Projectors mpya toka uk zinapatikana kwa bei nafuu.

TITOP002

Member
Aug 15, 2009
29
1
NI TECHOLOJIA YA KISASA AMBAYO NDIO INATUMIKA SANA KWA HIVI SASA.
ZINA UBORA WA HALI YA JUU NA BALBU(GROUPS) ZAKE NI BEI RAHISI SANA.
ZINA MASAA MENGI(8000 HRS) KULIKO PROJECTA NYINGI.
Matumizi: zina TV turner-zinatumika km TV,Business presentations,Maharusini,Games,shools,colleges,kuonyesha mipira kwenye kumbi na mengine mengi.




SPECIFICATIONS.
Specifications:
Model
Clearco HD9000 Model - With Latest LCD Technology!

Brightness
2,200 Lumen!!!!
Contrast Ratio
2000:1
Resolution
1024*768
Light
175W Golden Bittern Lamp
Lamp Life
8,000 hrs (New Technology)

Voltage
240 volts AC
Projection Distance
1.5 to 6 metres
Projection Size
45"-150" (Massive) Zoom Function Equipped

Aspect Ratio
16:9 and 4:3 Switchable
Body Size
260mm x 220mm x 70mm (Slim-Line!)

Interfaces
Video Inputs: PC, TV, Video, Audio, S video, SCART adapter available!

Output
Video, Audio
Speaker
3W Stereo speaker

Controller
Infrared Remote control
kwa bei na maelezo zaidi piga simu number: 0713846454.
Thank you.









 
Sasa ndugu, projectors kwa bei nafuu kisha tukupigie ndio tujue bei?, kwa nini hukutujulisha bei hapa hapa tukajua kama uwezo tunao au la.Anyway thanx lakini.
 
NI TECHOLOJIA YA KISASA AMBAYO NDIO INATUMIKA SANA KWA HIVI SASA.
ZINA UBORA WA HALI YA JUU NA BALBU(GROUPS) ZAKE NI BEI RAHISI SANA.
ZINA MASAA MENGI(8000 HRS) KULIKO PROJECTA NYINGI.
Matumizi: zina TV turner-zinatumika km TV,Business presentations,Maharusini,Games,shools,colleges,kuonyesha mipira kwenye kumbi na mengine mengi.




SPECIFICATIONS.
Specifications:
Model
Clearco HD9000 Model - With Latest LCD Technology!

Brightness
2,200 Lumen!!!!
Contrast Ratio
2000:1
Resolution
1024*768
Light
175W Golden Bittern Lamp
Lamp Life
8,000 hrs (New Technology)

Voltage
240 volts AC
Projection Distance
1.5 to 6 metres
Projection Size
45"-150" (Massive) Zoom Function Equipped

Aspect Ratio
16:9 and 4:3 Switchable
Body Size
260mm x 220mm x 70mm (Slim-Line!)

Interfaces
Video Inputs: PC, TV, Video, Audio, S video, SCART adapter available!

Output
Video, Audio
Speaker
3W Stereo speaker

Controller
Infrared Remote control
kwa bei na maelezo zaidi piga simu number: 0713846454.
Thank you.










Sasa ndugu, projectors kwa bei nafuu kisha tukupigie ndio tujue bei?, kwa nini hukutujulisha bei hapa hapa tukajua kama uwezo tunao au la.Anyway thanx lakini.

TITO nakuomba this time uwe serious ....usiwazingue watu kama ulivofanya kipindi cha nyuma kisha ukaingia mitini.....embu check hiyo thread na utakumbuka issue ulizofanya...
https://www.jamiiforums.com/matanga...fer-for-world-cup-stock-available-in-dar.html
 
TITO nakuomba this time uwe serious ....usiwazingue watu kama ulivofanya kipindi cha nyuma kisha ukaingia mitini.....embu check hiyo thread na utakumbuka issue ulizofanya...
https://www.jamiiforums.com/matanga...fer-for-world-cup-stock-available-in-dar.html

Asante sana Ndugu PAYUKA kwa kutupatia hii tahadhari kuhusu hii deal ya Ndugu TITO002 ili tufuatilie tangazo lake la biashara kwa tahadhari. Ushauri wa bure kwako TITO002, be serious na biashara zako, zisiwe za kubeeeeeepp!!!!!
 
Asante kwa kutupatia hii tahadhari kuhusu hii deal ya ndugu Payuka ili tufuatilie tangazo lake la biashara kwa tahadhari. Ushauri wa bure kwako Payuka, be serious na biashara zako, zisiwe za kubeeeeeepp!!!!!
Kweli mama mdogo mpe vipande vyake kama aliwahi kuwatia joto watu halafu akaingia mitini ni aina ya utoto ambao hauwezi kumlipa na inaelekea hata akikua hatoacha!

Biashara za soko huria zinataka uwazi suala la kupiga simu litafuata watu wakishajua bei na kuridhika nayo ndipo wanaweza kupiga kwa ajili ya ku bargain terms ndogo ndogo na kukamilisha biashara yenyewe. Naona pia kuna usahaulifu au kutokuwa makini katika maana kwamba mawasiliano ni pesa, sasa uanze tu kuwasiliana wakati hujajengewa ushawishi wa kutosha, letu us be serious.
 
Tumetoa specifications za projector hapo juu na Phone contact Kwa watu wanaohitaji.Watu wengi wamepiga simu na kununua.

Hatuweki bei ili kuepuka JOKERS.Mtu ambaye yuko seriouse hawezi kushindwa kupiga simu au kuomba call back facility.

Thank you.
 
Tumetoa specifications za projector hapo juu na Phone contact Kwa watu wanaohitaji.Watu wengi wamepiga simu na kununua.

Hatuweki bei ili kuepuka JOKERS.Mtu ambaye yuko seriouse hawezi kushindwa kupiga simu au kuomba call back facility.

Thank you.

Thanx, sasa hv nawatwangia tafadhali nipigie,...kisha nauliza bei! teh teh!
 
Tumetoa specifications za projector hapo juu na Phone contact Kwa watu wanaohitaji.Watu wengi wamepiga simu na kununua.

Hatuweki bei ili kuepuka JOKERS.Mtu ambaye yuko seriouse hawezi kushindwa kupiga simu au kuomba call back facility.

Thank you.

Jokers??? Wale wajapan na biashara yao ya magari wanaweka thamani ya bei kwenye mtandao sembuse kaprojector kako, au Kivuko.com mbona wameweka bei ya kila kitu na wanakuletea mpaka mlangoni kwako hata kama unaishi manzese,...acha mambo ya 47 weka bei watu wachambue mbiivu na mbichi


Search
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom