JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
..ukiona m-Tanganyika anaingilia siasa za Zenj ujue anafanya hivyo with the encouragement ya baadhi ya wa-Zenj.
..vilevile ukiona m-Zenj anaingilia siasa za Tanganyika ujue kuna anafanya hivyo kwa baraka za baadhi ya wa-Tanganyika.
..siasa za Zenj ni kama ndoa[mfano tu] yenye matatizo. wana ndoa wanaweza kutafuta ushauri nje, lakini amani ya kudumu ktk ndoa hiyo itapatikana kwa utashi wa wana ndoa wenyewe.
..lakini mzizi wa haya maingiliano ni MUUNGANO na mifumo ya uchaguzi ya vyama vya siasa.
NB:
..Karume aliwatumia wanamtandao wa Tanganyika kumshinda Dr.Bilali. wanamtandao nao wakamtumia Karume kumshinda Salim Salim 2005.
..ushawishi wa komandoo Salimin Amour kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM toka Zenj ndiyo uliomuwezesha Ben Mkapa kumshinda JK mwaka 1995
..hivi kuna anayeamini kwamba Maalim Seif anaweza kushinda uchaguzi ndani ya CUF bila kupata kura za wanachama wa CUF toka Tanganyika?
..vilevile ukiona m-Zenj anaingilia siasa za Tanganyika ujue kuna anafanya hivyo kwa baraka za baadhi ya wa-Tanganyika.
..siasa za Zenj ni kama ndoa[mfano tu] yenye matatizo. wana ndoa wanaweza kutafuta ushauri nje, lakini amani ya kudumu ktk ndoa hiyo itapatikana kwa utashi wa wana ndoa wenyewe.
..lakini mzizi wa haya maingiliano ni MUUNGANO na mifumo ya uchaguzi ya vyama vya siasa.
NB:
..Karume aliwatumia wanamtandao wa Tanganyika kumshinda Dr.Bilali. wanamtandao nao wakamtumia Karume kumshinda Salim Salim 2005.
..ushawishi wa komandoo Salimin Amour kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM toka Zenj ndiyo uliomuwezesha Ben Mkapa kumshinda JK mwaka 1995
..hivi kuna anayeamini kwamba Maalim Seif anaweza kushinda uchaguzi ndani ya CUF bila kupata kura za wanachama wa CUF toka Tanganyika?