Cyprian nana
Member
- May 3, 2013
- 12
- 16
Acha mawazo potofu,agha khan ni one of the best hospitals in tz,,,ina wataalum waliobobea na huduma bora lakin pia mfuko wapo lazma uwe umeshiba,,,unajua hao wote walikua wanaumwa nin?Hii Agakhan hiii!! Yaani wengi wanaolazwa hapo wanakufa Why? Mmarangu Coach, Mze Makoi wa TRC Enzi hiyo, Mke wa Tale na Leo Prof Mbwete!! RIP Professor. Umetuachia urithi wa ViMbwete
Endelea kuchukua tahadhari na jikinge