Pamoja na Matatizo mengine lakini tatizo kubwa ni kukabidhi kila kitu kuanzia akili zetu kwa mtu mmoja anayeitwa RAIS. Huyo Mkandara na Bana lazima wawajibike kwa BWANA yao aliyewaweka hapo. Matatizo mengine na hasa ya uawajibikaji yangeweza kuepukika kama VC itakuwa ni POST watu wanaomba kulingana na qualification, wanafanyiwa interview then finally anachaguliwa na JOPO la WATAALAMU wenzake. Lakini hii ya kuwa picked up with a single handed man kamwe haiwezi kuleta uwajibikaji. Sijui kwanini Wasomi wa UDSM wameshindwa kupigania hili!
Ninasikitika sana kusikia UDSM sasa hivi iko hivyo. Sisi tuliosoma enzi zile 80s hayo mambo ya kubebana sijui kulenga choo etc hayakuwepo!!
Mungu wangu tuepusha na haya, tumeua viwanda sasa tunaua VYUO VIKUU, SIJUI tutakuwa TAIFA gani katika SAYARI hii?!.
Ninasikitika sana kusikia UDSM sasa hivi iko hivyo. Sisi tuliosoma enzi zile 80s hayo mambo ya kubebana sijui kulenga choo etc hayakuwepo!!
Mungu wangu tuepusha na haya, tumeua viwanda sasa tunaua VYUO VIKUU, SIJUI tutakuwa TAIFA gani katika SAYARI hii?!.