Profesa Shivji-Maridhiano ya Zanzibar

MrFroasty, bila ya shaka alichosema Prof. Shivji kinaitwa hekima. Sidhani kama kinaweza kuzua mjadala mkubwa. Tatizo ni pale watu wanapoamua kutunga historia au kuficha historia kamili ya Zanzibar au kutoa historia kwa kudonyoa donyoa huku yale mazuri ya kufurahisha ndiyo yanawekwa mbele na mengine hata kutajwa hayatajwi. Zanzibar ina historia yake nzito sana na haikuanzia 1964.

Ni muhimu Wazanzibar wakumbatie na kukubali historia yao yote na hiyo iwe ni sehemu ya maridhiano hayo.

Hakuna haja ya kukumbatia jambo sililo na faida. Historia ya Zanzibar haina nafasi wala faida yoyote katika jamii inayotaka kusonga mbele, hasa kizazi cha sasa. Matatizo yanayo ikumba zenj ni zao la kukumbatiwa na kuhubiriwa histori. Historia ni kitu kilicho pita, historia isiyo na faida hupitiliwa mbali, na badala yake watu hutafuta lenye faida na wao wakalikumbatia. Leo watu wataka kusahau yaliyopita ili wajenge NCHI YAO unawakmbusha histori!!. Zile kauli za MAMBO YA ZANZIBAR YATAMALIZWA NA WAZANZIBAR WENYEWE mmezisahau?? au kuuwana kwao ndio furaha yenu?.
 
With all due respect, Prof Issa G. Shivji hajaeleza ni kwa namna gani hoja hizi ni potofu au utofauti na hoja alizonazo kichwani mwake ndio upotofu? Mimi ningedhani angesema "ni mawazo tofauti, badala ya hoja potofu!" Hoja zenyewe hizi hapa chini:
1. Karume asiongezewe muda wala kipindi kingine cha urais. Hii ni kinyume cha katiba ya nchi na katiba/sera ya CCM.
2. Katiba isichezewe kwa kubadilisha, badilisha.
3. Yaliyoanzishwa na Karume, yanaweza kuendelezwa na mrithi wake.
4. Huwezi kuwa na serikali ya umoja wa kimataifa bila ridhaa ya wananchi, kwa maana ya bila kuwa na kura za maoni.

.

Rudi kasome tena barua!. Kwani lazima uchangie?. Hebu tupe elimu yako japo kwa ufupi tu! Tuone kama kweli unanafasi ya kuhoji fikra za prof.
 
hua nakua annoyed sana na watu wanaotaka kuonyesha kua wabara wanauitaji sana muungano kiasi cha kwamba wako tayari kuivuruga ili wazanzibar wahitilafiane, kama wazanzibari wote wameamua luzika tofauti zao well and good tunawatakia kila la kheri lakini siku za ivi karibuni mijadala imebadilika kua ya kwamba kuna watu( wabara ) wanataka ayo makubaliane yavurugwe, sidhani kama kuna ukweli wowote au ni kutaka kuongeza hamasa tu sizikua na msingi?
labda wanaoleta mjadala uo watueleze kinagaubaga hao wabara wanatyuhumiwa kuvuruga mapatano hayo nia yao nini au watagain nini kama hayo makubaliano ya seif na karume yakivurugika? mijadala ii imekua ikiendelea lakini hakuna wa kujitokeza kusema wanaotaka kuvuruga hayo mapatano lengo kuu(end product) kwao ni nini?
Cant you just use mathematics to know that end product of yours?CCM Bara (Msekwa, Makamba) these are politicians all they want is power.And their goal and policy is to stay in power for good.

Hopefully you will see the logic behind those claims....
 
IO.. Profesha Shivji atajibiwa wiki ijayo. Amezungumza kwa hekima lakini amependekeza vitu visivyopaswa tena kwa makosa.
.
.nani wa kumjibu prof?, watu mtaendele kidhihisha tu yale yaliyo fichikana vifuani mwenu, na hapa ndipo watakapo sura halisi ya watanganyika kwao!, nikupinga kila lenye maslahi na wao. Wapo wengi wanaodhani zenj hawana ruhusa ya jambo lolote mpaka wakubaliwe na Tanganyika!
 
