Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Hameni airtel,,,,,,,,,,,,,,
nahuo ndio ukweli wenyewe
Hameni airtel,,,,,,,,,,,,,,
mwishowe nimepata kukujua line zipigiwazo kelele zinakopatikana. zinauzwa elfu kumi kwa moja, au ukitaka mbili elfu 15. kama unataka na upo zanzibar piga 0716 999 806 nikusaidie. kama upo dar kuanzia tarehe 18 mwezi huu nitakuwepo DAR.
epictunnel sijui kama matatizo yapo kwao maana ukifungua page yao kawaida kwenye browser inaopen nafikiri hawajamaa watakuwa wameblock tu.