Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Nashukuru sana kwa maelezo mazuri mtoa mada kwani elimu yako imenigusa, nami nilikuwa na jambo nataka kuongezea hapo. Mpaka sasa nashindwa kutofautisha viumbe watatu ambao wapo duniani kwa siri kubwa na wote ni extra terrestial beings ambao ni Alliens, reptilians na archons na viumbe hawa wanashirikiana na binadamu wenzetu ili kudestroy human race (fanya reserch ya doomsday vault iliyopo antarctica). Kuhusu kuwa alliens wali tu create sisi binadamu kuna utata kidogo kwani tofauti yetu sisi binadamu na alliens ni moja tu kwamba wao ni viumbe ambao wame advance sana technologically mbele yetu zaidi ya miaka elfu moja. Namanisha ya kwamba they discovered planet Earth by coincedence kama christopher columbus alivo gundua new world. Namanisha nn, namanisha hivi alliens wenyewe hawajui asili yao walitoka wapi kama sisi binadamu ambavyo hatujui reality ya asili yetu ni nini na chimbuko letu ni wapi but wote tupo kwenye safari ya evolution.
Alliens, reptilians na archons wote hawa ni viumbe ambao kwa mtazamo wangu naweza kuwaita ni majini kwani asili yao ni moja na pia hawa viumbe wanatuchukulia sisi binadamu kama chanzo chao cha chakula ( perfect food source, they feed on human enegry through creating a sense of fear in human mind through negative emotions. Kama ukiwa na hofu kwenye nafsi yako jua kuna jini lipo karibu na ww linakula mionzi yako) Chakula cha hawa alliens ni mihemko au emotions za uoga kutoka kwa wanadamu pamoja na damu. Imagine kwamba hawa alliens wamewezaje kukaa hapa duniani muda wote huo bila kuwa na chakula? Jibu ni kwamba chakula chao ni sisi binadamu fikiria kuhusu suala la allien abductions au watu kupotea na kutokuonekana tena. Ripoti nyingi za nchi za ulaya na marekani zinaonyesha kuwa watu wengi wanapotea bila kugundulika walipo na swali la kujiuliza wanaenda wapi? In short ni kwamba sisi binadamu tunauza binadamu wenzetu kwa hawa alliens in exchange with mordern technology. Mwangalie mwanasayansi wa mambo ya rocket na anga jack persons utaweza kujua kwamba binadamu tecnolojia zetu zote tunapewa na hawa alliens ambao wanaishi underground au chini ya ardhi. Hawa alliens lengo lao ni kutawala dunia na kutufanya sisi binadamu watumwa kwa kutumia technolojia. Techolojia ni silaha ambayo siku moja itakuja kutugeuka binadamu na kutumiwa na alliens ambao watachukua dunia yetu na kutumaliza wote kwa kutuua binadamu.

In short ni kwamba hawa alliens ni viumbe ambao wametuzidi kiteknolojia tuu na wanapenda kuabudiwa kama mungu au mizimu ndo mana kila ukoo unakuwa na maagano fulani au matambiko kwani mababu zetu toka zamani siri ya viumbe hawa wanaijua sana.

Kwa kumalizia ni kwamba alliens wana fanya experimentation kwa wanadamu ili waweze kufanya reproduction. Taarifa zinadai ya kwamba hawa alliens wanafanya majaribio ili waweze kupandikiza mbegu zao kwa wanawake wa kibinadamu ili kutengene species mpya ya viumbe wanaoitwa aryan race ambao watakuwa na nguvu za ziada kuliko binadamu. Wakifanikiwa na hilo its the end of humanity as we speak au kwa lugha fasaha ndo mwisho wa dunia kwani watatumaliza binadamu wote alafu watairithi dunia yetu.

*Obrigado

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hongera sana.....

Ni kweli kabisa kuwa hawa viumbe wapo hapa hapa duniani na inasemekana wapo underground hasa milima mikubwa...

kuna maelezo ya mtafiti mmoja alisema kuwa kuna space ship nyingi kubwa kama viwanja vya mpira zipo chini ya milima...

Ndo maan mpaka leo maelezo juu ya milimo iliyopo hayawekwi wazi ..

Na kuna underground road ( tunnel) nyingi sana ardhini zinazoconnect ship moja na nyingine hata kama umbali mmoja utakuwa nchi moja na nyingine...

Daaaah...habari hizi ni terrifying sana aise...milima mingi inalindwa kwa gharama kubwa sana...usione wazungu wanakuja kupanda kila mara ukajua wanafanya tour...

jiulize wao watoke nchi za mbali huko kuja kupanda mlima tu ...hakuna starehe kama hiyo duniani...ni moja ya least plesure kabsaa....

They always come for a purpose kabsaa sio bure...

kuna milima Tanzania kama Uluguru ambayo ina maajabu sana na hakuna maelezo yanayojitosheleza kwanini inalindwa na hakuna mtu anayeruhusiwa kupanda kule only serikali huruhusu wazungu na watafiti kupanda kule...

Kuna maajabu sana kwenye mlima ule huku idadi kubwa ya watu ikakadiliwa kupotea kila mwaka pamoja na baadhi ya ndege moja ilipita juu ya ule mlima ikapotea na hakuna taarifa zote zozote zilizoripotiwa juu ya kupotea ndege ile maeneo ya Uluguru mountains...


Kama kuna mtu atakataa na hilo basi atakuwa hana taarifa za ndani japo ilipigwa kimya kimya sana. hata watu au wakazi wa maeneo yale hasa wazee wanalijua hilo swala ila wanakwambia usizungumzie kabsaa ile ndge ilipotea mazingira ya ajabu sana...tunawaza kuongelea ngege za malaysia kumbe kuna matukio mazito huku huku kwetu ila yanapigwa kimya kimya....


Sasa swala la kujiuliza ni kwanini ndege ilipotelea anga zile na serikali ya Tz ilikaaa kimya tena taarifa zile zilizimwa gafla...

Any way naanza kuamini kweli kule chini kuna shughuli zinaendelea...

Milima ni matokeo ya kupisha nafasi ya spaceship chini huko ndo mana ardhi inabinuka kwa juu...be careful sanana hii milima imeficha mambo mengi sana..ugeni huu umekuja miaka ya zamani sana....

Kama umeme wa Kihansi unazalishwa chini ya mlima umbali wa 3km underground lakini huwezi ukaamini kabsaa ukiambiwa umeme unatoka underground kwenye mlima na huko chini kuna wafanyakazi wengi sana...just a tunnel ndo inakuongoza kuingia ndani na kusafiri umbali mrefu kama 3km ndo unayapata makazi ya mitambo ya kuzalisha umeme...hivi nani alitoa wazo hilo ?? daaah..ni akili ya binadamu au ??

Mlima Kilimanjaro una maajabu mengi sana kuna watu wanasema kuna underground tunnel inayotokezea huko Crator maalumu na hio ibabaki kuwa confidential...

Any way Naweza sema kuwa kuna spaceship zipo chini ya ardhi zina viumbe toka space za mbali na kuna communication kati ya mwanadamu na hao viumbe na mikataba inabaki kuwa siri nzito sana...

Bilogical experiments nying zinafanyika huko kwa siri sana...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hongera sana.....

Ni kweli kabisa kuwa hawa viumbe wapo hapa hapa duniani na inasemekana wapo underground hasa milima mikubwa...

kuna maelezo ya mtafiti mmoja alisema kuwa kuna space ship nyingi kubwa kama viwanja vya mpira zipo chini ya milima...

Ndo maan mpaka leo maelezo juu ya milimo iliyopo hayawekwi wazi ..

Na kuna underground road ( tunnel) nyingi sana ardhini zinazoconnect ship moja na nyingine hata kama umbali mmoja utakuwa nchi moja na nyingine...

Daaaah...habari hizi ni terrifying sana aise...milima mingi inalindwa kwa gharama kubwa sana...usione wazungu wanakuja kupanda kila mara ukajua wanafanya tour...

jiulize wao watoke nchi za mbali huko kuja kupanda mlima tu ...hakuna starehe kama hiyo duniani...ni moja ya least plesure kabsaa....

They always come for a purpose kabsaa sio bure...

kuna milima Tanzania kama Uluguru ambayo ina maajabu sana na hakuna maelezo yanayojitosheleza kwanini inalindwa na hakuna mtu anayeruhusiwa kupanda kule only serikali huruhusu wazungu na watafiti kupanda kule...

Kuna maajabu sana kwenye mlima ule huku idadi kubwa ya watu ikakadiliwa kupotea kila mwaka pamoja na baadhi ya ndege moja ilipita juu ya ule mlima ikapotea na hakuna taarifa zote zozote zilizoripotiwa juu ya kupotea ndege ile maeneo ya Uluguru mountains...


Kama kuna mtu atakataa na hilo basi atakuwa hana taarifa za ndani japo ilipigwa kimya kimya sana. hata watu au wakazi wa maeneo yale hasa wazee wanalijua hilo swala ila wanakwambia usizungumzie kabsaa ile ndge ilipotea mazingira ya ajabu sana...tunawaza kuongelea ngege za malaysia kumbe kuna matukio mazito huku huku kwetu ila yanapigwa kimya kimya....


