones na hawa pengine huweza kuwadokeza ndugu zao wa karibu ambao wanatamani wasiingie kwenye illusion ilijazwa kwao huku reality ikiendelea kuwa paradoxy kwa wengi..

These teachings are there and you must believe..


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe hizi habari unazipata wapi ni mmoja kati hao watu wachache au njia gani u atumia kuzipata hizi taarifa ambazo wanazijua watu wachache?
 
Sasa wewe hizi habari unazipata wapi ni mmoja kati hao watu wachache au njia gani u atumia kuzipata hizi taarifa ambazo wanazijua watu wachache?
Twende taratibu...kwanza unapaswa ujibu unafahamu juu ya hiyo kitu au ...??

Tatizo unakomaaa pale pale kuwa hizi taarifa haziwezi kuwa kweli...

Unabisha wakati hujui kitu....kama unataka kujua kwanini unaifanya akili yako kujiona inajua wakati haijui ..

Hivi leo hii uliamini kama kungekuja kufanyika upasuaji wa ubongo bila mwanadamu kushika kitu mkasi au nyembe??..Wew unakomaaa kujua watu wanajuaje ili hali hutaki kuamini kama elimu hizi zipo...

Ebena eee mabishano mengine naona hayana maana sasa...

Kwanza unapaswa ukubali kuwa hii kitu ipo au haipo theni uone jinsi gani mambo yanaenda...sasa wew unakomaaa kubishi kuwa watu hawawezi pata ili hali hutaki kuifanya akili yako ikawa frexible kupokea mapya...kwa hiyo unahisi huu ulimwengu unaendesha mambo yake katika open end dialogue au...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana,yani nachouliza sio kwamba nyie mnaoeleza humu mmepata wapi haya maelezo bali hao wanaoeleza hizi habari(iwe kwa njia vitabu au vyovyote vile) wao wanapata wapi hizi taarifa hadi nao wakaja kuzieleza?
Swali Zuri Sana Mkuu, Kuna watu ambao naweza kuwaita ni defectors or whistleblowers kama Illuminati Insider Ronald Bernad (huyu atakupa siri za mambo ya ajabu sana kuhusu behind the scene jinsi benki zinavyo fanya kazi na Illuminati) mcheki hata youtube kama ww ni mvivu wa kusoma vitabu.

Fact no.2 Hizi taarifa wanazipata kutokana na convenants and pacts of secrecy ambazo zinafanyika through initiations kwenye hizi taasisi za siri ambapo kama unavyojua moyo wa binadamu hauwezi kukaa na siri muda mrefu ipo siku utasema tuu kumwambia mtu. Ukiona jambo linaendeshwa kwa siri jua kuna Uovu ndani yake.

Fact no. 3 Hizi habari za Alliens na Satanism zimeongelewa na watu wakubwa viongozi wa Taasisi za juu kama Ted Gunderson Director wa F.BI Marekani hana cha kudanganya. Special Agent Theodore Gunderson alikuwa mkuu wa F.B.I (DIRECTOR) Los Angels 1977 amefanya kazi na watu maaruku kwenye Historia ya ujasusi kama J. Edgar Hoover. Mtu huyu amejitolea kuwaeleza watu ukweli kuhusu dunia ya siri usiyo ijua. Kama huwezi kisoma Ingia You tube Alafu Umwangalie mtu mzito kama yeye taarifa hizi anazipata wapi utapata tu Jibu Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali Zuri Sana Mkuu, Kuna watu ambao naweza kuwaita ni defectors or whistleblowers kama Illuminati Insider Ronald Bernad (huyu atakupa siri za mambo ya ajabu sana kuhusu behind the scene jinsi benki zinavyo fanya kazi na Illuminati) mcheki hata youtube kama ww ni mvivu wa kusoma vitabu.

Fact no.2 Hizi taarifa wanazipata kutokana na convenants and pacts of secrecy ambazo zinafanyika through initiations kwenye hizi taasisi za siri ambapo kama unavyojua moyo wa binadamu hauwezi kukaa na siri muda mrefu ipo siku utasema tuu kumwambia mtu. Ukiona jambo linaendeshwa kwa siri jua kuna Uovu ndani yake.

Fact no. 3 Hizi habari za Alliens na Satanism zimeongelewa na watu wakubwa viongozi wa Taasisi za juu kama Ted Gunderson Director wa F.BI Marekani hana cha kudanganya. Special Agent Theodore Gunderson alikuwa mkuu wa F.B.I (DIRECTOR) Los Angels 1977 amefanya kazi na watu maaruku kwenye Historia ya ujasusi kama J. Edgar Hoover. Mtu huyu amejitolea kuwaeleza watu ukweli kuhusu dunia ya siri usiyo ijua. Kama huwezi kisoma Ingia You tube Alafu Umwangalie mtu mzito kama yeye taarifa hizi anazipata wapi utapata tu Jibu Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Well said mkuu...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende taratibu...kwanza unapaswa ujibu unafahamu juu ya hiyo kitu au ...??

Tatizo unakomaaa pale pale kuwa hizi taarifa haziwezi kuwa kweli...

Unabisha wakati hujui kitu....kama unataka kujua kwanini unaifanya akili yako kujiona inajua wakati haijui ..

Hivi leo hii uliamini kama kungekuja kufanyika upasuaji wa ubongo bila mwanadamu kushika kitu mkasi au nyembe??..Wew unakomaaa kujua watu wanajuaje iki hali hutaki kuamini kama elimu hizi zipo...

Ebena eee mabishano mengine naona hayana maana sasa...

Kwanza unapaswa ukubali kuwa hii kitu ipo au haipo bais theni uone jinsi gani mambo yanaenda...sasa wew unakomaaa kubishi kuwa watu hawawezi pata ili hali hutaki kuifanya akili yako ikawa frexible kupokea mapya...kwa hiyo unahisi huu ulimwengu unaendesha mambo yake katika open end dialogue au...?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili ndio tatizo lako huwa haupendi kupingwa wala kuhojiwa unayoyaeleza,unakuwa mkali mno.

Hata hivyo mie sijasema hizi taarifa ni za uongo wala watu hawawezi kuzipata,mie nimehoji tu kwa kutaka kujua ni vp hizi taarifa watu huzipata basi. Sijaongeza chochote,haijarishi mimi nina mtazamo gani bali ninachouliza anaweza kuuliza yeyote.
 
Swali Zuri Sana Mkuu, Kuna watu ambao naweza kuwaita ni defectors or whistleblowers kama Illuminati Insider Ronald Bernad (huyu atakupa siri za mambo ya ajabu sana kuhusu behind the scene jinsi benki zinavyo fanya kazi na Illuminati) mcheki hata youtube kama ww ni mvivu wa kusoma vitabu.

Fact no.2 Hizi taarifa wanazipata kutokana na convenants and pacts of secrecy ambazo zinafanyika through initiations kwenye hizi taasisi za siri ambapo kama unavyojua moyo wa binadamu hauwezi kukaa na siri muda mrefu ipo siku utasema tuu kumwambia mtu. Ukiona jambo linaendeshwa kwa siri jua kuna Uovu ndani yake.

Fact no. 3 Hizi habari za Alliens na Satanism zimeongelewa na watu wakubwa viongozi wa Taasisi za juu kama Ted Gunderson Director wa F.BI Marekani hana cha kudanganya. Special Agent Theodore Gunderson alikuwa mkuu wa F.B.I (DIRECTOR) Los Angels 1977 amefanya kazi na watu maaruku kwenye Historia ya ujasusi kama J. Edgar Hoover. Mtu huyu amejitolea kuwaeleza watu ukweli kuhusu dunia ya siri usiyo ijua. Kama huwezi kisoma Ingia You tube Alafu Umwangalie mtu mzito kama yeye taarifa hizi anazipata wapi utapata tu Jibu Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona sasa mkuu umeeleza vizuri na nimekuelewa,maana mtu anapokuambia hizi taarifa hauwezi kuzipata kwenye vitabu wala google hapo ndipo nikataka kujua haya yanayoelezwa humu yamepatikana wapi?

Kumbe hata youtube naweza kupata taarifa kama hizi za siri.
 
Na hili ndio tatizo lako huwa haupendi kupingwa wala kuhojiwa unayoyaeleza,unakuwa mkali mno.

Hata hivyo mie sijasema hizi taarifa ni za uongo wala watu hawawezi kuzipata,mie nimehoji tu kwa kutaka kujua ni vp hizi taarifa watu huzipata basi. Sijaongeza chochote,haijarishi mimi nina mtazamo gani bali ninachouliza anaweza kuuliza yeyote.

ok...mkuu sijawahi kupinga kitu ambacho sina uhakika nacho ila ni njia gani mtu anayohoji...

Kwanza nianze kukufahamisha kuwa kuna elimu za siri ambazo hutolewa kwa watu wachache juu ya kuendeleza missions hasa jinsi ulimwengu unavyofanya kazi...

Elimu hizi zipo katika level tofauti kulingana na kitengo chako na mazingira uliyonayo..

kila level ya watu ina level ya elimu hii kulingana na mazingira walipo.

kwa mfano mimi nilichokuja kuamini kuwa kuna elimu za siri ni pale nilipapata kuona access juu ya underground tunnels nyingi zilizoko ardhini na zinapita chini ya milima kuunganusha nchi moja na nchi nyingine ,mfano ni huu mji ambao upo underground kwa siri Nchini canada na unaitwa Tunnels of Moose Jaw, (Moose Jaw, Canada)

Hii nimeshuhudia mimi mwenyewe kutokana na mazingira ambayo niliamua kujidhihilisha mimi mwenyewe...ila ukiwauliza wazawa wanakwambia hawafahamu hii kitu au wanajaribu kuelezea ila katika utofauti ambao nchi zao zinakuwa zimeamua kuwamezesha ..

Hii ni miji ambayo ipo underground kwa siri na kuna barabara zipo chini kwa chini mtu anapitia city moja kwenda city nyingine kwa barabara ambazo zipo chini kwa chini..

Screenshot_20190110-175301~2.jpg


Hii ni miji ambayo watu wapo chini huko na kinachofanyika huko hakijulikani kwa wengi...

mbaya zaid mkuu ni kwamba wanajeshi wanaotumika kujenga hizo underground tunnel huwa wakimaliza kazi wanawaua ili wasije toa taarifa juu ya kazi iliyokuwa inafanyika huko...hiyo ni njia moja wapo ya kujua kuwa haya mambo yanawekwa katika usiri mkubwa sana..


Screenshot_20190110-175315~2.jpg


hiyo ni undergound iliyopo Poland ambayo hata wazawa hawaijui...na inakuwa connected na underground cities zingine kutoka nchi za mbali...

Haya mambo yapo mkuu wala sio kuwa watu wanaamua kuongea kutafuta pupolarity

kinachokuwa kinarushwa kwenye youtube na google ni matokeo ya hao watu kusema ukweli juu ya jambo flani na ndo mana primary source ya kwanza ni hizo published journals pamoja na taarifa nyingine toka kwenye mitandao ya kuhost taarifa ila taarifa zingine ni hizo elimu za siri ambazo zinakuwa ni ngumu kusofikia wa watu wa kawaida kama sisi ila lazima tuamini kuwa these things are there and they occupy a certain range ya ukweli.
 

Attachments

  • Screenshot_20190110-175234~2.jpg
    Screenshot_20190110-175234~2.jpg
    99.8 KB · Views: 30
ok...mkuu sijawahi kupinga kitu ambacho sina uhakika nacho ila ni njia gani mtu anayohoji...

Kwanza nianze kukufahamisha kuwa kuna elimu za siri ambazo hutolewa kwa watu wachache juu ya kuendeleza missions hasa jinsi ulimwengu unavyofanya kazi...

Elimu hizi zipo katika level tofauti kulingana na kitengo chako ...

kila level ya watu ila level ya elimu hii...

kwa mfano mimi nilichokuja kuamini kuwa kuna elimu za siri ni pale nilipapata elimu tosha juu ya underground tunnels nyingi zilizoko ardhini na zinapita chini ya milima kuunganusha nchi moja na nchi nyingine ,mfano ni huu mji ambao upo underground kwa siri Nchini canada na unaitwa Tunnels of Moose Jaw, Moose Jaw, Canada

Hii nimeshuhudia mimi mwenyewe kutokana na mazingira ambayo niliamua kujidhihilisha mimi mwenyewe...ila ukiwauliza wazawa wanakwambia wahafahamu hii kitu..

Hii ni miji ambayo ipo underground kwa siri na kuna barabara zipo chini kwa chini mtu anapitia city moja kwenda city nyingine kwa barabara ambazo zipo chini kwa chini..

