Profesa Safari: Halima na wenzie wanapaswa kukamatwa kwa kuidharau Mahakama

Consultant

JF-Expert Member
Jun 15, 2008
11,401
20,661
Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.

Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama.

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022

21ABA230-8BAB-4C93-A62D-994C5F20AD7A.jpeg
 
Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.

Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268
Kiburi cha Tulia siku likimpasukia wanaomtuma watamwacha peke yake.
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
 
Kwani chadema ndo imewapeleka bungeni?

Jina lako linaakisi mawazo yako. Prof. Safari anazungumzia mtu ambaye analeka kesi kuwa aendelee kuwa alipo na mahakama inasema asiwepo lakini anaendelea kuwepo.

Kuna sehemu yoyote Prof. Safari kataja Chadema. Ungekuwa una hata robo ya uwezo ungejua Chadema ndio iliwafanya wawe Bungeni, labda walipelekwa na mtu mwingine - lakini Chadema ilipotaka watoke wakapeleka kesi mahakamani wakisema wako pale kwa niaba ya Chadema (wakipinga kufukuzwa uanachama!)

Pathetic!
 
Maisha Ni Vita babu .hayo Ni maisha ya kisiasa Ni akili yako na ushapu wako kungamua wapi utapata pesa kwa mbinu zozote ulitaka Nani waende bungeni

Hata hao wa bunge wa ccm wengi wako pale isivyo halali hili hawalisemi hkn mbunge pale hata tulia Yuko pale isivyo halali jaribu kulitazama hili kwa wabunge wengi jins walivyo ingia kimazabe so wakina mdee wapambane maisha Ni vita
Hizi ndio akili za wachovu wa hili taifa.
 
Hatua ya wabunge 19 kuendelea kuhudhuria vikao vya Bunge licha ya maombi yao kupinga kufukuzwa uanachama na CHADEMA kutupiliwa mbali na Mahakama ni aibu na fedheha kwa Bunge.

Prof. Safari anasema hawa watu wanapaswa kukamatwa kwa kudharau uamuzi wa Mahakama

Chanzo: Gazeti la Raia Mwema, Ijumaa 24 June 2022View attachment 2270268
Speaker: Tulia = Thug; hili ni bunge la wahuni, siyo la nchi, aibu kubwa
 
Back
Top Bottom