Profesa Safari: CHADEMA waliniomba nijiunge nao

Unajua watu wengine wanaonyesha uwezo mdogo sana wa kufikiria. Wanachama wote wapya huwa wanaombwa kuingia kwenye chama fulani, wakati wa kampeni mgombea pia anaomba kupigiwa kura pia, sio kulazimisha ni KUOMBA, hata Obama alikuwa anaomba watu wampigie kura

Hakuna mtu anayeombwa kuwa mwanachama, watu wanaelezwa sera za chama halafu wanaona kama wanakubaliana nazo. Hapa huyu profesa kajiunga baada ya kuombwa na mbaya zaidi akaweka condition ya kujiunga. Wewe ndio unaonesha huwezi kutumia akili yako vizuri.
 
Hakuna mtu anayeombwa kuwa mwanachama, watu wanaelezwa sera za chama halafu wanaona kama wanakubaliana nazo. Hapa huyu profesa kajiunga baada ya kuombwa na mbaya zaidi akaweka condition ya kujiunga. Wewe ndio unaonesha huwezi kutumia akili yako vizuri.

Basi tuseme hakuna kuomba, bali ni kununulia watu kofia za kijani na kanga
 
Vipi wewe? ndivyo siasa inavyotaka,uombe ,shawishi,pigania,rai!wewe ulitakaje wamhonge,wa mtishe,wamlazimishe?kama mimi CDM kwa hoja ,sera zao wamenishawishi.na ukifika wakati wa ku vote wataniomba ni wa suport kwa kuwa nina imani nao ,there !simple logic!
 
CHADEMA kama taasisi na chama cha siasa kinatoa mwaliko kila leo kwa wananchi wazalendo, wenye mapenzi mema na Tanzania kujiunga nacho kwa njia mbalimbali.

Hivyo hiyo kauli ni ya kawaida sana kama utazingatia hadhi (calibre) ya Prof. Safari. In fact hata waasisi wa CHADEMA kuna waliowaomba wenzao kujiunga nao sembuse wanachama?
 
Ata mimi raia wa kawaida niliombwa kujiunga na CCM CDM CUF TLP ETC atlast uamuzi ni wangu
Ni utaratibu wa kawaida mtu anakumwagia sera then mwshowe Tunaomba ujiunge na chama chetu
 
Yaani Professor mzima mpaka aombwe? Inamaana alisoma sera za CHADEMA na hakuzielewa mpaka aombwe? Wasiwasi wangu ni kuwa huyu jamaa hajioni kama mwanaCHADEMA na ndio maana anadiriki kusema 'chama chao' na sio chama chetu.

Hivi elimu yako ni level gani mkuu?
Kwanini alisema waliniomba nijiunge na chama chao? Kumbuka wakati wanamuomba kujiunga, cdm hakikuwa chama chake, kilikuwa chama chao, sentensi kaitumia kuelezea kilichosemwa kabla hajajiunga na CHADEMA.
 
By the way kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Wenye sifa kubwa na waliofanikisha mambo katika majukumu yao wanatafutwa. Kama wewe hujawahi kuwa "recommended" mahali fulani, inabidi ijitafakari. Ila kama hujawa "recommended" kwa ajili ya umri, usiwe na wasi, endelea kupandisha CV yako tu.
 
Zikirudi tutapata, au ndiyo mtagawana nyie kina safari, mbowe na wake zenu? Nipo tu mimi na Maisha Yangu Naganga Kivyangu. Hata zikirudi walalahoi hatuambulii kitu.
 
Hakuna mtu anayeombwa kuwa mwanachama, watu wanaelezwa sera za chama halafu wanaona kama wanakubaliana nazo. Hapa huyu profesa kajiunga baada ya kuombwa na mbaya zaidi akaweka condition ya kujiunga. Wewe ndio unaonesha huwezi kutumia akili yako vizuri.

hivi unavyomtongoza mwanamke,si unampa sera kwanza,halafu mwishoni unamuomba awe wako au?
 
Ana akili ndio maana CDM ilimuhitaji, Si ajabu kwa mburula kushangaa chama kinapotafuta vichwa. Nyie bakini na akina Nape.
 
Hatuhitaji kujipambanua kichama chama ili kupigania haki na maslahi ya nchi, ni wajibu wa kila mtu. CHADEMA wanaonesha njia tu, wapiganaji ni wananchi
 
Hivi Prof. Safari haoni madhaifu mengine kwenye serikali iliyo madarakani zaidi ya kuuziana nyumba?

Kila wakati anapopata muda wa kuzungumza lazima aibue hili swala. Sawa, inawezekana kulkuwa na udhaifu lakini kwa nini asisemee pia na matatizo mengine makubwa zaidi yanayoathiri wananch?!
 
Back
Top Bottom