'Kama mshahara wa mwezi huu utakuwa ule ule ambao hauna nyongeza ya mshahara,tunagoma. Hebu angalia,wenzetu wote wameshapata mishahara yao tena yenye nyongeza tangu Mwezi wa saba kwanini sisi bado? Hadi leo tarehe 3/10/2012 hatujapata mishahara. Tunafanyaje kazi? Nadhani tunataniana hapa.Safari hii tunagoma kweli kweli. Ngoja uone'
Ni maneno ya ukali na ya kutia huruma ya Profesa mmojawapo wa UDSM ambaye alinipigia simu leo 'kuniazima' hela ili auanze mwezi huu. Nimemuonea huruma yeye,Wahadhiri wengine na wafanyakazi wa UDSM kwa ujumla. Mkuu wa Kaya yuko nje anakula maisha. Kwanini lakini mambo haya?
jamani hebu naomba tuongelee hili jambo kwa ujumla kwa taarifa nilizo nazo wafanyakazi wote si wa serikali kuu, halmashauri hawajapata mishahara ni kweli au uuongo? tunaomba mtujuze maana familia zetu zita angamia sasa tutafute maarifa mengine
Hbr ni ya kweli, we tafuta tu maarifa mengine kabla familia haijaangamia.
halmashauri wameshalamba mishahara. ndo divide and rule ya serikaliHbr ni ya kweli, we tafuta tu maarifa mengine kabla familia haijaangamia.
Akili MakalioMa Professa si huwa wana madili kibao kibao nasikia UDSM wameachiwa ma tutorial assistants sasa nyongeza ya mshahara ya nini?
mkuu na ile kamati ya bunge iliyopita juzi na kuondoka na maafisa wa duce na mkwawa kwa malipo hewa ninasikia iliyaona hayo madudu lakini cha kushangaza ud hakuna aliyeguswa km vyuo vingine!..
Una akili sana. Ungekuwa karibu ningekupa kiroba cha konyagi. Naomba kauli yako niifanye signature yangu.
Kweli kabisa kama walimu wenyewe ni akina bensoni bana unategemea waigomee serikali yao ya magamba?.Udsm kwishney!!! hakun lolote siku hizi.Mwalimu ni mwalimu tu profesa ni cheo.