Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,341
Mzee Mwanakijiji kuanzia tarehe 30 October watu ndiyo wataanza kukuelewa.
Last edited by a moderator:
Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Naubiri kwa hamu.Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
We endelea tu na Zinduna yako kwa Obama huku Bongo watu washaanza kushangilia ushindi.Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Mwanakijiji tuache mkuu tuamue wenyewe tupo kwenye uwanja wa mapambano mbona wewe ulikimbia unaishi na Obama hata hujui shida zetu bwana
Tarehe 30 mbali watu washaanza kushangilia.Mzee Mwanakijiji kuanzia tarehe 30 October watu ndiyo wataanza kukuelewa.
Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Lakini wewe Mzee Mwanakijiji wewe hujawahi kuumwa tangu kuzaliwa kwako?? Au familia yako haijawahi kupata hata na ugonjwa wowote?? Mimi hapa ni muathirika wa UKIMWI nimeamua kuweka wazi na ninakerekwa sana na tabia zenu hizi za kunyanyapaa wagonjwa Kana kwamba ninyi CCM hamuumwi?? Mbona Kikwete alikuja huko kwenu USA kutibiwa na hatukumnyanyapaa!!!Mbona kila wakati Mungu anawapiga viboko huko India?? Maiti ngapi za wana CCM zimerudishwa huku kutoka India???
Hivi wale akina mama na wagonjwa wote wa pale Muhimbili, Mwananyamala ni UKAWA .
Yaani nimebaki kutoa machozi kwa hiyo tabia yenu ya kunyanyapaa wagonjwa!!! Sisi huku ktk dini zetu tunaamini kuwa uzima unatolewa na Mungu na maradhi vilevile Mungu anayatoa!!!Niambie ni nani anataka kuumwa???Umshukuru Mungu uko hai mpaka sasa hivi lakini hujui Mungu anaweza akachukua pumzi yake mda wowote .
Wenzako walimnyanyapaa huyo Lowassa na hatunao tena hapa!!!
Siasa gani hii mliobaki nayo ninyi CCM?Mbona mlikuwa na miaka mingi ya kujitangaza!!! Hoja ya ugonjwa haina nguvu mwanakijiji unajipunguzia heshima mkuu Bado tunakuheshimu sana mwanakijiji hapa JF
Operesheni Zinduka inaendelea; tutagusa mojawapo ya mada ambbazo labda itakuwa ya pekee ya kumtetea Lowassa kuhusiana na hoja ya afya yake. Kuna kitu hata hivyo ambacho ukikisikia utashtuka... hasa kwa wale undecided na wengine ambao wanafikiri wameshaamua stay tuned!
Rafiki MMM,
Mambo ya Afya nakusihi utumie hekima.Bwana Mungu ndiye anayeshikilia uhai na Afya zetu. I think,therefore,You understand this.
Well,unaweza kusema Huyu ndugu Lowasa anaitaka Ofisi yetu ya umma,hivyo tunawajibu wa kujua afya yake; Vema na haki. Lakini je Unaijua Afya ya Pombe? Je Afya ya Kikwete?
Roll back your sanity folk.
Vinginevyo una kesi na Muumba (kama unaamini,au huamini).