Project gani ya IT naweza kufanya kwa mtaji wa 20M - 50M

Kama ni complex sana na IT wako ndo wale wa ku google na youtube
Mimi naamini hamna developer ambae ha-google, hata wale seniors wenye miaka 10+ lazima kuna muda wanasahau syntax. Kwasababu binadamu sio robot eti utakumbuka kila kitu. Na kwenye programming mimi naamini kukumbuka hapa natumia nini ni muhimu, kuliko kukariri code word by word. Kwahiyo usikatishe wengine tamaa wakahisi wapo less kwa kutokukumbuka kila kitu.
 
Mimi naamini hamna developer ambae ha-google, hata wale seniors wenye miaka 10+ lazima kuna muda wanasahau syntax. Kwasababu binadamu sio robot eti utakumbuka kila kitu. Na kwenye programming mimi naamini kukumbuka hapa natumia nini ni muhimu, kuliko kukariri code word by word. Kwahiyo usikatishe wengine tamaa wakahisi wapo less kwa kutokukumbuka kila kitu.
Hii dhana ya kukariri code basi ww ni programmer mzuri inawapoteza watu wengi sana, solving problemz skill ni key katika programming, syntax unacheki katika docs ya language/framework husika na ukitumia mara kwa mara unakumbuka.
 
Hii dhana ya kukariri code basi ww ni programmer mzuri inawapoteza watu wengi sana, solving problemz skill ni key katika programming, syntax unacheki katika docs ya language/framework husika na ukitumia mara kwa mara unakumbuka.
Hii☝️. Umeongea facts tupu mkuu.
 
Hii dhana ya kukariri code basi ww ni programmer mzuri inawapoteza watu wengi sana, solving problemz skill ni key katika programming, syntax unacheki katika docs ya language/framework husika na ukitumia mara kwa mara unakumbuka.
Yes. Problem-solving skills ni central, mathematical aptitude, logic, uwezo wa kuconnect dots na ability to think strategically.

Na ili kupima uwezo wako wa kuprogram, fikia point ya kuweza kuelewa codes za wengine.
 
Kwa experience yangu kwa huo mtaji wako inaweza ikawa ivi ( ikiwa idea yako ita base kwenye ku code ios na android app pamaja na website kwa ajili ya vitu kama api)

Timeline:

Kwenye IOS na Android
- ita include app design, implementation na programming

Kwenye website
- ita include technical specification [ hapa mostly ni uchaguzi wa programming language, na backend pamoja frontend framework. Pia uchazuzi wa storage labda amazon au microsoft]. Labda kuna third party api utatumia etc

Team:
Hapi unaweza ukatoa ajira kwa
1 (mtu mmoja wa) : UI/UX designed
1-2 (mtu mmoja au wawili) : android development
1-2 (mtu mmoja au wawili) : ios development
1 (mtu mmoja wa) : kwenye website backend
1 (mtu mmoja wa) : quality check, wa kutest izo app na website kabla hazijawa public
1 (mtu mmoja wa) : project manager
(unaweza ukawa wewe tu hapa, ukawasimamia hao vijana)

Project flow.
Hapa inategemea na jinsi iyo idea itavyokuwa complex kwenye development.

1. kwenye planing stage
-hapa mnaweza ku spend wiki 1 hadi 2

2. Kwenye design stage
- hapa mnaweza kutumia 2 hadi 3 ivi

3. Kwenye development
-hapa mnaweza tumia wiki 12 - 15

4. Kwenye testing
-kama wiki 1 au 2 zinayosha

5. Release (demo)
- wiki itatatosha kabisa, demo kwa watu nje ya office yetu ili mpate maoni ya system

6. Post Release
- mkisha jirizisha mnaweza ku zima demo mkaendelea na biashara


Kwa kumalizia kama nilivo sema idea complexity ndo inaweza ku extend mda wa development au kuufupisha

Simple app inaweza chukua miezi 2

Medium app inaweza chukua miezi 3 - 5

Kama ni complex sana na IT wako ndo wale wa ku google na youtube inaweza kuchukua miezi 6 hadi 18 na mtaji unaweza ukakata


Kwa idea unazoweza kufanya kwa haraka haraka
1. Labda utenfeneze ecommerce kwa ajili ya vyuo vikuu. Labda mm nasoma mzumbe nikipost product zangu wanafunzi wa mzumbe tu ndo wanaona au vyuo vyote vya morogoro. Mwanafunzi aone product kulingana na eneo alilopo
2. Nyingine mm nishachoka kulipa nauli ya bajaji na bodoboda kwa cash lbadaa utegeneza app kwa ajili ya ku accept payment kwa madereva

3. Kwenye utalii labda ufanye kama ile tourbylocal mtu aweze ku book local guide akuonyeshe vivutio

4. Au tengeneza api za kuaccept payment kwenye website mbalimbali. Kama mm na website mataka ni accept labda mpesa kwenye malipo na jiconnect na api yako inanisaidia kwa hapo
We jamaa huwezi amini ni kias gan umenifungua akili juu ya my new project ninayo tarajia kuianza it's the next big thing believe me.. naskuru sana brother
 
Nitafute nikutengenezee crypto token yako yaani virtual currency yako.. sarafu yako ya mtandaoni ambayo itatumika kulipia viingilio vya mpira ligi kuu bara at the same time itatumika Kama form of investment.

Nafanya kazi nzima kuanzia kutengeneza Token yako, website, Whitepaper, kuilist kwenye pancakes swap.

Hadi ianze kuwa traded... It's a $100 million dollar business kwa nusu ya mtaji wako.

Hit my inbox for more info.
Nicheki kaka! 0768650509
 
chako ni chako tu.
ni kuilize kitu microsoft alikuwa windows phone ilichukua mda gani na ios ilipofika leo kuna nini !.

Nasa ina mda gani na leo spaceX ndio habari ya mjini kuliko tulio tegemea.

sisi tunaamini ukichelewa kina kufa.

unafahamu whatsapp ilikuwa ni project ya mda mrefu tokea app ya Nimbuzz ilipo pelekwa facebook walikataa ila walikuja mda gani na leo facebook kanunua kwa pesa kubwa.
Wewe! Hio wasap ya leo sio ya jana.
Tafuta kisa kimoja cha mtu aliegundua redio/ simu ya analogue huko UK. Kilichotokea gunduzi yake n dead invention.
Nikwambia brother nilikuwa nawazo niunde Blind enhance Robot. yaani iwe project ya physics kwa mwaja wa 3. Kutokana na ugumu wa wazo hasa kwa fedha za kuunda prototype nikaamua niachane na wazo ila nije nilifanyie kazi baadae .
My dear member ! It is now dead idea

Kwa nini ? Warusi wamefanya tafiti kubwa ya kumuwezesha kipofu kuona kwa miwani.
My idea ilikuwa to enhance a brind gain awareness ya mazingira ili ajiongoze mwenyewe. Hii inge intergrate diff tech nakumpa nafuu kipofu, sasa wenzangu wanekuja na suluhisho kamili unadhani idea yangu itafaa tena? Hio si ni sawa na simu ya analogue dhidi ya android phone?
Lile wazo lilitakiwa lifanyiwe kazi on spot baadae lipambane llikiwa sokoni, wazo haliwezi pambana likiwa kabatini.
Shida iliopo sisi waafrika hatupo serious na mambo yetu. Chukua wazo hata uliuze basi kama huwezi kulitekeleza.
Sasa hivi nina idea imekuja na ku reasonate in my head nachotaka niiandikie paper nii publish, nataka niingie kufany a review kwanza kama hakuna aliefanya(it is very adv physics)
The fact is mamilioni ya binadamu wana ideas, tofauti ni kuzifanya ziwe kweli na ziwe affordable.
Kinachokwamisha ni pesa na ukipeleka kwa wenye pesa muda mwingine unapigwa na kitu kizito kichwani unaona bora idea ifie kabatini. Mind you idea hsiwezi kuwa relevant muda wote.
Davince aliacha ideas nyingi sana ila familia yake hawajawahi kuzitumia na mpaka zikapitwa na wakati .
Mkuu ziweke public mfano AI language m9dels zipo public mtu yeyote anaetaka kujitupa ana access na kuanza ku excell.
Mnona kundi la wazungu wenye humanity kuna tech wamexiweka public sisi walala hoi tusingeweza kuzipata, hao watu walikuja na wazo la Open source project., mfano app ya ATOM ipo open source unaindeleza na kuipata bure, sasa kwa nini sisi waafrika tunakuwa wachoyo sana mpaka tunakufa na ideas?
Nakumbuka wazo nililotaja juu , nililipata baada ya kumuona kipofu pale chuoni anapata shida ya utambuzi wa mazingira.
Nilipochakata ideas za physics nikaona naweza unda hio Robot, baadae nikawaza je vipofu wapo wangapi na hii itakuwa biashara gani mbona watu wenyeee wanahitaji tu msaada huo uwezo wa kununua hicho kifaa wataupata wapi( I made a big mistake!), suluhisho lilitakiwa liwe la kibinadamu si kwa faida.
Now iam going to do all my project for the people not for the money anymore !
 
Back
Top Bottom