.

Rudi kasome tena barua!. Kwani lazima uchangie?. Hebu tupe elimu yako japo kwa ufupi tu! Tuone kama kweli unanafasi ya kuhoji fikra za prof.
BinMgen,
Huoni kuwa Shivji ingawa ni msomi anaweza kabisa akawa amekosea au let say he is wrong completely when he says:
Jamii ya Zanzibar kisiasa imegawanyika kati-kati, yaani ‘it is split in the middle’. Na jambo hilo limedhihirishwa katika takriban kila uchaguzi.
In any democracy and in any development there must be differences in ideas, different thinking, conservatives versus liberals etc etc. Zanzibaris are lacking tolerance; they need a theory of reconciliation, somebody must initiate such move. Visa vyote hivyo vimeletwa na wanasiasa na ni hao hao wanasiasa inabidi wawaeleze watu wao kuwa uvumilivu uwepo. CCM ikubali kuwa CUF nao wanaweza kutawala Zanzibar and its reverse
Kwa hivyo, hakuna mazingira ya ushindani katika Zanzibar; badala yake kuna mazingira ya uhasama. Katika mazingira ya uhasama, haiwezekani kabisa kuwa na siasa za kishindani, ambayo ni kiini cha mfumo wa vyama vingi.
What is the root cause of "uhasama" ambacho Profesor ameshindwa kutaja. Kwa nini hakuhit at a point kuhusu propganda chafu za CUF na CCM kuwagawa wananchi?
Jitihada zote zilizochukuliwa, pamoja na miafaka miwili, hazikuzaa matunda kwa sababu mbalimbali, ambazo sinahaja kuzichambua katika barua hii. Isipokuwa sinabudi niweke wazi kwamba, kwa maoni yangu, sababu kuu ya jitihada hizi kutokuzaa matunda ni wanansiasa kuweka maslahi yao ya muda mfupi mbele ya maslahi ya taifa/jamii
At last the profesor is trying to say something; but he fails to pinpoint that, individuals greed; which was always short term and which benefited only those who wanted to rule; ndiyo imetufikisha hapa. Ni miafaka gani ambayo itafanya kazi zaidi ya iliyopita? We have to read the times; Mr. Seif Hamad knows he has his last days in politics and Mr. Karume needs more time to have manipulation of the constitution. "Tumuongezee muda tusimpe anaother term" what is the difference??

Mr. Hamad and Karume have to leave for others to take Zanzibar to the next stage where we can hear reconciliation!
 
hua nakua annoyed sana na watu wanaotaka kuonyesha kua wabara wanauitaji sana muungano kiasi cha kwamba wako tayari kuivuruga ili wazanzibar wahitilafiane, kama wazanzibari wote wameamua luzika tofauti zao well and good tunawatakia kila la kheri lakini siku za ivi karibuni mijadala imebadilika kua ya kwamba kuna watu( wabara ) wanataka ayo makubaliane yavurugwe, sidhani kama kuna ukweli wowote au ni kutaka kuongeza hamasa tu sizikua na msingi?
labda wanaoleta mjadala uo watueleze kinagaubaga hao wabara wanatyuhumiwa kuvuruga mapatano hayo nia yao nini au watagain nini kama hayo makubaliano ya seif na karume yakivurugika? mijadala ii imekua ikiendelea lakini hakuna wa kujitokeza kusema wanaotaka kuvuruga hayo mapatano lengo kuu(end product) kwao ni nini?

.
.
Kama ni hivyo basi kaaeni kimwa! Wamalize wenyewe mambo yao, kama vile wanavyo maliza wenyewe tatizo la umeme!
 
Guys read the Prof.Shivji's letter properly.Wengi wanaodai kuwa Karume asiongezwe muda ni watu wasiojua matatizo ya Zanzibar.
Kinachozungumzwa hapa ni kufuata Katiba, Karume anamaliza muda wake na kutokana na kuwa sasa hivi uchaguzi utaleta vurugu Zanzibar usogezwe mbele...na serekali iliopo ivunjwe kwa kufuata katiba, na iundwe serekali ya mpito yaani Transitional Government ambayo ifanye au ihusike na kutengeneza mazingira ya kuaminiana na kuondosha siasa chafu na kuleta siasa za ushindani wenye afya....

Sasa tusikurupuke kama walivyofanya Msekwa na Makamba... :D

Kwa maneno mengine,
CCM na CUF wameshindwa kuelewana kubadilisha katiba ya Zenj walipopewa muda wote kuanzia 2000 mpaka 2008.
Sasa tuivunje katiba...
CUF na CCM waanze malumbano kwa upya...
Hayo malumbano hatujui mwisho wake , wanaojua ni Maalim na Karume....
Baada ya hapo mambo yatakuwa raha mustarehe.....
Wakati wote huo CCM imekaa doro, na wanamtegemea Maalim na Karume....
Haya mambo ni ya waZanzibari yakhe, nye mwakereka nini?
NOT VERY INSPIRING
 
BinMgen,
Huoni kuwa Shivji ingawa ni msomi anaweza kabisa akawa amekosea au let say he is wrong completely when he says:
Jamii ya Zanzibar kisiasa imegawanyika kati-kati, yaani ‘it is split in the middle’. Na jambo hilo limedhihirishwa katika takriban kila uchaguzi.
In any democracy and in any development there must be differences in ideas, different thinking, conservatives versus liberals etc etc. Zanzibaris are lacking tolerance; they need a theory of reconciliation, somebody must initiate such move. Visa vyote hivyo vimeletwa na wanasiasa na ni hao hao wanasiasa inabidi wawaeleze watu wao kuwa uvumilivu uwepo. CCM ikubali kuwa CUF nao wanaweza kutawala Zanzibar and its reverse
Kwa hivyo, hakuna mazingira ya ushindani katika Zanzibar; badala yake kuna mazingira ya uhasama. Katika mazingira ya uhasama, haiwezekani kabisa kuwa na siasa za kishindani, ambayo ni kiini cha mfumo wa vyama vingi.
What is the root cause of "uhasama" ambacho Profesor ameshindwa kutaja. Kwa nini hakuhit at a point kuhusu propganda chafu za CUF na CCM kuwagawa wananchi?
Jitihada zote zilizochukuliwa, pamoja na miafaka miwili, hazikuzaa matunda kwa sababu mbalimbali, ambazo sinahaja kuzichambua katika barua hii. Isipokuwa sinabudi niweke wazi kwamba, kwa maoni yangu, sababu kuu ya jitihada hizi kutokuzaa matunda ni wanansiasa kuweka maslahi yao ya muda mfupi mbele ya maslahi ya taifa/jamii
At last the profesor is trying to say something; but he fails to pinpoint that, individuals greed; which was always short term and which benefited only those who wanted to rule; ndiyo imetufikisha hapa. Ni miafaka gani ambayo itafanya kazi zaidi ya iliyopita? We have to read the times; Mr. Seif Hamad knows he has his last days in politics and Mr. Karume needs more time to have manipulation of the constitution. "Tumuongezee muda tusimpe anaother term" what is the difference??

Mr. Hamad and Karume have to leave for others to take Zanzibar to the next stage where we can hear reconciliation!
.
.ukiisoma kwa utulivu ile barua utagundua prof alitaka kuonyesha mambo mawili ambayo ni ndio kiini cha mjadala. Kwanza: kwamba wanzanzibar wanayo sababu ya kusogeza mbele uchaguzi. Pili: wanao uwezo kisheria kuweza kubadili katiba. Nadhani hiki ndio kíini cha mjadala.
 
