WanaJambo wenzangu... Leo naona Michuzi ameshatupostia hotuba ya Mhe Rais JK leo katika uzinduzi wa awamu ya pili ya rejeo hapo juu inapatikana at:
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/01/jk-leo.html
Nimeisoma na kuielewa ipasavyo lakini my concerns are:
1. Mhe anasema CSRP phase I imepelekea kuwepo na serikali ndogo yenye ufanisi mkubwa - Hili mimi nalipinga moja kwa moja sababu katika maisha yangu serikali ya awamu ya 4 ina Baraza kubwa kuliko zote
2. Gharama ndogo za uendeshaji wa serikali - Hapa itakuwa ngumu sana kukubali ukizingatia manunuzi ya magari (VX,GX etc), safari za JK na viongozi nje na ndani ya nchi (frequency and size of delegations)
3. Ajira hew serikalini - Hili bado ni shida sana haswa vijijini na kwenye halmashauri ndogo... Pia nakubali kufuta ajira hewa lakini kuruhusu kuwepo kwa Vihiyo, na bias in recruitment (ndugu, jamaa na marafiki) havijaguswa wala kuongelewa!!
4. Maslahi kwa watumishi yame/yanaendelea kuboreshwa - Hili sina la kusema zaidi ya kutoa ushauri uende kuangalia hali ya walimu, waganga, mabwana shamba sio mijini/majijini bali vijijini na kwingineko kisha u-make conclusion on that!!
5. Swala la teknolojia na uzinduzi wa jengo - Hapa wala sisemi, manake tunashikia kununua na kuweka kopyuta lakini serikali yenyewe imeupa mgongo swala la "Fibre-optical backbone" liende kwa manyani.... Kuelezea hili ni kwamba TANESCO na wawekezaji wengine kila mtu anakimbilia njia yake na hakuna combined effort. So hili ni kujaza maji kwenye gunia kwa kujaribu weka vijikompyuta lakini hatuangalii mbele!!!
My take, hii ni nyingine katika vile vijisifa vya majukwaani lakini in real life ni gumzo la alinacha!!!
http://issamichuzi.blogspot.com/2008/01/jk-leo.html
Nimeisoma na kuielewa ipasavyo lakini my concerns are:
1. Mhe anasema CSRP phase I imepelekea kuwepo na serikali ndogo yenye ufanisi mkubwa - Hili mimi nalipinga moja kwa moja sababu katika maisha yangu serikali ya awamu ya 4 ina Baraza kubwa kuliko zote
2. Gharama ndogo za uendeshaji wa serikali - Hapa itakuwa ngumu sana kukubali ukizingatia manunuzi ya magari (VX,GX etc), safari za JK na viongozi nje na ndani ya nchi (frequency and size of delegations)
3. Ajira hew serikalini - Hili bado ni shida sana haswa vijijini na kwenye halmashauri ndogo... Pia nakubali kufuta ajira hewa lakini kuruhusu kuwepo kwa Vihiyo, na bias in recruitment (ndugu, jamaa na marafiki) havijaguswa wala kuongelewa!!
4. Maslahi kwa watumishi yame/yanaendelea kuboreshwa - Hili sina la kusema zaidi ya kutoa ushauri uende kuangalia hali ya walimu, waganga, mabwana shamba sio mijini/majijini bali vijijini na kwingineko kisha u-make conclusion on that!!
5. Swala la teknolojia na uzinduzi wa jengo - Hapa wala sisemi, manake tunashikia kununua na kuweka kopyuta lakini serikali yenyewe imeupa mgongo swala la "Fibre-optical backbone" liende kwa manyani.... Kuelezea hili ni kwamba TANESCO na wawekezaji wengine kila mtu anakimbilia njia yake na hakuna combined effort. So hili ni kujaza maji kwenye gunia kwa kujaribu weka vijikompyuta lakini hatuangalii mbele!!!
My take, hii ni nyingine katika vile vijisifa vya majukwaani lakini in real life ni gumzo la alinacha!!!