Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Huyu jamaa sijui katokomea wapi, hata huko pm hajibu maombi ya watu.
Anga ipi? Kiçhawi au?Miye naitaji kujiingiza katika biashara ya usafirishaji wa anga, nisaidie kujua chuo kinachotoa kozi hizo hapa Tz