Msomi wa kiwango cha kimataifa wa Tanzania, Profesa Shivji ameshangazwa na kitendo cha wafanya biashara kuchaguliwa kuongoza taasisi za umma.

Shivji anasema sekta ya umma haiwezi kuchangamana na sekta binafsi.

Sisi wengine tumeshangazwa na uteuzi wa wafanya biashara na watu wenye maslahi binafsi kwenye bodi ya TANESCO. Yule mama Balozi ndie mwanzilishi mwenza wa kampuni ya Rex Attorneys ambao wanaiwakilisha Dowans na Symbion kwenye kesi ambazo TANESCO inashitakiwa na hayo makampuni halafu anateuliwa kuwa board member.

"Pamoja na kushirikiana na sekta binafsi, huwezi kuwaingiza wafanyabiashara jikoni wakupikie chakula cha umma!
Sekta ya umma na sekta binafsi hazilinganiki. Ni kweli huwezi kuendesha biashara kama idara ya serikali; pia ni kweli huwezi kuendesha serikali kama kitengo cha biashara."

Unaweza kusoma mwenyewe hapa.

View attachment 1954110


Mleta Mada!..... UMMA ni nini?

Humo kwenye Umma kuna mchanganyiko wa wafanyakazi na wafanya biashara pia!! hata hao wafanya kazi wa umma siku hizi ni wafanya biashara pia!! wakulima ni wafanyabiashara pia kupitia mazao yao!!

mfano unapokula chips za mkulima palee! Masangati unalipia kila, mlo? ivoivo na kwa mazao mengine pia je huo siyo umma wa wafanya biashara?

unamnunukuu Huyo mzee kizembe na siasa zake ni za zamani sana! wkt wa enzi hizo babu zetu hawaku soma! ...... Kampuni ya Tanesco ni ya Umma pia inafanya biashara!! sasa kwa nini usiweke wananchi wenye maono ya kibiashara? kinyume na hapo ni ubaguzi?

Siyo kila alichoandika professor ni sahihi!!! hawezi pita humu bila changamoto! kamwambie huyo professor atoe maelezo kwa hayo maoni yangu!! kifupi hatuwezi chukua wapiga debe wa mbagala wakasimamie Tanesco! hata wao hawatakuelewa! watakupuuza!

kwa sababu hawajawahi kuota kufanya hiyo kazi!! lkn je wanaipenda? wana mikakati yenye tija? wana maoni mazuri kuhusu Tanesco? Huyo professor wako akumbuke kuwa sisi tuna chagua mtu kutokana na vipaji vyao, upenzi, uwezonk, wa kufanya ile kazi!

yaani huyo mzee ana taka tuweke nani sasa km siyo hao? wafugaji au?? hizi Siasa za nyerere hizi, hata mwenyewe alizistukia kitambo sana!
 
his is not fair ,hii nchi sio yenu pekee yenu, hii nchi ni yetu sote, na nyinyi Hamna hati miliki ya milemile huu ni ubull sheet,2025 soon itafika tuone hii system
Wewe Muongo!! hii ni fair!! ndo ilivo hata hukooo mbinguni kwa Baba, Malaika wa kawaida hawezi lingana na wale maarufu km Maserafi na Makerubi, Hawa Malaika ndo wenyewe wanakula good time ever! kulikomalaika wote!

shetani na kundi lake lenye tamaa km hii yako ya kusema eti ''siyo fair''!! aliingiwa na tamaa ya kupatamani palee mahali pa Mungu, patakatifu pa patakatifu hakupata hata kiduchu, mpaka leo anapalilia! zimebaki ni hasira tuuu! kwetu sisi!

Hata iweje kamwe hamtakaa mfanane woote! eti mle good time! muishi, mvae sawa nk! ndo asili ya binadamu! sahau iyo good time eti wote muwe sawa?!! labda uwe na tamaa zako tu za kutaka nafasi, kwa kutumia mgongo wa umma!

lkn ukiidai kwa nguvu saaana utakufa tu km Maalimu Seif! miaka yote aliutaka u rais lkn hamna kitu aliambulia umakamu nao hakufaidi, dogo Mwinyi ni km aliokota embedodo tu! Oginga odinga anazeeka sasa huyo hapo!!

