Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,686
- 3,992
Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe pamoja na Balozi wa Ujerumani nchini, Bw. Egon Konchake wamezindua rasmi Programu ya kulinda na kuendeleza hifadhi ya Selous(SECAD).
Programu hii ni jitihada za pamoja za Serikali za Ujerumani na Tanzania na asasi za kiraia za kulinda Hifadhi ya wanyama ya Selous na ecosystem yake.
Programu hii ni jitihada za pamoja za Serikali za Ujerumani na Tanzania na asasi za kiraia za kulinda Hifadhi ya wanyama ya Selous na ecosystem yake.