Beast_Mzee
Member
- Jan 18, 2018
- 18
- 19
Habarini wana Jamvi.. natafuta nafasi ya ku volunteer...nina shahada ya Project planning management and community development
Unataka kujitolea kweli au unataka kutumia mgongo wa kutaka kujitolea wakati ukishafika unaanza kudai kulipwa! Ni vema pia ungetaja uko wapi kwa sasa nikuelekze ofisi za kwenda! Kwa Taaluma yako unafaa sana.Habarini wana Jamvi.. natafuta nafasi ya ku volunteer...nina shahada ya Project planning management and community development