Nina mifano mingi ya watu km weye Savimbi akiwa mmoja wapo!!! watu wa aina yako ndo waleee wanao ingia vitani kudai haki km vipofu! mara nyingi mnatumiwaga kufanikisha malengo ya wenye maono! halafu mnapambwa kwa majina ya ushujaa!

Tuliza mshono wenye meno wale kenge weee! wanajua jinsi yakukutuliza sasa endelea uone si unamjua Ben saa nane, haya yangu ni hayo!
 
Wewe ni mtu wa ajabu, I think nyinyi ndio mnakula tozo zetu, aingii akilini unaikingia kifua kama bullet proof, iv kwa mawazo ya kawaida huyu mwananchi wa kawaida anayepambana atoke kimaisha inamaana mnataka abaki ivyoivyo au nyinyi ni wateule??,this is not fair ,hii nchi sio yenu pekee yenu, hii nchi ni yetu sote, na nyinyi Hamna hati miliki ya milemile huu ni ubull sheet,2025 soon itafika tuone hii system itaperform, ila nakutabiria umeme utakuwa unakatika Mara mbili per day kwa siku za usoni,cost ya umeme itapanda na uchumi wa nchi utacollapse soon as possible ni wakati tu
Soma mtiririko wa hoja zote kwanza ndio utaelewa hoja yangu. usisome reply kabla hujaona mjadala umetokea wapi hadi kufika hapo.
 
Yes siku zote expansionary monetary policy inainua uchumi sababu inachochea uchumi zaidi. Kama ni kweli Trillion 5 zitaingizwa kwa uchumi then itasaidia kuinua biashara na mitaji ya benki hivyo ajira kuongezeka.

JPM yeye alitaka serikali ifanye biashara mfano majengo ya serikali ipewe TBA, Bima ya taasisi za umma ziende NIC, pesa za taasisi za umma zikae BOT hayo matrillion yote yakiwa diverted kutoka private sector ulidhani faida yake ni nini??

Jamani serikali imeajiri watumishi kma laki 7 pekee waliobaki wote wapo private sector sasa ukiinyima fedha hku bado unadai kodi kwa makadirio makubwa unategemea nini??

Tukiacha ushabiki tukaenda kisomi JPM alikua anaua uchumi huu mngekuja kushtuka huko 2025!!
Kwa sehemu umeelezea vema , lakini nikuulize je unaonaje mwitikio wa ulipajikodi wakati ule ukilinganisha na sasa?

Je kuna kuimarika zaidi au kurudi nyuma?

Je athari yake kiuchumi yaweza kuwa ipi na kuanza kuonekana baada ya muda gani?
Makusanyo yes yatashuka maana makadirio yatakua ya chini na haitotumika nguvu lakini kiuchumi ukitaka kupata million 1 lazima ukubali urisk kupoteza laki 5!!

Mfano uchumi ulipoporomoka US ile 2008 serikali ilikopesha taasisi kubwa mabilion kwa muono kwamba zikisimama tena watazikata kodi nyingi kama kawaida kuliko zife alafu ukose vyote.

Sasa JPM alikua anapata kodi nyingi ila kwa kampuni zile zile ambazo zilikua zinajifia tu. Sasa ukisacrifice mapato ya muda mfupi ili kampuni mpya hta 1000 zifunguliwe trust me ajira mpya zikitengenezwa utakata PAYE na Income tax nyingi kuliko hata kipindi cha JPM.

Cha msingi ni kuhakikisha tu kweli sera itazaa uwekezaji mpya ili hta mapato yakishuka ni kwa muda mfupi tu ili kuzalisha ajira mpya zitakazoleta matrillion ya kodi baadae.

So kukujibu ni kwamba madhara yatakua muda mfupi 2021-23 na ndio maana tozo zimeletwa kucover gap. Ila should it work kuanzia 2025 tutaona matunda ya sera za expansionary monetary policy
KHM 1995
 
Wewe Muongo!! hii ni fair!! ndo ilivo hata hukooo mbinguni kwa Baba, Malaika wa kawaida hawezi lingana na wale maarufu km Maserafi na Makerubi, Hawa Malaika ndo wenyewe wanakula good time ever! kulikomalaika wote!

shetani na kundi lake lenye tamaa km hii yako ya kusema eti ''siyo fair''!! aliingiwa na tamaa ya kupatamani palee mahali pa Mungu, patakatifu pa patakatifu hakupata hata kiduchu, mpaka leo anapalilia! zimebaki ni hasira tuuu! kwetu sisi!

Hata iweje kamwe hamtakaa mfanane woote! eti mle good time! muishi, mvae sawa nk! ndo asili ya binadamu! sahau iyo good time eti wote muwe sawa?!! labda uwe na tamaa zako tu za kutaka nafasi, kwa kutumia mgongo wa umma!

lkn ukiidai kwa nguvu saaana utakufa tu km Maalimu Seif! miaka yote aliutaka u rais lkn hamna kitu aliambulia umakamu nao hakufaidi, dogo Mwinyi ni km aliokota embedodo tu! Oginga odinga anazeeka sasa huyo hapo!!

Nina mifano mingi ya watu km weye Savimbi akiwa mmoja wapo!!! watu wa aina yako ndo waleee wanao ingia vitani kudai haki km vipofu! mara nyingi mnatumiwaga kufanikisha malengo ya wenye maono! halafu mnapambwa kwa majina ya ushujaa!

Tuliza mshono wenye meno wale kenge weee! wanajua jinsi yakukutuliza sasa endelea uone si unamjua Ben saa nane, haya yangu ni hayo!
Nyinyi endeleeni na uonevu hii nchi ipo siku mtaikimbia kwa aibu kubwa ,mtatamani wakati urudi nyuma lakin hautarudi nyuma, hii nchi haiwezekani watu wachache mjione mnahatimiliki ya kuimiliki nchi hii milele, huu utakuwa ujinga wa level ya PhD
 
Wewe ni mtu wa ajabu, I think nyinyi ndio mnakula tozo zetu, aingii akilini unaikingia kifua kama bullet proof, iv kwa mawazo ya kawaida huyu mwananchi wa kawaida anayepambana atoke kimaisha inamaana mnataka abaki ivyoivyo au nyinyi ni wateule??,this is not fair ,hii nchi sio yenu pekee yenu, hii nchi ni yetu sote, na nyinyi Hamna hati miliki ya milemile huu ni ubull sheet,2025 soon itafika tuone hii system itaperform, ila nakutabiria umeme utakuwa unakatika Mara mbili per day kwa siku za usoni,cost ya umeme itapanda na uchumi wa nchi utacollapse soon as possible ni wakati tu
Kwa mawazo yako unaamini umeme usipokuwa wa uhakika ni anaeathirika ni wewe tu unae muliki bulb mbili. Unaamini kabisa Abubakar Bakhresa anaweza kula njama ili umeme usiwe wa uhakika alafu viwanda vyao vitazalishaje?.
 
Majizi yote kama haya yaliyoteuliwa ,,yaliwahi kuuza TTCL na hera zake zikaanzisha celtel ambapo baadaye jamaaa akaenda kuwa ceo wa celtel na ttcl unqkufa kifo cha mende..hao wauawe tu hata mimi nigewauq tu..so kulqlqmika kwako hakusaidii..kwanza magufuri alitqkiwa kiwapoga shaba majizi yote
Mungu mkubwa, kabla Magufuli hajawapiga risasi wasio na hatia, ameanza yeye kufa. Ndiyo ujuwe Mungu hazihakiwi
 
Kwa mawazo yako unaamini umeme usipokuwa wa uhakika ni anaeathirika ni wewe tu unae muliki bulb mbili. Unaamini kabisa Abubakar Bakhresa anaweza kula njama ili umeme usiwe wa uhakika alafu viwanda vyao vitazalishaje?.
Najua unaongea kishabiki but note "Time will tell you soon", kama umeshindwa kufikilia ndani ya box kwa equation simple basi nje ya box kamwe huwezi fikilia ila fahamu muda ni mwalimu muda ni hakimu ,suburi tu kama abubakar bakhresa ataimalisha hili shirika kama unavyodhani au la
 
Back
Top Bottom