Sasa swala la kujiuliza ni kwanini ndege ilipotelea anga zile na serikali ya Tz ilikaaa kimya tena taarifa zile zilizimwa gafla...

Any way naanza kuamini kweli kule chini kuna shughuli zinaendelea...

Milima ni matokeo ya kupisha nafasi ya spaceship chini huko ndo mana ardhi inabinuka kwa juu...be careful sanana hii milima imeficha mambo mengi sana..ugeni huu umekuja miaka ya zamani sana....

Kama umeme wa Kihansi unazalishwa chini ya mlima umbali wa 3km underground lakini huwezi ukaamini kabsaa ukiambiwa umeme unatoka underground kwenye mlima na huko chini kuna wafanyakazi wengi sana...just a tunnel ndo inakuongoza kuingia ndani na kusafiri umbali mrefu kama 3km ndo unayapata makazi ya mitambo ya kuzalisha umeme...hivi nani alitoa wazo hilo ?? daaah..ni akili ya binadamu au ??

Mlima Kilimanjaro una maajabu mengi sana kuna watu wanasema kuna underground tunnel inayotokezea huko Crator maalumu na hio ibabaki kuwa confidential...

Any way Naweza sema kuwa kuna spaceship zipo chini ya ardhi zina viumbe toka space za mbali na kuna communication kati ya mwanadamu na hao viumbe na mikataba inabaki kuwa siri nzito sana...

Bilogical experiments nying zinafanyika huko kwa siri sana...




Sent using Jamii Forums mobile app
Google earth mountain Kilimanjaro kuna Reusch Ash Pit kuna nini ndani ya kilele cha mlima kilimanjaro? Na kwanini pale who created and named Resch Ash Pit, Itabidi tulete Makala ya Mystic School of thought kama alivyozungumza mwana Mama Helena P. Blavatsky katika kitabu cha Isis Unveiled Volume 1. See attachment
Screenshot_20190106-205832_Maps.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Google earth mountain Kilimanjaro kuna Reusch Ash Pit kuna nini ndani ya kilele cha mlima kilimanjaro? Na kwanini pale who created and named Resch Ash Pit, Itabidi tulete Makala ya Mystic School of thought kama alivyozungumza mwana Mama Helena P. Blavatsky katika kitabu cha Isis Unveiled Volume 1. See attachmentView attachment 988086

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi njia zinazoingia kwenye milima mikubwa kwa lengo ambalo mwanadamu hajui paka leo..


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    62.7 KB · Views: 41
  • Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    62.7 KB · Views: 42
  • Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    Screenshot_20190106-210740~2.jpg
    62.7 KB · Views: 45
  • Screenshot_20190106-210823~2.jpg
    Screenshot_20190106-210823~2.jpg
    100 KB · Views: 41
Google earth mountain Kilimanjaro kuna Reusch Ash Pit kuna nini ndani ya kilele cha mlima kilimanjaro? Na kwanini pale who created and named Resch Ash Pit, Itabidi tulete Makala ya Mystic School of thought kama alivyozungumza mwana Mama Helena P. Blavatsky katika kitabu cha Isis Unveiled Volume 1. See attachmentView attachment 988086

Sent using Jamii Forums mobile app

Duh yan mlima upo kwetu lakini sijui ni kitu gani kinachoendelea??
 
Upuuzi mtupu. Unamkufuru Mungu aliyeumba wewe. Kwa hio hata wewe umeumbwa na hayo mazombi unayoyashabikia? Mwanalaana
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remondeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho ni ACG manake itokea mtu akapat effects kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA codes hazipei kutengeneza functional gene...zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid...


So only few percent DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa..kiufupi tunapat makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non coding genes,,

kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine.


Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - utume ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu.

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei ya mfano" iliyoingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

kutokana na kuwepo kwa group la non coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these noncoding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.

kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Alien kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa. Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule nyingine ya mawazo: Binadamu viliundwa na extraterrestrials

Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu ya kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.

Uwepo wa kipengele cha Rh (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya hasin(Rhesus negative bllod group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani nyamba. Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali hukokuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta distruction za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea kudesign species watakaowasidia kurudisha baadhi ya mdini hayo yaliyoangukia kwenye plannet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issure by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni noc coding DNA genes ..

yan wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata information kutoka kwako indirectly..

Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ziiingizwe kwenye universal data base ..lengo lake ni nini sasa,,?/

kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

eveeything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yalipungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao.


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofaut ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwasili viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non coding DNA ..


Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasis hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problem na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama kiharusi ( stroke) au hypertensive diseases au cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of interlectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi??
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa kihansi electrical project upo IFAKARA wiliya ya kilombero mkoani Morogoro,
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na AFrica mashariki kwa ujumla..

umeme wa KIHANSI unazaliswa underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa snaa halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground zambazo kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeinhia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engener aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under corabolations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER CORABORATION TULIWEZA,HIYO CORABOLATIO N A NANI..??


kwa akili yangu sikuaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya uwepo wa non coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non function genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percennt flani kwenye non coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon@Eiyee

na wengine kibao karibuni,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni upuuzi kuamini hayo usemayo. Mungu ndie aliyeumba vitu na watu kama maandiko yanavyoeleza.

Sent using Jamii Forums mobile app
wew ndo mpuuzi wa mwisho kabisa...umelazimishwa kukoment hapa ...waache wahusika waje wasome...kwani umeitwa uje utoe neno...?
Dhibitisha basi uwepo wa huyo Muumba unayemtukuza kama unaweza kuja na jibu la maana hapa.

Hebu weka imani pembeni iruhusu mind yako ipate vitu vipya basi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hao alliens walituumba ili iweje??
Na kwanini wamejificha ilihali sisi ni matokeo ya kazi yao?? Si wajitokeze tujuchanganye maana ni kama ndugu moja.
Kwanini wawe na usiri kutuficha vitu ilihali sisi hatuna cha kuwazidi wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa majibu miaka nenda rudi juu ya binadamu alitoka wapi...

Sio lazima ukomaee na mealezo yangu lakini kama una imani yako baki na imani yako lakini kama unahitaji kujifunza mambo basi weka imani yako pembeni upate kujua haya..

kabla sijaendelea napenda kukufahamisha wewe au wale ambao mnapuuza sana juu ya conspiracy theories na kudai kuwa hazina proof sasa leo unaweza pata kitu hapa..

katika mwili wa kiumbe yoyote yule,kuna kitu iinachoitwa DNA hiki ndo kinachobeba mwongozo wa jinsi utakavyokuja hapa duniani kwa sura ipi,mfumo upi,mwonekano upi,kwa tabia ipi na sifa zote hizi hubebwa na kitu kinachoitwa DNA,

DNA ndo kila kitu kwan imebaba taarifa zote juu ya utengenezaji wa kila kitu ulichonacho mwilini..
killa kitu ulicho nacho mwilini mwako kuna specific genes (jeni) ambayo inahusika na utengenezaji wake,ikitokea jeni inayohusika kutengeneza pua imepata hitilafu ukiwa bado tumboni kwa mama yako basi utengenezwaji wa pua utakosekana na utazaliwa ukiwa huna pua,na ikitokea jeni(gene) inayohusika na kutengeneza remondeling ya sura yako iwe nzuri ila ikapata hitilafu basi utazaliwa ukiwa na sura kama kinyago.

All in all, genes ndo kila kitu katika mwili wa kiumbe yoyote yule,hizi abnormality tunazoziona ni kwa sababu gene zetu zinapata hitilafu mahala fulani kwenye arrrangement zake ndani ya DNA sequence..

Arrangement za gene zetu zipo kwenye DNA kwa mfumo wa base pairing rule ,Genes zinaundwa na DNA bases ambazo zipo katika makundi mawili ( purine na pyrimidine ,ambapo purine ni Adenine (A) na Guanine (G) lakini pia pyrimidine ni Cytocine (C),Tymine (T) na Uracil (U).Ila katika namna ya kupair ili kuform gene tunaona kuwa Adenine huwa anapair na Tymine hence A=T katika DNA na kwenye RNA inakuwa A=U Wale waliosoma molecular chemistry na bioloji watakuwa wanalijua hili. lakini pia Cytocine anapair na Guanine hence C=G
View attachment 839829


kwa hiyo purine ana pair na pyrimidine mmoja ili waform complimentary sequence ya kuja kutengenza gene factor control..kwa mfano gene inayohusika na utengeneza wa jicho ni ACG manake itokea mtu akapat effects kwenye arrangement hiyo ya ACG na kuwa AGC hapo tunasema gene imepata mutation na kazi yake ya kutengeneza jicho inapotea kwa hiyo mtu atazaliwa hana jicho

lakini ukiangalia vizuri kwenye sequence hiyo kuna DNA codes hazipei kutengeneza functional gene...zinabaki hivo hivo tu..ni kama asilimia 85 ya DNA bases hazina kazi ya kutengeneza functional amino acid...


So only few percent DNA codes zilizopo kwenye DNA yetu ndo zina gene code zinazotengeneza protein kwa ajili ya kutengeneza specific organ mwilini mwetu kwa wakati maalumu..

SWALI JE": hizo code zingine zinatengeneza nini au kazi yake ni nini sasa..kiufupi tunapat makundi mawili ya genes hapo,coding genes na non coding genes,,

kuna genes zinazopair ili kuunda functional genes( genes zinazofanya kazi na kuleta umbo maalumu mwilini) lakini kuna baadhi ya genes kwenye hoiyo hiyo DNA sequence hazi match (non coding genes) kutengeneza functional genes,,ni wazi kuwa kila bionadamu ana non coding genes ambazo hazicode kwa chochote mwilini mwake na kwanini ziwepo wakati hazina kazi..?
View attachment 839830wale watu wa molecular analysis na DNA chemistry nadhani hata nyie mtajiuliza au bila shaka mshajiuliza kwanini non coding genes zipo tu na hazihusiki kwa chochote,,,

lakini pia
Jozi ya wanasayansi kutoka Kazakhstan wanaamini kuwa aina zetu ziliundwa na mamlaka ya juu, ustaarabu wa mgeni ambao ama alitaka kuhifadhi ujumbe katika DNA yetu au tu kupanda maisha kwenye sayari nyingine.


Maxim A. Makukov wa Taasisi ya Astrophysical ya Fesenkov na Vladimir I. Shcherbak kutoka Chuo Kikuu cha Taifa cha Farabi Kazakh alitumia miaka 13 akifanya kazi kwa Mradi wa Binadamu wa Genome - utume ambao ulituma ramani ya DNA ya binadamu.

Hitimisho lao lilikuwa kwamba wanadamu walitengenezwa na nguvu ya juu, na "seti ya mifumo ya hesabu na lugha ya kibei ya mfano" iliyoingizwa ndani ya DNA yetu.
coincidence,,??

kutokana na kuwepo kwa group la non coding genes kwenye DNA yetu wanasayansi wamefikia hatua ya kulipa jina la JUNK DNA ,means gene DNA ambazo kazi yake haijulikani bado.

Comparative genomics studies have shown that some of this junk DNA is highly conserved, sometimes over hundreds of millions of years, which suggests that these noncoding regions have undergone positive selection throughout evolution and confer an advantage in terms of preserving or minimizing certain biological traits.
(Uchunguzi wa jenomatiki umeonyesha kwamba baadhi ya DNA hii isiyojumuishwa imeonekana kuhifadhiwa sana katika mfumo wetu wa DNA , na wakati mwingine juu ya mamia ya mamilioni ya miaka, ambayo inaonyesha kuwa baadhi ya sehemu katika hii DNA imeonekana kubeba chembe chembe au vipande toka sehemu au DNA ya viumbe toka Anga za mbali... lakini mabadiliko yatokayo na mazingira huweza kuhifadhi au kupunguza baadhi ya sifa za kibiolojia.)


kuna baadhi ya tafiti zimekuja kufanyika kwa kuhusisha DNA sequence ya HUMANOID ALIENS na kukuta kuwa seqence ya non coding genes kwa binadamu zinafanana kidogo na a part of DNA pair genes kwenye HUMANOID ALIEN DNA.

kwa hiyo inawezkana kabisa human being were programmed na Alien kwa kazi maalumu na they are watching us for sure,,
View attachment 839838
DID EXTRATERRESTRIALS GENETICALLY ENGINEER HUMANS?


Uumbaji na mageuzi ni nadharia mbili maarufu za jinsi watu walivyokuwa. Ingawa labda ni nadharia zinazoenea zaidi, kuna shule nyingine ya mawazo: Binadamu viliundwa na extraterrestrials

Nadharia nyingine inachunguza wazo kwamba extraterrestrials manipulated DNA yetu ya kujenga damu mchanganyiko katika sayari yetu. Kipande cha ushahidi muhimu zaidi kuunga mkono nadharia hii ni kitu kinachojulikana kama Rh.

Uwepo wa kipengele cha Rh (Rhesus factor blood groups ) katika damu ya binadamu hufanya aina ya damu iwe chanya (Rhesus positive), wakati kutokuwepo kwake hufanya hasin(Rhesus negative bllod group). Watu wengi ni Rh chanya, na asilimia 15 tu ya idadi ya watu hawana sababu ya Rh.