Jamani what is wrong kama tukiwaacha wazanzibar wayamalize mambo yao wenyewe, viongozi wetu wa CCM bara waliposema ya wazanzibar yatamalizwa na wazanzibar walifikiri siku haitafika waelewane waliona ni kama ndoto lazima wazanzibar wataomba msaada toka bara.

Makamba na Msekwa ni kipi walichofanya tokea kuvunjka kwa mwafaka no.2 kule Butiama wameonyesha juhudi gani za kusaidia wananchi wa zanzibar mbona sasa wanavalia njuga baada ya kuona kuna mwelekeo hasa wa kufikia maelewano angalau Kikwete ameonyesha kuyaunga mkono wao wamesema nini zaidi ya dharau.

Ni maswali mengi tu ya kujiuliza lakini nia hasa ya hawa ndugu zangu wanafikiri bila wao Muungano haupo bila wao hakuna CCM bila wao hakuna Tanzania na bila wao hakuna Zanzibar

Huo ni ukosefu wa busara kudhani bila wao hatutaishi wanaona bora wazanzibari waendelee na uhasama wananchi waendelee kuuana kuliko kuona CCM ikifa haya ni mawazo mfu na ya kibwanyenye na kizamani mimi navyoona damu yoyote itakayosababishwa na kuvunjika kwa mwafaka huu wa kulaumiwa zaidi ni Makamba na Msekwa.
 
Jamani what is wrong kama tukiwaacha wazanzibar wayamalize mambo yao wenyewe, viongozi wetu wa CCM bara waliposema ya wazanzibar yatamalizwa na wazanzibar walifikiri siku haitafika waelewane waliona ni kama ndoto lazima wazanzibar wataomba msaada toka bara.

Makamba na Msekwa ni kipi walichofanya tokea kuvunjka kwa mwafaka no.2 kule Butiama wameonyesha juhudi gani za kusaidia wananchi wa zanzibar mbona sasa wanavalia njuga baada ya kuona kuna mwelekeo hasa wa kufikia maelewano angalau Kikwete ameonyesha kuyaunga mkono wao wamesema nini zaidi ya dharau.

Ni maswali mengi tu ya kujiuliza lakini nia hasa ya hawa ndugu zangu wanafikiri bila wao Muungano haupo bila wao hakuna CCM bila wao hakuna Tanzania na bila wao hakuna Zanzibar

Huo ni ukosefu wa busara kudhani bila wao hatutaishi wanaona bora wazanzibari waendelee na uhasama wananchi waendelee kuuana kuliko kuona CCM ikifa haya ni mawazo mfu na ya kibwanyenye na kizamani mimi navyoona damu yoyote itakayosababishwa na kuvunjika kwa mwafaka huu wa kulaumiwa zaidi ni Makamba na Msekwa.
Luteni,
We are just trying to be polite!! Ya Wanzanzibar waacheni waZanzibar wayamalize wenyewe, maybe we sound to unpatriotic and responsible.
Zanzibar as a Nation/Sate ceased to exist in 1964; applied also Tanganyika. Now we are talking about Tanzania National Interest. Interests which touches all Tanzanians; and that anything out of the Karume/Seif outcome may/will affect all of us; not only Zanzibaris. Is a complicated issue now. Only in this country where rulers accept such talk between the two individuals, one being a President and another one being a leader of the opposition party; without the people representatives. And the talks are secret. Don't you see they are risky talks to all Tanzanians??
 
.

Rudi kasome tena barua!. Kwani lazima uchangie?. Hebu tupe elimu yako japo kwa ufupi tu! Tuone kama kweli unanafasi ya kuhoji fikra za prof.

Maoni yangu nimeyaeleza kwa uwazi sana! Jadili hoja kama nimekosea useme nimekosea wapi, sio kudai nitoe elimu na kwa mawazo yako eti kusudi Professor asihojiwe fikra zake! Mbona huwa namwona TBC1 akihojiana na watu ambao si maprofesa na fikra zake Profesa Issa G. Shivji zinapigwa chini sometimes! Na kama maoni yake huwa ni sahihi siku zote kwa nini aingie kwenye mijadala? Sasa hayo mawazo yake yasipofanyiwa kazi yote kama yalivyo utajisikiaje kuhusu Profesa wako umwaminiye? Mimi sijadili UPROFESA wa Issa G. Shivji, kama unavyotaka nifanye, bali najadili hoja yake! Hizo enzi za zidumu fikra za XYZ zimepitwa na wakati!
 
Luteni,
We are just trying to be polite!! Ya Wanzanzibar waacheni waZanzibar wayamalize wenyewe, maybe we sound to unpatriotic and responsible.
Zanzibar as a Nation/Sate ceased to exist in 1964; applied also Tanganyika. Now we are talking about Tanzania National Interest. Interests which touches all Tanzanians; and that anything out of the Karume/Seif outcome may/will affect all of us; not only Zanzibaris. Is a complicated issue now. Only in this country where rulers accept such talk between the two individuals, one being a President and another one being a leader of the opposition party; without the people representatives. And the talks are secret. Don't you see they are risky talks to all Tanzanians??

It is true, but you cant discuss any hanging issue from nothing some one should volunteer to raise the issue (wa kumfunga paka kengele) here is Seif & Karume, our leaders from both sides of Muungano were just observing what was/is happening in Zanzibar but no body cared.

It is true again that anything happens in Zanzibar will also affect all Tanganyikans but why continue fearing without taking any action. So should we shut up and sleep in closed doors for fear of what will happen no that is why any one who wishes well zanzibars and all Tanzanian should support Seif and Karume motion personally I do by 100%.
 
.
.nani wa kumjibu prof?

Soma jinsi maoni ya Professor Issa G. Shivji yalivyokataliwa mahakamani na kupigwa chini kwenye kesi ifuatayo ambayo nimeiweka kwa ufupi:

IN THE MATTER OF AN APPLICATION BY JUWATA & 94 OTHERS FOR LEAVE TO APPLY FOR ORDERS OF CERTIORARI AND MANDAMUS AND IN THE MATTER OF KIUTA & ANOTHER 1987 TLR 24 (HC)

JUDGMENT (IN PART) by MAINA, J.

"It was Prof. Shivji's submission on behalf of the applicants, that the Tribunal erred in refusing to hear the dispute because, Prof. Shivji said, the relevant decision in the Pallangyo case was given per incuriam. I do not agree with Professor Shivji that the Court of Appeal in the Pallangyo case was legislating on limitation. The Court of Appeal made an interpretation of the relevant provisions of the law and came to a conclusion that disputes under the Permanent Labour Tribunal Act must be referred to a Board within the period specified before they can be heard by the Tribunal. It is therefore not correct that the Court of Appeal made the relevant decision in ignorance or forgetfulness of the relevant statutory provisions.
It was also Professor Shivji's submission that the Court of Appeal ignored section 27 of the Security of Employment Act. It provides, inter alia, that the decision of a Board shall be final and conclusive. In his submission, that provision makes section 4(1) of the Permanent Labour Tribunal Act defunct. With respect, I do not agree with the learned counsel. Section 27 of the Security of Employment deals with a situation where an employee has been dismissed, which was not the case in the Pallangyo case. Section 27 (1) (a) reads in part as follows:

The decision of the Minister on a reference to him under Section 26, and subject to any decision on a reference to the Minister therefrom, the decision of a Board on a reference to it under this Part....
(a) Shall be final and conclusive; and
(b) ....
(c) ....
Section 26 of the Security of Employment Act, as I mentioned earlier, is on summary I dismissal, whereby the aggrieved employee whose dismissal has been confirmed by a Board may refer the matter to the Minister after giving fourteen days' notice. In my view, the Court of Appeal did not have to consider section 27 of the Security of Employment Act in the Pallangyo case because that was irrelevant. The Court of Appeal did not therefore ignore section 27 as submitted by Professor Shivji."

Umeona sasa kuwa mawazo ya Professor Issa G. Shivji sio ya ki-Mungu na yanaweza kuhojiwa na/au kukataliwa na mtu yeyote kwa sababu yanaonekana sio sahihi?
 
Luteni,
We are just trying to be polite!! Ya Wanzanzibar waacheni waZanzibar wayamalize wenyewe, maybe we sound to unpatriotic and responsible.
Zanzibar as a Nation/Sate ceased to exist in 1964; applied also Tanganyika. Now we are talking about Tanzania National Interest. Interests which touches all Tanzanians; and that anything out of the Karume/Seif outcome may/will affect all of us; not only Zanzibaris. Is a complicated issue now. Only in this country where rulers accept such talk between the two individuals, one being a President and another one being a leader of the opposition party; without the people representatives. And the talks are secret. Don't you see they are risky talks to all Tanzanians??

Jamani tupinge vitu tukiwa na hoja za msingi na sio kutanguliza maslahi yetu mbele. Wazanzibar wameishi kwa uhasama kwa muna mrefu na watu wengi wamepoteza maisha yao. Leo viongozi wakuu wameamua "enough is enough" na wanajaribu kumayaza haya matatizo halafu wanatokea watu wenye mawazo mgando eti "katiba .. katiba" Mawe!! Katiba yashinda maisha ya watu? Hii ni fursa murua kwenu Wanzanzibar na msisikilize hize blah blah za hawa mafarisayo waliojawa na uchu wa kuona Wanzanzibar wanaendelea kuteseka. Nyie ndiye ndugu zenu wameuawa na uchungu mnaujua ninyi... itumieni hii fursa pekee iliyojitokeza. Katiba iko kwa ajili ya watu bali watu hawako kwa ajili ya katiba.
 
Jamani tupinge vitu tukiwa na hoja za msingi na sio kutanguliza maslahi yetu mbele. Wazanzibar wameishi kwa uhasama kwa muna mrefu na watu wengi wamepoteza maisha yao. Leo viongozi wakuu wameamua "enough is enough" na wanajaribu kumayaza haya matatizo halafu wanatokea watu wenye mawazo mgando eti "katiba .. katiba" Mawe!! Katiba yashinda maisha ya watu? Hii ni fursa murua kwenu Wanzanzibar na msisikilize hize blah blah za hawa mafarisayo waliojawa na uchu wa kuona Wanzanzibar wanaendelea kuteseka. Nyie ndiye ndugu zenu wameuawa na uchungu mnaujua ninyi... itumieni hii fursa pekee iliyojitokeza. Katiba iko kwa ajili ya watu bali watu hawako kwa ajili ya katiba.
Nakuonea huruma sana. Na ahsante sana kwa huruma zako kwa WaZanzibri. Lakini wewe unacho-kosa ni kitu rahisi sana. Tangu mwaka 1995 maalim na CCM walikuwa adui. Kufika mwaka 2000 akatoka Salmin akaingia Karume. Amekaa tangu 2000 hadi 2010 na ndiyo anagundua kwamba ati Zanzibar ina matatizo. It is pathetic!!

Do you think these two guys are doing for the people? I am hundred percent Mr. Hamad knows his hey days are gone, he will never survive another 10 years, he must bow to Mr. Karume at least to serve his face. Mr. Karume knows he must step down, but still wants to stay in power; and he knows very well Mr. Hamad has come with a very good reason.

Kama hawa watu wangetaka Zanzibar iwe na amani wangeanzisha, utmost, Hamadi/Karume Institution for Zanzibar reconciliation for the betterment of zanzibar na wanzanzibari, they step down and promote this intergrity. These guys must remember generatios change, we need political tolerance. Kama CCM wange-create such a system since 1995 hatungekuwa na huyu mdudu Uhasama. It was created and as sown in the minds of the people. Do the reverse, which is easier, create the friendship between the people but don't affect the constitution. Simple!!
 
FRank, and Straight forward, Profesor Shivji anashindwa kusema Zanzibaris wako split, kwa kupandikizwa chuki by CUF na CCM. Ni kazi ya hawahawa CCM na CUF kusema ukweli; na ku-preach undugu. Nani hajui yote haya? Zanzibar became more divided after the multipart system especially feud between CUF and CCM.
 
mnazunguka tu; Zanzibar haikugawanyika sababu ya CUF na CCM: Kuna mambo makubwa matatu yanayoigawa Zanzibar na Wazanzibari:

a. Masalia ya uovu wa utumwa (wapo leo hii wanaofikiri kuwa utumwa ilikuwa ni jambo jema na hawaoni uovu wowote; kwao utumwa ulikuwa ni sahihi kwa sababu ulifanywa dhidi ya watu wengine).

b. Masalia ya siasa za Sultani na mgawanyiko wa utawala kabla ya Zanzibar kupewa Uhuru chini ya Usultani wa Kikatiba (1963). Utawala wa Sultani haukuwatendea watu wote "sawa". Ulijenga msingi wa kibaguzi ambapo wapo walionufaika sana na utawala huo na wapo ambao waliishi kama raia wa daraja la tatu.

c. Mapinduzi ya Zanzibar yanawagawa wa Zanzibar kuliko kitu kingine chochote kwa siku za karibuni. Lipo kundi linaloamini kabisa kuwa kitendo kile kilikuwa ni cha kinyama, si cha lazima, kilichoongozwa na wageni na kwa namna yoyote ile kutimuliwa kwa Jamsheed kulikuwa ni unyang'anyi wa madaraka halali ambayo yalipatikana 1963!

Kwa kadiri ya kwamba mambo haya matatu si sehemu ya mazungumzo ya maridhiano yataendelea kuwagawa Wazanzibari kwa vizazi vingi vijavyo.
 
mnazunguka tu; Zanzibar haikugawanyika sababu ya CUF na CCM: Kuna mambo makubwa matatu yanayoigawa Zanzibar na Wazanzibari:

a. Masalia ya uovu wa utumwa (wapo leo hii wanaofikiri kuwa utumwa ilikuwa ni jambo jema na hawaoni uovu wowote; kwao utumwa ulikuwa ni sahihi kwa sababu ulifanywa dhidi ya watu wengine).

b. Masalia ya siasa za Sultani na mgawanyiko wa utawala kabla ya Zanzibar kupewa Uhuru chini ya Usultani wa Kikatiba (1963). Utawala wa Sultani haukuwatendea watu wote "sawa". Ulijenga msingi wa kibaguzi ambapo wapo walionufaika sana na utawala huo na wapo ambao waliishi kama raia wa daraja la tatu.

c. Mapinduzi ya Zanzibar yanawagawa wa Zanzibar kuliko kitu kingine chochote kwa siku za karibuni. Lipo kundi linaloamini kabisa kuwa kitendo kile kilikuwa ni cha kinyama, si cha lazima, kilichoongozwa na wageni na kwa namna yoyote ile kutimuliwa kwa Jamsheed kulikuwa ni unyang'anyi wa madaraka halali ambayo yalipatikana 1963!

Kwa kadiri ya kwamba mambo haya matatu si sehemu ya mazungumzo ya maridhiano yataendelea kuwagawa Wazanzibari kwa vizazi vingi vijavyo.
I see. Hapo umeniacha hoi. Kwa hiyo muafaka inabidi uwajumuishe makundi mangapi au unataka kusema hii historia kama ilivyo basi tena?
 
I see. Hapo umeniacha hoi. Kwa hiyo muafaka inabidi uwajumuishe makundi mangapi au unataka kusema hii historia kama ilivyo basi tena?

IO.. hawa ndugu zetu wanazunguka issue zenyewe; wote wanajua kinachowagawanya lakini hawataki kukileta mezani. Believe me.. bila hayo hapo juu kuwa sehemu ya mazungumzo hakuna atakayeridhika.
 
Back
Top Bottom