Magufuli hajaamua CCM! Alikuepo toka zamani, LOWASA alishawahi kua kiongozi wa CCM ngazi ya Taifa, vyote ni vyama vya siasa kazi ni moja.
He! Mimi nilikua silijui hili!,
Nimekutana na Mzee mmoja mkongwe wa CCM leo asubuhi mtaani kwetu akanambia; "Aisee CCM wanakiua chama hivi hivi,wanafikiri wamemaliza makundi lakini subiri utajionea mwenyewe!Eti huyu ndio aje kua M/kiti wa chama! yaani wao badala ya kuchagua kiongozi mwenye historia ya kukiongoza chama na kukijua vizuri, leo wamekosa kiongozi mwenye sifa mpaka wakachagua mtu ambaye hata hajui CCM imeanzia wapi?
Yeye anajua tu idadi ya barabara na samaki tu! Haujui hata muundo wa uongozi wa ndani ya Chama, Ni bora hata ya Mwigulu ambaye ndani ya muda mfupi nafasi ya N/katibu mkuu CCM bara kakifahamu chama vizuri, ni bora hata Lowassa pamoja na kuhama kwake lakini anajua namna vyama vinavyoendeshwa kwa uzoefu wake wa uongozi wa miaka mingi ndani ya CCM"
Aidha huyo mzee akaendelea kusema kwamba" Angalia hata kampeni za Magufuli! ni za hofu,jazba,kutetemeka, kukosa kujiamini mbele ya umma, Lakini Lowassa yeye hana hofu anafanya yake kimya kimya akijiamini kua Magufuli sio size yake! kwahiyo kijana ukweli tunaujua asikudanganye mtu"
Hoja nyepesi! Dr Slaa ni katibu mkuu wa CHADEMA taifa, alihamia toka CCM alikuta CHADEMA wana mfumo waao wa kiuongozi zaidi aliongezea uzoefu wake.Vyama tofauti,vyenye mifumo ya uongozi na sera tofauti,siasa tofauti,malengo tofauti
'Kama kuna mtu anampenda sana lowasa akanywe naye chai, ikulu so pango la wanyang'anyi' by Nyerere 1995.Magufuli atakuwa mwenyekiti wa ccm wa kwanza bila kuwa raisi.
POMBE MWISHO KAUNTA MTAANI NA IKULU LOWASA ANATOSHA.
Hoja nyepesi! Dr Slaa ni katibu mkuu wa CHADEMA taifa, alihamia toka CCM alikuta CHADEMA wana mfumo waao wa kiuongozi zaidi aliongezea uzoefu wake.
Ni kweli hajawahi kushika nafasi hizo.
Lakini huo uwezo alikuwa nao na jinsi ya kuongoza anajua. Yeye kuwa M/Kiti wa CCM anafaa kabisa.
ANGALIZO; Kuwa M/Kiti wa CCM sio kwenda kulima au kubeba magunia bali ni kufuata kanuni na taratibu
za chama KUONGOZA.
Jambo la mwisho, MAGUFULI ndio Rais wako wa Tano. Ikulu ipo kwa ajili ya CCM tuu.
Mandla.
Wanatafuta uzoefu!Sasa kwa nini mmembwaga Slaa mkaweka huyo fisadi wakati slaa ana uzoefu mkubwa kwenye chama hadi kuwa katibu mkuu wa chama?