Sababu ya Rh inaweza kuhusishwa na aina nyingine, hususani nyamba. Ukosefu wa hiyo unaendelea kubaki siri. Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kuwa inatokana na vitu vya nje. Wengi wanaokataa mgeni ni Rh hasi. ukiangalia kweli ni nadra sana kuwapata watu wenye blood group zenye RHESUS negative na baadaye nasikia lakini kuwa eti huwa wanapotea mazingira ya kutatanisha kama walivyoalbino'''( kwanini tena hapa tunapata watu wenge group jingine lenye kizazi che damu hasi ???)...

Je! Hii ni bahati mbaya? Inaonekana haiwezekani

Researcher David Icke anasema ,Huenda baada ya galactic civilization kwenye planet za mbali hukokuvurugika na kuleta hitilafu kubwa,familia nyingi za Aliens zilipata kutokuelewana na kusababisha mvurugano mkubwa ulioleta distruction za baadhi ya empire zao na kusababisha kusambaratika kwa madini maalumu kama ALMAS,GOLD,URANIUM,NEUTRON,PRUTONIUM,RADIUM ambayo ndo yanatumika kujengea empire zao n.k na kumewapelekea kudesign species watakaowasidia kurudisha baadhi ya mdini hayo yaliyoangukia kwenye plannet mbalimbali ambayo mojawapo ni EARTH,so existance ya human being ni programmed issure by Alien ndo mana wametuwekea signal za kuwasiliana nao,na signal hizo ni noc coding DNA genes ..

yan wamekuwekea DNA genes zitakazoprogrm mwili wako lakini pia wawe wanapata information kutoka kwako indirectly..

Mipango mingi sana inahusisha kuscan DNA zetu ziiingizwe kwenye universal data base ..lengo lake ni nini sasa,,?/

kwanini uwepo wa link kati ya human na Alien unafichwa sana ..??
kuna makubaliano makubwa sana kwanini siri hii imeendelea kuwepo .?

eveeything is by plan...
kusema kuwa lengo lao ni kufanya ukusanyaji wa madini yalipungua kwao au kurudisha baadhi ya madini inaweza ikawa point moja wapo ya kumprogram human being kama second collector wao..lakini pia kumtengeneza kiumbe ambaye atahifadhi traits(vinasaba ) zao.


Kuna baadhi ya documentary moja inaelezea kuwa Aliens empire katika baadhi ya high worlds ilivamiwa na cosmic radiation na kuwafanya kuanza kuchange color ya miili yao despite of being interlectual lakini hakuna kigumu mbele ya nature controller..

Baada ya kuvamiwa na hizo cosmic radiations iliwabidi aliens kutafuta ni wapi wataweza pandikiza DNA zao kwa ajili ya kuzuia Mutation( mabadiliko ya miili yao) kwa badae ..

ndo wakamua kuprogram viumbe ambao waliwaleta katika planet tofaut ikiwemo na dunia hii ili waweze kutunza biological traits zao..

lakini kwenye sayari zingine inasemekana kuwa hazikuwa nzuri sana kwani mabadiliko zaidi yalionekana kuwasili viumbe walioprogramiwa na kufanya kusitisha zoezi hilo lakini ilionekana kuwa dunia ndo sayari pekee ambayo haikuwa na uwezo wa kuundergo effects za cosmic radiations ambazo zinaleta mutation ya hizo traits za viumbe hao...

Ndo mana inawezekana kabisa kuwa Aliens wameamua kuwekeza hii kind of programing human being hasa dunia hii kwani some traits zao zipo ndani ya miili yetu ndo hizo Non coding DNA ..

Unajua kama unataka kuhifandhi kitu kwa muda mrefu ni dhahili utaandaa mazingira ya kuweza kumudu hali hiyo..

Ukitaka kupata ukweli huu jaribu kuumiza kichwa kwanin non coding DNA ndan ya miili yetu..?.



President John Adams passes the Naturalization Act, the first of four pieces of controversial legislation known together as the Alien and Sedition Acts, on this day in 1798.
(Rais John Adams anapitisha Sheria ya Ustawi, kwanza ya vipande vinne vya sheria ya utata inayojulikana kama Mgeni na Matendo ya Utamaduni, leo katika 1798.ambayo iliipa America kibali cha kufanya negotiation na Aliens kwa kazi maalumu lakini mambo yalifanywa siri nzito sana..)

Na kwanini watu wengi wanaofanya kazi kwenye taasis hizi za siri hasa serikali kama inajihusisha na maswali ya utafiti huwa wanakufa vifo vya ajabu sana,,

Nchi kama marekani yani watu wengi waliopo NASA kila wakisataafu wanarun mental problem na hiyo tunaita MENTAL ABDUCTION ,au wanaishia kuugua magonjwa kama kiharusi ( stroke) au hypertensive diseases au cardiovascular diseases kama HEART ATTACK,HEART FAILURE ,au BRAIN CANCER ,au CANCER OF UNKNOWN AETIOLOGY,,??

Kwanini watu wengi baada ya kufanya kazi kwenye taasisi hizo za siri wanapojaribu kutoa siri nyingi juu ya mambo yalivyo huwa wanaishia kupata ukichaa,,??

Fuatilia hili kama una ndugu yako anayefanya kazi serikalini hasa serikali za siri lazima kila wakistaafu watapata mental problem ,sio wote ila ni baadhi kulingana na sehemu na kitengo alichokuwa ,,

Hii yote pengine wasije kuanza kulopoka huko nje baada ya kutoka kifungoni..

Aliens are more superior interms of interlectual than human being ,tunaona technologia ikikua kwa kasi jambo ambalo lipo kinyume na utendaji kazi wa ubongo wa sasa wa mwanadumu,..kuna nini nyuma ya pazia,,??

kwanini uwezo wa mwanadamu kufikiri unapungua lakini technolojia inakuwa kwa kasi,,?? kina nani wanaoratibu haya mambo nyuma ya pazia.??

Tusije kweli kuwa tumeprogramiwa na Aliens kuwasaidia kuchukua hayo madini yaliyosambaratika kutoka kwao huko miaka mingi iliyopita na kuwafanya kuuumiza akili sana namna ya kufanya hiyo kazi ya kuanza kutafuta madini underground kwetu ila wakaamua kuprogram species watakaofanya hiyo kazi??
View attachment 839884

Nilipata muda wa kutembelea mradi wa kuzalisha umeme nchini Tanzania unaitwa kihansi electrical project upo IFAKARA wiliya ya kilombero mkoani Morogoro,
NADHANI ndo mradi uliocomplicated kuliko miradi yote ya umeme iliyopo Tanzania na AFrica mashariki kwa ujumla..

umeme wa KIHANSI unazaliswa underground kabsa ,yani kuna mlima mkubwa snaa halafu wamechonga tunnel inayoingia ndani ya mlima huo yenye umbali wa kilometre 3 halafu ndo unazama tena chini kwa umbali wa km 2 ndo unafika underground zambazo kuna makazi ya watu na mitambo yote,,kule chini ni kama umeinhia MLIMAN CITY SHOPPING CENTRE yan mitambo imeegeshwa huko balaaa,..

Sasa nikawa namuuliza Engener aliyekuwa zamu kuwa hivi ni binadamu kweli aliyehusika hapa au kuna some extra terrestrial ones,,??
aliishia kucheka na kuniambia under corabolations with some people iliwezekana. SASA KWANINI ALISEMA UNDER CORABORATION TULIWEZA,HIYO CORABOLATIO N A NANI..??


kwa akili yangu sikuaweza kuamini kama binadamu angeweza kupata access ya knowledge yote ile maybe sijui lakini..

mwisho,,,
Napenda kuomba mchango wenu wadau wenye ujuzi au uelewa juu ya uwepo wa non coding DNA bases kwenye mwili wetu lakini pia unapaswa ujiulize kuwa ,ni nini kazi ya non function genes,??
kwanini utafiti uliofanywa na wanasayansi Area 51 juu ya DNA sequence ya human na Alien ulionekana kufanana kwa percennt flani kwenye non coding genes??


JE; tunaweza kweli kuwa ni programmed species za hao jamaaa,,?

cc
Da vincci Kipanga boy Sokoro waito Bitoz Sticky_fingers George_Mbuligwe Kiranga Humble African zitto junior TIASSA GuDume Francis3 Internal Lee Napoleon@Eiyee

na wengine kibao karibuni,,
Siri zipo hapa gusa häpa Vatican Inamiliki Dunia - JamiiForums
 