View attachment 991187

Hii ni miji ambayo watu wapo chini huko na kinachofanyika huko hakijulikani kwa wengi...

mbaya zaid mkuu ni kwamba wanajeshi wanaotumika kujenga hizo underground tunnel huwa wakimaliza kazi wanawaua ili wasije toa taarifa juu ya kazi iliyokuwa inafanyika huko...hoyo ni njia moja wapo ya kujua kuwa kweli haya mambo yanawekwa katika usiri mkubwa sana..


View attachment 991190

hiyo ni undergound iliyopo Poland ambayo hata wazawa hawaijui...na inakuwa connected na underground cities zingine kutoka nchi za mbali...

Haya mambo yapo mkuu wala sio kuwa watu wanaamua kuongea kutafuta pupolarity

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mkuu sio kwamba hakuna elimu za siri au haya mambo ya siri,ila usahihi wa hizo taarifa zenye kuelezea hayo mambo ya siri ni jambo la kuzingatia.

Mfano wewe unaeleza kuwa Aliens ndio wameumba binaadamu ila mkuu hapo amepinga hili na kueleza maelezo tofauti kidogo na yako kwenye hili suala na wapo wengine wana maelezo tofauti kabisa na nyie kwenye haya mambo ya siri.

Ila mwisho wa siku wote mnaeleza taarifa za siri na ndio maana nasema kuwepo mambo haya ya siri sio tatizo bali usahihi wa hizo taarifa za hayo mambo ya siri ni suala la kuzingatia. Kwa sababu inawezekana kwenye hichi tunachoita taarifa za siri ikawa ndio njia ya watu kuaminishana mambo yasiyo ya kweli kwa faida zao wenyewe.
 
Tatizo mkuu sio kwamba hakuna elimu za siri au haya mambo ya siri,ila usahihi wa hizo taarifa zenye kuelezea hayo mambo ya siri ni jambo la kuzingatia.

Mfano wewe unaeleza kuwa Aliens ndio wameumba binaadamu ila mkuu hapo amepinga hili na kueleza maelezo tofauti kidogo na yako kwenye hili suala na wapo wengine wana maelezo tofauti kabisa na nyie kwenye haya mambo ya siri.

Ila mwisho wa siku wote mnaeleza taarifa za siri na ndio maana nasema kuwepo mambo haya ya siri sio tatizo bali usahihi wa hizo taarifa za hayo mambo ya siri ni suala la kuzingatia. Kwa sababu inawezekana kwenye hichi tunachoita taarifa za siri ikawa ndio njia ya watu kuaminishana mambo yasiyo ya kweli kwa faida zao wenyewe.
Well said ila kuna kitu kinaitwa kupeana habari kwa ambao wako interested na wala sio kampeni ya kuwaaminisha watu...only for those who are interested kujua.

Sio kila mtu anaweza kubaliana na taarifa hata mimi kuna baadhi ya mambo mtu akiniambia siwezi kukubali mpaka nipate proof yake...

Inategemea na proof nimeipata katika mazingira gani...

Swala la Aliens kumuengeer binadamu limefanyiwa tafiti nyingi na watu wakaja na proof za kimolecular zaidi sema shida inakuja kwa mtu ambaye hajawa na elimu tosha juu ya molecular analysis kwa hiyo hata kukubaliana na wew inakuwa ngumu sana...

Kwa hiyo utofauti utaendelea kuwepo mpaka mwisho...

Unaweza ukafanya molecular analysis ya DNA katika kucompare Extraterrestrial DNA na DNA ya binadamu kwa macho yako kisha ukatoa maelezo ya ufanano au utofauti bado mtu amabaye hajafanya hivo atakaaa...ni haki yake kukataaa kwa sababu hajafanya mwenyewe...

Kuna mazingira mengi sana ambayo sisi wa level za chini hatuwezi tukakubali kwa sababu bado hatujawa na access ya kutosha juu ya tafiti ambazo zinafanyika kwa siri hasa katika kupata proof ya geneology ya mwanadamu na uwepo wa hao Viumbe ambao wanasemekana kuwa chanzo cha ustaarabu wa mwanadamu katika nyanja zote..
Kwa hiyo research ya mtu mmoja amabyo imekuha na majibu kadhaaa isiwe chanzo cha kukataa yote..
Bali kuhoji katika mamlaka za juu lakini kwa sababu bado tunakuwa bado hatuna access hata ya kuhoji kutokana na access kuwa mbali na sisi ndo mana mambo mengi yanakuwa mbali na sisi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sasa mkuu umeeleza vizuri na nimekuelewa,maana mtu anapokuambia hizi taarifa hauwezi kuzipata kwenye vitabu wala google hapo ndipo nikataka kujua haya yanayoelezwa humu yamepatikana wapi?

Kumbe hata youtube naweza kupata taarifa kama hizi za siri.
Kitu kingine kinachotufanya au kuwafanya baadhi ya wataalamu wa kimolecular ni kuwepo kwa technolojia ya kupunguza DNA sequence kwa mwanadamu au kumwegenezea aina mpya wa vinasaba mwanadamu ,ambapo elimu hii inasemekana kutolewa na hao wageni ( Aliens ) toka Anga za mbali...

Elimu yote hiyo ya kumtengeneza mwanadamu katika mabadiliko tofauti huku ukichagua ni aina gani ya Vinasaba unataka Binadamu abakiwe navyo ni dhahiki tosha kuwa anayekuelekeza ndo aliyekutengeneza pia...

Imagine sasa hivi unaweza ukamtengeneza mwanadamu mwenyr vinasaba vichache ana akawa anaishi ila hatakuwa na sequence yote ya vinasaba...

sasa jiulize elimu hii mwanadamu anapewa na Watu toka anga za mbali...kama mtu amekuelekeza mpaka namna ya jinsi ulivyotengenezwa basi hata kukutengeneza anajua..
We are nothing broo...

We have to aggree tutabishana san ila ukweli utabaki pale pale...

Human cloning isingekuwa inafanyika kwenye underground laboratories kwa siri hivo...

kuna mambo lazima tukubali mzeee no matter tukakosa proof kiasi gani lakini hiyo ni proof moja ya kuamini hiyo kitu...

Sasa hivi kuna mpango wa kumpandikizia kila mwanadamy hasa anayefikia umri wa kuzaaa ila ukizaaa unazaa kiumbe mwenye aina nyingi za mfumo mwilini...inawezekana kabisa kuzaa mtu ambaye mwili na morphology yote ni mwanadamu ila akawa na brain capacity sawa na ng'ombe ..

Hiyo itakufanya ukose kitu flani tena maishani mwako unabaki tu na umbo la binadamu but mindly una tabia za mnyama...daaah insane..

Its like we are joking but thats how life linaenda kuwa..

Yote hayo nyuma yake kuna mtu anamwelekeza mwanadamu kumodify species kwa jinsi anavyotaka yeye...

If you can disfigure your own DNA ,cant you remold ..??

mamlaka za juu zina uwezo wa kukutengeneza katika morphology wanayoijua wao hence they can engineer us.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Esoteric knowledge... And of any Secret (Unforbidden) knowledge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wonder Why these so called Alliens wameanza hizi projects hivi soon! Miaka ya Nyuma huko kulikua hamna hizi vitu?! Why zimeanza hvi karibuni?! Human clonings, Hizi Reptilian issues! Why miaka ya 1500 huko hakukua na hao Lizards openly kbsa??! ????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remondeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho ni ACG manake itokea mtu akapat effects kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA codes hazipei kutengeneza functional gene...zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid...


So only few percent DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa..kiufupi tunapat makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non coding genes,,

kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine.


Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - utume ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu.

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei ya mfano" iliyoingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

kutokana na kuwepo kwa group la non coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these noncoding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.

kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Alien kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa. Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule nyingine ya mawazo: Binadamu viliundwa na extraterrestrials

Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu ya kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.

Uwepo wa kipengele cha Rh (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya hasin(Rhesus negative bllod group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani nyamba. Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali hukokuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta distruction za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea kudesign species watakaowasidia kurudisha baadhi ya mdini hayo yaliyoangukia kwenye plannet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issure by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni noc coding DNA genes ..

yan wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata information kutoka kwako indirectly..

Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ziiingizwe kwenye universal data base ..lengo lake ni nini sasa,,?/

kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

eveeything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yalipungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao.


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofaut ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwasili viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non coding DNA ..


Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasis hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problem na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama kiharusi ( stroke) au hypertensive diseases au cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of interlectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi??
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa kihansi electrical project upo IFAKARA wiliya ya kilombero mkoani Morogoro,
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na AFrica mashariki kwa ujumla..

umeme wa KIHANSI unazaliswa underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa snaa halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground zambazo kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeinhia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engener aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under corabolations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER CORABORATION TULIWEZA,HIYO CORABOLATIO N A NANI..??


kwa akili yangu sikuaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya uwepo wa non coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non function genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percennt flani kwenye non coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon@Eiyee

na wengine kibao karibuni,,
Hii ni uongo kwasababu hao "aliens" ni supernatural beings na wanachokifanya ni kutengeneza confusion ambayo inasababisha watu wengi sasa kukataa uwepo wa Mungu...na activities zao in recently decade zimeongezeka kwa sababu muda umebaki mchache, ndo maana miaka 10 iloyopita technology imekuwa kwa kasi ya ajabu. "Now we more connected than any time in history but we are the most disconnected society in history"...yote hii ni kututenganisha na uwepo wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni uongo kwasababu hao "aliens" ni supernatural beings na wanachokifanya ni kutengeneza confusion ambayo inasababisha watu wengi sasa kukataa uwepo wa Mungu...na activities zao in recently decade zimeongezeka kwa sababu muda umebaki mchache, ndo maana miaka 10 iloyopita technology imekuwa kwa kasi ya ajabu. "Now we more connected than any time in history but we are the most disconnected society in history"...yote hii ni kututenganisha na uwepo wa Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa nini Mungu anaruhusu haya yatokee
 
Esoteric knowledge... And of any Secret (Unforbidden) knowledge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu kabla sijakupa list hii nakutahadharisha kuwa unaweza ukaharibu mfumo wako wa fikra juu ya wanadamu au Mungu utakapo soma chochote kati ya vitabu hivi, utaharibu mfumo wako wa maisha pamoja na Imani kwa ujumla.

1. The Secret Teachings of All Ages by Manly P. Hall.

2. The Secret Doctrine By Helena P. Blavatsky.

3. The secret wisdom by Annie Besant, Theosophical Society publishers.

4. Isis Unveiled " The Master Key to the Mysteries of Ancient and Morden Science and Technology, Volume 1&2

Nafkiri itakuchukua mwaka mzima kusoma hivi vitabu mpaka uvimalize.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kabla sijakupa list hii nakutahadharisha kuwa unaweza ukaharibu mfumo wako wa fikra juu ya wanadamu au Mungu utakapo soma chochote kati ya vitabu hivi, utaharibu mfumo wako wa maisha pamoja na Imani kwa ujumla.

1. The Secret Teachings of All Ages by Manly P. Hall.

2. The Secret Doctrine By Helena P. Blavatsky.

3. The secret wisdom by Annie Besant, Theosophical Society publishers.

4. Isis Unveiled " The Master Key to the Mysteries of Ancient and Morden Science and Technology, Volume 1&2

Nafkiri itakuchukua mwaka mzima kusoma hivi vitabu mpaka uvimalize.


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu...ila muache ahangaike nayo kwanza hiyo naamini ataanza kuona hisia tofauti na mazingira mengi atayaona kama sio rafiki tena but akizoea atajiona hero kinyama...ukweli ndo huo...kuna sehemu ataona kabisa illusion inabadilika na kuwa reality....
he will be able to view things in two planes of dimensions..

Ndo atajua kuwa mambo yote anayoyaona ni Ilusion 100% hakuna reality hapo na hapo ndo atajua kuwa kumbe kuna maisha nyuma ya pazia na faida yake ataijua pia...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kabla sijakupa list hii nakutahadharisha kuwa unaweza ukaharibu mfumo wako wa fikra juu ya wanadamu au Mungu utakapo soma chochote kati ya vitabu hivi, utaharibu mfumo wako wa maisha pamoja na Imani kwa ujumla.

1. The Secret Teachings of All Ages by Manly P. Hall.

2. The Secret Doctrine By Helena P. Blavatsky.

3. The secret wisdom by Annie Besant, Theosophical Society publishers.

4. Isis Unveiled " The Master Key to the Mysteries of Ancient and Morden Science and Technology, Volume 1&2

Nafkiri itakuchukua mwaka mzima kusoma hivi vitabu mpaka uvimalize.


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Kama una soft copy ya hivi vitabu naomba uviweke ili tupate maarifa zaid
 

Similar Discussions

52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom