Elections 2010 Projections

Status
Not open for further replies.

Selemani

JF-Expert Member
Aug 26, 2006
947
292
Kabla ya viti maalum. Bunge la Jamhuri (yes ukichanganya na Zanzibar) kutakuwa na wapinzani between 80-90. Ukiongeza na vitu maalum, lazima tukubali kwamba litakuwa bunge la ukweli.

Jakaya is expected to win by low 60 percintile. Kuanzia 60-65%.

Habari ndio hiyo. Amani na utulivu jamani. Kazi ya upinzani mwaka huu ndiyo inayotakiwa iendelee na wasibweteke. Nina uhakika JK awamu yake ya pili atakuwa makini sana, na CCM wataacha michongo yao ya kuona kama nchi mali yao. InshaAllah 2015, tutaendeleza mtanange wa demokrasia ili kuhakikisha utawala bora.
 
Kabla ya viti maalum. Bunge la Jamhuri (yes ukichanganya na Zanzibar) kutakuwa na wapinzani between 80-90. Ukiongeza na vitu maalum, lazima tukubali kwamba litakuwa bunge la ukweli.

Jakaya is expected to win by low 60 percintile. Kuanzia 60-65%.

Habari ndio hiyo. Amani na utulivu jamani. Kazi ya upinzani mwaka huu ndiyo inayotakiwa iendelee na wasibweteke. Nina uhakika JK awamu yake ya pili atakuwa makini sana, na CCM wataacha michongo yao ya kuona kama nchi mali yao. InshaAllah 2015, tutaendeleza mtanange wa demokrasia ili kuhakikisha utawala bora.

awamu ya pili ya jk?
 
Kabla ya viti maalum. Bunge la Jamhuri (yes ukichanganya na Zanzibar) kutakuwa na wapinzani between 80-90. Ukiongeza na vitu maalum, lazima tukubali kwamba litakuwa bunge la ukweli.

Jakaya is expected to win by low 60 percintile. Kuanzia 60-65%.

Habari ndio hiyo. Amani na utulivu jamani. Kazi ya upinzani mwaka huu ndiyo inayotakiwa iendelee na wasibweteke. Nina uhakika JK awamu yake ya pili atakuwa makini sana, na CCM wataacha michongo yao ya kuona kama nchi mali yao. InshaAllah 2015, tutaendeleza mtanange wa demokrasia ili kuhakikisha utawala bora.

baada ya kuchakachua??
 
Nina uhakika JK awamu yake ya pili atakuwa makini sana,

This guy has never, and will never be serious in life. If this prediction is right, we have lost the next five years, and, believe me, they will be the hardest you have ever experienced in your life. This will be a lost opportunity for a trillion $$$ gain
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom