Mmoja wa mawaziri wataalam waliobobea kwenye masuala ya nishati na gas. Wakati anateuliwa na Raisi nilifurahi sana kwani alianza kutoa ahadi za wananchi kufungiwa umeme kwa muda wa mwezi mmoja kama umelipa. Nilijitahidi sana kutafuta hela ili nikaunganishiwe kwenye kibanda changu kilichoko eneo la usariver maeneo ya ngaresero nilijitahidi kukamilisha taratibu zote.
Hatimae zilikamilika januari 2013 chakushangaza mpaka leo hakuna kitu! Wananchi wa eneo lile tulijitahidi ili tujiunge wa 3 ili tupatiwe nguzo 1 tu ili iweze kutufikia wote lakini wapi! Kila ukienda ofisi ya Tanesko iliyoko maeneo ya usariver majibu ni kwamba subirini mpaka tumalize vijijini! Hivi hii ni haki kweli? Tangu january mpaka leo! Huu si ungwana hata kidogo.
SAME TIMES TUNAWASHUTUMU MAWAZIRI KUMBE HUKU CHINI WATENDAJI NI BOOM..
Waziri ebu fanya kazi
Hatimae zilikamilika januari 2013 chakushangaza mpaka leo hakuna kitu! Wananchi wa eneo lile tulijitahidi ili tujiunge wa 3 ili tupatiwe nguzo 1 tu ili iweze kutufikia wote lakini wapi! Kila ukienda ofisi ya Tanesko iliyoko maeneo ya usariver majibu ni kwamba subirini mpaka tumalize vijijini! Hivi hii ni haki kweli? Tangu january mpaka leo! Huu si ungwana hata kidogo.
SAME TIMES TUNAWASHUTUMU MAWAZIRI KUMBE HUKU CHINI WATENDAJI NI BOOM..
Waziri ebu fanya kazi