Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,550
Nina program moja ya kuisaidia jamii hususani watoto katika sector ya elimu, inahusu kuandaa Handouts/Notes katika mfumo wa Vitini.
Sifa ya vitini
1) Simplified...ili mwanfunzi asiwe bored kujisomea
2) Well analyzed...Mwanafunzi aweze kuelewa
Hesabu
~Kitini kimoja tutauza (1000 to 1500)Tzs kutegemeana na End product...
~Lengo kuuza vitini 200 kwa shule moja.
~Lengo kufikia shule zisizopungua 300 na kuuza vitini visivyopungua 60,000.
Comittment kubwa inahitajika
1)Kuandaa Handouts...tutakesha ku-Type na si kuandikaandika tu kuandika vitu vilivyonyooka
2)Ku Approach walimu mpaka wakubali
3)Kuzunguka mashuleni
Nishaongea na mwalimu wa shule moja kakubali kutuunga mkono kusaidia vijana.
Namtaka Mwalimu mmoja wa History anayelijua somo la History vizuri sana Sifa:-
1) Asiwe mvivu maana itamlazimu kukachini kuandaa Handouts na kuzunguka san shule mpaka 500 na zaidi.
2) Uwe na PC au Access ya kuipata, hii ya kundalia Handouts...ukiwa na Access ya kuzipata mbili utatisha zaidi
3) Presentable, uwe na uwezo wa kushawishi na Confidence ya hali ya juu.
4) Ukiwa wilaya ya Temeke itapendeza mimi naishi Mtoni kijichi
Sifa ya vitini
1) Simplified...ili mwanfunzi asiwe bored kujisomea
2) Well analyzed...Mwanafunzi aweze kuelewa
Hesabu
~Kitini kimoja tutauza (1000 to 1500)Tzs kutegemeana na End product...
~Lengo kuuza vitini 200 kwa shule moja.
~Lengo kufikia shule zisizopungua 300 na kuuza vitini visivyopungua 60,000.
Comittment kubwa inahitajika
1)Kuandaa Handouts...tutakesha ku-Type na si kuandikaandika tu kuandika vitu vilivyonyooka
2)Ku Approach walimu mpaka wakubali
3)Kuzunguka mashuleni
Nishaongea na mwalimu wa shule moja kakubali kutuunga mkono kusaidia vijana.
Namtaka Mwalimu mmoja wa History anayelijua somo la History vizuri sana Sifa:-
1) Asiwe mvivu maana itamlazimu kukachini kuandaa Handouts na kuzunguka san shule mpaka 500 na zaidi.
2) Uwe na PC au Access ya kuipata, hii ya kundalia Handouts...ukiwa na Access ya kuzipata mbili utatisha zaidi
3) Presentable, uwe na uwezo wa kushawishi na Confidence ya hali ya juu.
4) Ukiwa wilaya ya Temeke itapendeza mimi naishi Mtoni kijichi
“Tunasidia jamii tu kama walimu, sisi ni wazalendo”