Nashukuru sana kwa maelezo mazuri mtoa mada kwani elimu yako imenigusa, nami nilikuwa na jambo nataka kuongezea hapo. Mpaka sasa nashindwa kutofautisha viumbe watatu ambao wapo duniani kwa siri kubwa na wote ni extra terrestial beings ambao ni Alliens, reptilians na archons na viumbe hawa wanashirikiana na binadamu wenzetu ili kudestroy human race (fanya reserch ya doomsday vault iliyopo antarctica). Kuhusu kuwa alliens wali tu create sisi binadamu kuna utata kidogo kwani tofauti yetu sisi binadamu na alliens ni moja tu kwamba wao ni viumbe ambao wame advance sana technologically mbele yetu zaidi ya miaka elfu moja. Namanisha ya kwamba they discovered planet Earth by coincedence kama christopher columbus alivo gundua new world. Namanisha nn, namanisha hivi alliens wenyewe hawajui asili yao walitoka wapi kama sisi binadamu ambavyo hatujui reality ya asili yetu ni nini na chimbuko letu ni wapi but wote tupo kwenye safari ya evolution.
Alliens, reptilians na archons wote hawa ni viumbe ambao kwa mtazamo wangu naweza kuwaita ni majini kwani asili yao ni moja na pia hawa viumbe wanatuchukulia sisi binadamu kama chanzo chao cha chakula ( perfect food source, they feed on human enegry through creating a sense of fear in human mind through negative emotions. Kama ukiwa na hofu kwenye nafsi yako jua kuna jini lipo karibu na ww linakula mionzi yako) Chakula cha hawa alliens ni mihemko au emotions za uoga kutoka kwa wanadamu pamoja na damu. Imagine kwamba hawa alliens wamewezaje kukaa hapa duniani muda wote huo bila kuwa na chakula? Jibu ni kwamba chakula chao ni sisi binadamu fikiria kuhusu suala la allien abductions au watu kupotea na kutokuonekana tena. Ripoti nyingi za nchi za ulaya na marekani zinaonyesha kuwa watu wengi wanapotea bila kugundulika walipo na swali la kujiuliza wanaenda wapi? In short ni kwamba sisi binadamu tunauza binadamu wenzetu kwa hawa alliens in exchange with mordern technology. Mwangalie mwanasayansi wa mambo ya rocket na anga jack persons utaweza kujua kwamba binadamu tecnolojia zetu zote tunapewa na hawa alliens ambao wanaishi underground au chini ya ardhi. Hawa alliens lengo lao ni kutawala dunia na kutufanya sisi binadamu watumwa kwa kutumia technolojia. Techolojia ni silaha ambayo siku moja itakuja kutugeuka binadamu na kutumiwa na alliens ambao watachukua dunia yetu na kutumaliza wote kwa kutuua binadamu.

In short ni kwamba hawa alliens ni viumbe ambao wametuzidi kiteknolojia tuu na wanapenda kuabudiwa kama mungu au mizimu ndo mana kila ukoo unakuwa na maagano fulani au matambiko kwani mababu zetu toka zamani siri ya viumbe hawa wanaijua sana.

Kwa kumalizia ni kwamba alliens wana fanya experimentation kwa wanadamu ili waweze kufanya reproduction. Taarifa zinadai ya kwamba hawa alliens wanafanya majaribio ili waweze kupandikiza mbegu zao kwa wanawake wa kibinadamu ili kutengene species mpya ya viumbe wanaoitwa aryan race ambao watakuwa na nguvu za ziada kuliko binadamu. Wakifanikiwa na hilo its the end of humanity as we speak au kwa lugha fasaha ndo mwisho wa dunia kwani watatumaliza binadamu wote alafu watairithi dunia yetu.

*Obrigado

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hivi taarifa huwa watu wanazipata vp ni akina nani ambao ndiyo hueleza hizi habari?
 
Hapana,yani nachouliza sio kwamba nyie mnaoeleza humu mmepata wapi haya maelezo bali hao wanaoeleza hizi habari(iwe kwa njia vitabu au vyovyote vile) wao wanapata wapi hizi taarifa hadi nao wakaja kuzieleza?
Mkuu labda nikuombe kitu kimoja...
Hii dunia au huu ulimwengu una mambo mengi sana ...

Tena mengi mno na mengi yanawwza kukufanya ukaloose sense of perfection kabsa kwa sababu ni mengi sana na yanatolewa katika phase ambazp ni incomplete ndo mana mtu anakuwa haelewi mwisho wake..

Kuna Esoteric teachings hizi haziwekwi kwenye vitabu kama hivyo vinavyozagaa uchocholoni( google) kama ambavyo wengi tumekuwa tukikimbilia huko.

Esoteric knowlege hutolewa kwa watu wachache tena beneficial ones na hawa pengine huweza kuwadokeza ndugu zao wa karibu ambao wanatamani wasiingie kwenye illusion ilijazwa kwao huku reality ikiendelea kuwa paradoxy kwa wengi..

These teachings are there and you must believe..


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom