victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 613
Ulikuwa naye wakati anatekwa?Ni kweli watanzania siyo wajinga wanajua kuwa Assad anasema uongo mtupu sasa
Ulikuwa naye wakati anatekwa?Ni kweli watanzania siyo wajinga wanajua kuwa Assad anasema uongo mtupu sasa
Familia inajua kaenda kisarawe halafu nyie mnaiambia ametekwaHata familia yake isijue hayo?
Wamechagua eneo ambalo lina utulivu ukizingatia ni kipindi cha siku kuu, lakini kwa nini msikubali ushauri wangu tafuteni hao members wa tampro.. mpate uhakikaMimi namuamini Prof.
Lakini najiuliza iweje watu wazito kama hao (Tz Muslim Professionals) kati ya maeneo yoote ya Kisarawe wakafanyie mkutano kwenye kijiji ambacho kinakosa network siku nzima?
Inamaanisha kijiji kama hicho umeme pia hakuna wala internet, wala wao wakitaka kupiga simu pia hawataweza (na mkutano ni wa siku 3 mfululizo ila prof kakaa siku 1 tu)
Ina maana hawana hela ya kufanyia kwenye kumbi zoote Kisarawe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, huko ndiko kuna minara yote ya simu...kazimzumbwi!Yaani Kisarawe panakosa network , hapana Prof.
Alhaj Assad ni mtata kiaina!
Ni nini hicho watu wanadhani hakikufanyika sawa? Kama ni utumbuzi mbona wametumbuliwa wengi tu!
Dhambi ya ubaguzi itakutafuna mpaka kizazi chako cha nne.Sasa hili Lirundi lilizushia nini. Hivi Wanasubiria nini kumkamata. Huyu atakuwa amemiss kufanywa. Haiwezekani kazi yake kuropoka tu
Wamechagua eneo ambalo lina utulivu ukizingatia ni kipindi cha siku kuu, lakini kwa nini msikubali ushauri wangu tafuteni hao members wa tampro.. mpate uhakika
Vijana mliobarehe juzi tembeeni basi msibaki kujifungia vyumbani kugombea dressing table na dada zenu! Huku vichwani mkifikiri tz nzima iko kama huko buguruni kwenu mliko.
Hivi una Habari kama hii Ilala tu kuna sehemu ukifika hupatikani siku nzima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye Akili wanaujua Ukweli lakini vilaza watayaamini haya maneno ya Assad
Kwa hali ilivyo katika nchi hii hatuwezi kupata ukweli toka kwa mhanga!Lipo JF ndio sababu tunajadili
Lingekuwa linawahusu wenye akili pekee sie Vilaza lisingetufikia
Prof Kakanusha kutekwa sasa nyie Habari hii mliiibua wapi?
Fitina,umbea na uzabizabina ni hatari kwa amani yetu... Hatutaki umbea wa wamama wa uswahilini
Sasa mbona ni mjinga sana?Naweza nikawa na umri sawa na baba yako.
Na mama yako akawa mke wangu ..
Jiheshimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Je unakula huku umefumba macho? Imani yangu inaniambia kitu huanza kuvutia macho kwanza, halafu upate hamu kukila. Fikiria upewe mende kwenye sahani utamla tu?Katika Zama hizi ni rahisi Sana mtu kulishwa information hewa,Wala sio suala la kumcheka mtu
Ati amemwona akicheza senema za wazunguVideo haifunguki amesema yuko wapi mkuu? Sorry.
NI kweli. NImesikiliza clip inaonekana prof anasema mengi ambayo wengi wanaojadili hapa hawayajali. ametumia lugha ya mafumbo. hii inaonesha kwamba kuna kitu kimetokea. na inaonekana hata nyumbani kwake walikuwa wanamtafuta hawampati. na inaonekana hili tukio halikuwa la kawaida.Siku zote Prof.anaongea kisomi,lazma tuwe na hofu naye ni mwalimu wetu na mtu muhimu sana.Alichikiongea kina maana kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huko kazimzumbwi walikuwa wanapanga kuipindua serikali auAlafu watu ni wajinga sana wanafikiri hiyo kisarawe ipo kama gongo la mboto.
Huko kazimzumbwi anakosema asadi kuwa alikuweko ni porini na kwa wilaya ya kisarawe ukitoka tu pale kisarawe mjini hupatikani tena kwenye simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda huku nilpo mimi, maana nipo juu ya kichuguu hapa nategesha network.Mkendo said:Yaani Kisarawe panakosa network, hapana Prof