Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,833
- 18,828
- Thread starter
- #61
Wamefuta page 3, comments 60Huu uzi mbona kama comments nyingi zimetolewa ?
Wamefuta page 3, comments 60Huu uzi mbona kama comments nyingi zimetolewa ?
DuuuWamefuta page 3, comments 60
Milioni naneMambo ya JPM yalikuwa ya hovyohovyo, kwa mara ya kwanza mkuu wa Mkoa anagombania ghorofa la mabilioni Masaki. Mshahara wa mkuu wa Mkoa hauzidi milioni tano.
Kutekeleza miradi kunafaa kuendana na hali ya uchumi wa nchiKufaa au kutofaa kwa mradi kunaongozwa na feasibility study ya mradi husika. Na utekelezaji wake wa mradi unaofaa hakutegemei Professor kasema/katoa ushauri gani.
Kiuchumi, tija ya SGR inapatikana pale safari moja ya treni inapokuwa kilomita zisizopungua 800. Hususan treni ya mizigo.yap huo ndo mpango mzima.
wataalam wamesema 2 years litakua limejaa,labda uniambie urasimu mwingine utakao jitokeza huko mbeleni.Likijaa niite dogiii nipo paleee
Nadhani wangeacha ununuzi wa ndege. Kwenye usafiri wa anga wavutie wawekezaji kama fastjet warudi.
Pesa hiyo inayopelekwa kununulia ndege zinazoliingizia Taifa hasara kila mwaka, zote zipelekwe kwenye reli.
Kiuhalisia na kwa faida za kiuchumi, ujenzi wa reli, barabara na madaraja ilikuwa sahihi. Vingine vingefuata taratibu.
Anachokisema huyo Prof ni sawa, lakini sasa mbona aliyeingia nae ni kama amekuja na miradi yake itakyotumia pesa mingi LNG kwa mfano, licha ya kwamba tayari wanatuambia lile bwawa la Nyerere wameanza kulijaza maji?
Naona kinachotuponza sisi ni siasa, kila kiongozi anayekuja anataka akiondoka aache alama yake, matokeo yake hapo wajanja ndio wanafunguliwa milango ya upigaji, haya mambo yakwenda bila vipaumbele yatatuumiza kwa muda mrefu sana ujao.
SI watapeleka mbele kwani hata mwaka jana si tuliambiwa ivo ivowataalam wamesema 2 years litakua limejaa,labda uniambie urasimu mwingine utakao jitokeza huko mbeleni.
Idadi ya watu inatakiwa idhibitiwe pia, kasi ya ukuaji wetu wa uchumi sio nzuri kiasi cha kuendelea kuongeza watu wengine wengi kwa kasi zaidi.Hata siku moja wazungu Hawata kubali kuona nchi za Africa zina piga hatua kujikwamua kutoka kwenye Utegemezi.
Wao wanataka muwe watumwa wao ili waje wawekeze wao na kuwanyonya.
Ni MTU mjingatu Atamshabikia huyu beberu bila kutafakari kwamba ndani ya miaka 50 ijayo kama hamja jipanga kwenye miundo mbinu basi idadi ya watu itapata taabu sana maana watu wanongezeka na wanataka huduma.
Ni vizuri mtu akitoa maoni, kama una uwezo, chambua. Usilete profesa fulani kasema hivi, sasa unataka tukubali ya huyo profesa pumbav? Tumepata Uhuru miaka mingi, nchi gani Afrika imesaidiwa na wazurngu ikaendelea? Ipi hiyo?Profesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake
Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani
Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini
View attachment 2497178
Unasimulia kama risala la CCM. unawezaje kudhibiti idadi ya watu ktk umaskini? Taja mbinu moja tu!Idadi ya watu inatakiwa idhibitiwe pia, kasi ya ukuaji wetu wa uchumi sio nzuri kiasi cha kuendelea kuongeza watu wengine wengi kwa kasi zaidi.
Ngoja tuone.maana ni kweli wahuni awanaga haya,dah!, hatari sana.SI watapeleka mbele kwani hata mwaka si tuliambiwa ivo ivo
CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu sana wamefikia hatua ya kuteletea mwendawazimu awe rais, matokeo yake tunayaonaProfesa wa Uchumi kutoka Chuo Kikuu cha Oxford amemshauri serikali ya Samia kuwa na uangalifu kuhusiana na kutekeleza miradi mikubwa aliyoianzisha Magufuli kwa pupa kwa kuwa inaweza kuliingiza taifa kwenye madeni makubwa yatakayoathiri uchumi wake
Magufuli alipoingia madarakani alianzisha miradi mingi kwa fujo kama vile kuhamia Dodoma, ununuzi wa ndege kwa fujo, ujenzi wa SGR, ujenzi wa bwawa la Nyerere huku akihadaa wananchi wasio na uelewa kuwa miradi hiyo yote inatekelezwa kwa fedha za ndani
Hadi sasa deni la taifa linakribia kufikia trilioni 100 kutokana na miradi hiyo kutumia fedha nyingi, na hakuna uhakika itakamilika lini
View attachment 2497178
Safi sana!Hii miradi ilikuwa na ten pasenti za Jiwe, Bashiru, Polepole, Dotto James, Kijazi na Mfugale na Kalemani.
Tunamuomba mama aiondoe kampuni ya ndege ikulu, ikaguliwe. Uwanja wa ndege Mwanza ni godown, lakini inasemekana ni la bilioni 9.
Masoko yote yachunguzwe, stendi zote, unaambiwa stendi ya JPM mbezi bilioni karibu sabini, hiyo fedha inajenga stendi tatu kama hizo.
Ndio maana Hilo kundi lilikuwa linaipigia kelele miradi hiyo, sio kwamba waliipenda nchi, hapana, walikuwa na vikampuni vyao vina subcontract.
Naona aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa dodoma baadae akahamishiwa njombe ndugu Mtaka alikuwa anajilia tenda za kuuzia serikali matofali kwa kupitia kampuni ya mkwewe wa GRONECY HOTEL, Morogoro,