TANZIA Profesa Tolly Mbwette afariki dunia

Hii Agakhan hiii!! Yaani wengi wanaolazwa hapo wanakufa Why? Mmarangu Coach, Mze Makoi wa TRC Enzi hiyo, Mke wa Tale na Leo Prof Mbwete!! RIP Professor. Umetuachia urithi wa ViMbwete
Acha mawazo potofu,agha khan ni one of the best hospitals in tz,,,ina wataalum waliobobea na huduma bora lakin pia mfuko wapo lazma uwe umeshiba,,,unajua hao wote walikua wanaumwa nin?
Endelea kuchukua tahadhari na jikinge
 
1954 said:
Sisi tunakufa sawa...sibishi...ila mibeberu inakufa zaidi...hakuna janja janja ..takwimu zinatisha...italeta hofu..uchumi utakufa na ndicho mabeberu wanachotaka yaani uchumi wetu ufe...
1954 hiv kwa uchumi gani tulio nao mpaka USA na WesternEurope countries ziwe na wivu nasi? Kitu gani tuna produce kwamba tukiwakatia supply wanakufa? rafiki 1954, jiepushe na ushabiki wa Lumumba! Tambua kuwa wanaweza kususia hata hizo tanzanite, dhahabu etc wakaishi without!
 
Tahadhari gani wakati amekataza watu wasivae barakoa? Acha ubishi wa kijinga aisee, sio kila jambo la kusifia tu kama uko Lumumba.
Unaendeldza Tena matusi bila hata aibu? Kwa mawazo yako kila mwenye mawazo tofauti ni wa Lumumba...hayo ni mawazo mufilisi na ya mtu wa kiwango Cha c
1954 said:
Sisi tunakufa sawa...sibishi...ila mibeberu inakufa zaidi...hakuna janja janja ..takwimu zinatisha...italeta hofu..uchumi utakufa na ndicho mabeberu wanachotaka yaani uchumi wetu ufe...
1954 hiv kwa uchumi gani tulio nao mpaka USA na WesternEurope countries ziwe na wivu nasi? Kitu gani tuna produce kwamba tukiwakatia supply wanakufa? rafiki 1954, jiepushe na ushabiki wa Lumumba! Tambua kuwa wanaweza kususia hata hizo tanzanite, dhahabu etc wakaishi without!
Sinui nyie watu Sijui kinachoitwa Lumumba kinawafanya Nini...yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na nyie eti ni Lumumba...dah...unafikiri wakoloni walivyotutawala walikuwa na wivu na sisi?! La hasha...walikuwa wanataka raslimali...na hivi Sasa mibeberu inataka kuendelea kutawala dunia kiuchumi...siyo suala la wivu hapa...hiyo mibeberu inataka tuwe tunaitegemea yenyewe tu for everything..
 
Sinui nyie watu Sijui kinachoitwa Lumumba kinawafanya Nin
Lumumba kuna watu wanamuita Rais YESU, wengine wanamuita Mungu, lazima tuwashangae kuwa ni watu wenye low thinking! Watu wenye akili hawawezi kupitisha sheria almost zote zilizotungwa awamu ya tano.... ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
2. Uchumi wa dunia ya leo siyo wa maka ya uhuru! Mkonge likuwa dhabau wakati ule, sasa kuna synthetic fibres ambazo zinakidhi mahitaji! Pamba inayolimwa tanzania kwa mwaka haiezi kununua dreamliner moja! sasa mtu kama huyo , sawa anaweza akahitaji mali ghafi toka kwako, lkn amekuacha mbali sana kiasi kuwa utakuwa mtumwa wake! Hicho kisimu chako na changu ni vyake! "Bunduki" za kumlinda Mtukufu ni zake....
 
Tahadhari gani wakati amekataza watu wasivae barakoa? Acha ubishi wa kijinga aisee, sio kila jambo la kusifia tu kama uko Lumumba.
Hata bila Bado unaendeleza matusi na kejeli kwenye mjadala...inawezekana umri wako ni mdogo Sana...na inawezekana kabisa uelewa wako ni wa kiwango Cha chini kabisa...kwa mawazo yako unadhani Kila anayetofautiana na wewe kimtazamo ni wa Lumumba...unaweweseka na hao unaowaita wa Lumumba...kuhusu kauli yako upuuzi na ujinga ni vema uanze kwanza kuwaambia hivyo wazazi wako waliokuzaa na kukulea...Anza kumwambia baba yako mzazi mjinga halafu uje kwa mama yako uliyenyoya ziwa na kumwambia mpuuzi na mjinga...baada ya hapo ndipo uanze kuwaambia wengine wapuuzi na wajinga...nadhani umenielewa dogo
 
Lumumba kuna watu wanamuita Rais YESU, wengine wanamuita Mungu, lazima tuwashangae kuwa ni watu wenye low thinking! Watu wenye akili hawawezi kupitisha sheria almost zote zilizotungwa awamu ya tano.... ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
2. Uchumi wa dunia ya leo siyo wa maka ya uhuru! Mkonge likuwa dhabau wakati ule, sasa kuna synthetic fibres ambazo zinakidhi mahitaji! Pamba inayolimwa tanzania kwa mwaka haiezi kununua dreamliner moja! sasa mtu kama huyo , sawa anaweza akahitaji mali ghafi toka kwako, lkn amekuacha mbali sana kiasi kuwa utakuwa mtumwa wake! Hicho kisimu chako na changu ni vyake! "Bunduki" za kumlinda Mtukufu ni zake....
Ok inawezekana wako watu wa aina hiyo..nakumbuka pia upo wakati wako waliomuita Lionel Messi kuwa ni Jesus ...wengine wakamuita ni mungu na siyo Mungu...ni suala la admiration iliyopitiliza..suala la kuachwa kiuchumi na mabeberu halina ubishi...na ukweli kuwa sehemu kubwa ya maendeleo hayo ni kutokana na wizi na unyonyaji wa raslimali za dunia ya tatu halina ubishi pia
 
Acha mawazo potofu,agha khan ni one of the best hospitals in tz,,,ina wataalum waliobobea na huduma bora lakin pia mfuko wapo lazma uwe umeshiba,,,unajua hao wote walikua wanaumwa nin?
Endelea kuchukua tahadhari na jikinge
Well said
 
Vimbwete,sisi wa Mlimani enzi za Prof. G. Mmari & Prof. M. Luhanga tunajua Vimbwete.
Watoto wa Mkandala na Anangyise na kina SAUT,SJUITS,UDOM,MUCCOBS,etc ndio mnajua Vimbweta.
Mimi najua vibweta kumbe ilikuwa vimbwete
 
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan.

Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM.

Wengine mtakumbuka viti viitwavyo vimbwete vyuoni. Yeye ndiye alibuni na kuanzisha viti hivi akiwa mhadhiri UDSM.

Apumnzike kwa Amani.


PROF. TOLLY SALVATORY AUGUSTIN MBWETTE

Prof. Mbwette
is a holder of a BSc. Engineering (Hons) degree specialized in Civil Engineering since 1981. He has gained a wide range of management experiences of higher education institutions at both micro and macro levels. He has for the last twenty nine years been a team leader of various multi-disciplinary research teams responsible for treatment of both drinking and wastewater treatment systems that rely on bio-systems.

He has a broad experience in management of higher education institutions initially through being an Associate Dean responsible for Research, Publications and Postgraduate Studies for three years in the former Faculty of Engineering at University of Dar es Salaam after which he assisted the UDSM Vice Chancellor in Coordinating the much acclaimed University of Dar es Salaam (UDSM) Transformation Programme for eight years between July 1994 and April, 2002. Prof.

Mbwette has also participated and been involved in co-ordination of a number of co-operation programmes between Europe and America and Universities in Africa ranging from East, Central and Southern Africa.


Prof. Mbwette has also gained experience in reform and/or transformation of a number of Organizations through re-design of organizational structures of a number of institutions and companies. He has led teams involved in institutional development of ten different Tanzanian and four regional institutions including AICAD Research Institute funded by JICA and East African Governments based in Kenya as well as The National University of Rwanda.

He has been involved in formulation of the National ICT Policies and Master plans in the higher education sector in Yemen and Ethiopia in collaboration with TU Delft and the Vrije University of Amsterdam (VUA) apart from his involvement in the school mapping project for primary schools in Tanzania.

Prof. Mbwette has been involved in the planning and implementation of ICT Projects in Tanzania. He has also participated in a number of regional efforts and conferences in application of ICT in the education Sector, including being the Secretariat of an African bandwidth investigation initiative sponsored by the four America foundations between the year 1999 and March 2002.

Moreover, Prof. Mbwette has vast experience in working with a number of public and private higher education institutions within and outside the country. In most of the work experiences, Prof. Mbwette has played the role of either a team leader or a co-ordinator thus clearly demonstrating his ability to work with a variety of teams.

Previous Positions Held
Prof. Mbwette has held various positions in higher learning institutions. Between January, 2004 and 12th April, 2005, he was Deputy Vice Chancellor (Academic) at the Open University of Tanzania. Since 13th April, 2005 to date, he is the Vice Chancellor, Open University of Tanzania following his re-appointment for a further five years with effect from 13th April 2010 .

He has been the Chairman of the IUCEA Governing Board for two years (2007-2009) and he was the Founder Chairman of TERNET Council between April 2007 and April 2010. Between December 2006 and December 2009, Prof. Mbwette was the Chairman of the Tanzania Commission for Universities (TCU).

He has been the Vice Chairperson of the Executive Board of the African Council on Distance Education (ACDE) between July 2008 and July 2011 as well as one of the two Vice Chairpersons of the IUCEA Governing Board from July 2008 to June 2010. From September 2009, Prof. Mbwette is an Honorary Advisor to the Commonweaith of Learning (COL). In July 2011, Prof. Mbwette was duly elected as the President of ACDE for a period of three (3) years.


Academic Qualifications

Institution:
University of Dar es salaam, Tanzania
Dates: 1977 - 1981
Qualifications: B.Sc. Engineering (Hons) [First Class]
Content: Civil Engineering

Institution: International Institute for Hydr. & Env. Eng., The Netherlands
Dates: 1981 - 1982
Qualifications: Dip. S.E. (Delft), [Distinction], M.Sc. equivalent
Content: International Course for San. Engineering
Institution: University of Dar es Salaam, Tanzania
Dates: 1982 - 1984
Qualifications: M.Sc. Engineering [Unclassified]
Content: Civil/Environmental Engineering

Institution: University of London, Imperial College of Science & Technology
Dates: 1985 – 1989
Qualifications: P.h.D (London), DIC
Content: Public Health/Environmental Engineering

Knew this guy, Prof Tolly Mbwette.
Kwa waliokuwepo kwenye Annivessary ya 50 year of ERB mwaka Jana au juzi, mtakumbuka alitoa made ya kihandisi mbele y wahandisi karibia 4,000 pale Diamond Jubilee.

He was brainy and serious with his job.
RIP Prof T Mbwette
 
Poleni wafiwa, naona mdogo wake Marehemu anayeitwa Dominic Mbwete bado yupo Segerea masikini.......https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1634512/
 
Ulishaa kaa karibu na chumba cha maiti muhimbili ukaona maiti zinazolerwa pale?i
Concern yangu tuliambiwa wanatibu Kwa mil6. Imagine utoe M6 halafu hauponi. Huoni inaumiza. Bora Muh2 hawachukui nyingi hivyo hata ukifa utakuwa hajaumiza familia kifedha kama hapo. Nilizani bei mbaya halafu Mgonjwa anapona.
 
Aliyewahi kuwa Vice Chancellor wa Chuo kikuu Huria cha Tanzania Prof T Mbwette alifariki dunia jana jioni katika hospitali ya Aghakan.

Prof Mbwette alikuwa mwanataaluma mahiri katika fani ya uhandisi. Kabla ya kuwa VC Open University alifundisha kwa miaka mingi UDSM.

Wengine mtakumbuka viti viitwavyo vimbwete vyuoni. Yeye ndiye alibuni na kuanzisha viti hivi akiwa mhadhiri UDSM.

Apumnzike kwa Amani.


PROF. TOLLY SALVATORY AUGUSTIN MBWETTE

Prof. Mbwette
is a holder of a BSc. Engineering (Hons) degree specialized in Civil Engineering since 1981. He has gained a wide range of management experiences of higher education institutions at both micro and macro levels. He has for the last twenty nine years been a team leader of various multi-disciplinary research teams responsible for treatment of both drinking and wastewater treatment systems that rely on bio-systems.

He has a broad experience in management of higher education institutions initially through being an Associate Dean responsible for Research, Publications and Postgraduate Studies for three years in the former Faculty of Engineering at University of Dar es Salaam after which he assisted the UDSM Vice Chancellor in Coordinating the much acclaimed University of Dar es Salaam (UDSM) Transformation Programme for eight years between July 1994 and April, 2002. Prof.

Mbwette has also participated and been involved in co-ordination of a number of co-operation programmes between Europe and America and Universities in Africa ranging from East, Central and Southern Africa.


Prof. Mbwette has also gained experience in reform and/or transformation of a number of Organizations through re-design of organizational structures of a number of institutions and companies. He has led teams involved in institutional development of ten different Tanzanian and four regional institutions including AICAD Research Institute funded by JICA and East African Governments based in Kenya as well as The National University of Rwanda.

He has been involved in formulation of the National ICT Policies and Master plans in the higher education sector in Yemen and Ethiopia in collaboration with TU Delft and the Vrije University of Amsterdam (VUA) apart from his involvement in the school mapping project for primary schools in Tanzania.

Prof. Mbwette has been involved in the planning and implementation of ICT Projects in Tanzania. He has also participated in a number of regional efforts and conferences in application of ICT in the education Sector, including being the Secretariat of an African bandwidth investigation initiative sponsored by the four America foundations between the year 1999 and March 2002.

Moreover, Prof. Mbwette has vast experience in working with a number of public and private higher education institutions within and outside the country. In most of the work experiences, Prof. Mbwette has played the role of either a team leader or a co-ordinator thus clearly demonstrating his ability to work with a variety of teams.

Previous Positions Held
Prof. Mbwette has held various positions in higher learning institutions. Between January, 2004 and 12th April, 2005, he was Deputy Vice Chancellor (Academic) at the Open University of Tanzania. Since 13th April, 2005 to date, he is the Vice Chancellor, Open University of Tanzania following his re-appointment for a further five years with effect from 13th April 2010 .

He has been the Chairman of the IUCEA Governing Board for two years (2007-2009) and he was the Founder Chairman of TERNET Council between April 2007 and April 2010. Between December 2006 and December 2009, Prof. Mbwette was the Chairman of the Tanzania Commission for Universities (TCU).

He has been the Vice Chairperson of the Executive Board of the African Council on Distance Education (ACDE) between July 2008 and July 2011 as well as one of the two Vice Chairpersons of the IUCEA Governing Board from July 2008 to June 2010. From September 2009, Prof. Mbwette is an Honorary Advisor to the Commonweaith of Learning (COL). In July 2011, Prof. Mbwette was duly elected as the President of ACDE for a period of three (3) years.


Academic Qualifications

Institution:
University of Dar es salaam, Tanzania
Dates: 1977 - 1981
Qualifications: B.Sc. Engineering (Hons) [First Class]
Content: Civil Engineering

Institution: International Institute for Hydr. & Env. Eng., The Netherlands
Dates: 1981 - 1982
Qualifications: Dip. S.E. (Delft), [Distinction], M.Sc. equivalent
Content: International Course for San. Engineering
Institution: University of Dar es Salaam, Tanzania
Dates: 1982 - 1984
Qualifications: M.Sc. Engineering [Unclassified]
Content: Civil/Environmental Engineering

Institution: University of London, Imperial College of Science & Technology
Dates: 1985 – 1989
Qualifications: P.h.D (London), DIC
Content: Public Health/Environmental Engineering


Burian Prof. Tolly umeondoka umeacha chuo chako kikifanya mambo ya ajabu na kuangusha elimu yetu
Adjustments.jpg
 
1954 said:
Sisi tunakufa sawa...sibishi...ila mibeberu inakufa zaidi...hakuna janja janja ..takwimu zinatisha...italeta hofu..uchumi utakufa na ndicho mabeberu wanachotaka yaani uchumi wetu ufe...
1954 hiv kwa uchumi gani tulio nao mpaka USA na WesternEurope countries ziwe na wivu nasi? Kitu gani tuna produce kwamba tukiwakatia supply wanakufa? rafiki 1954, jiepushe na ushabiki wa Lumumba! Tambua kuwa wanaweza kususia hata hizo tanzanite, dhahabu etc wakaishi without!

Yes Corona ni tishio tena pote ulimwenguni. Sasa tufanye? Kunaweza kuwa na njia mbadala ya kuikwepa? Leo nimesikia, sababu ya maambukizi mapya, Kuna mji mzima Spain uko lockdown. What do we do which other guys have done differently to change the situation?
 
Back
Top Bottom