mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
huyu mzee hawamuwezi kamwe ni msema kweli na mcha Mungu si wale Mchwa
Kitu kimoja alichopungukiwa CAG ni HEKIMA na KUNYAMAZA. Ni mropokaji mno.
We think too small, like the frog at the bottom of the well. He thinks the sky is only as big as the top of the well. If he surfaced, he would have an entirely different view.
Big no Prof wala asibow ati asalimu kwa kuachia ngazi. Kinachomweka offisini sio njaa, bali uzalendo kwa nchi yake. Nyie mnaojifanya kumponda ndio wale wale wezi pamoja na mawakala wenu wazee wa kugonga meza. Mlitegemea mkimbagaza atajitoa, sasa imebackfire he is staying. Soon tutasikia maandamano kutoka Lumumba ya kupongeza bunge maana hamkawii nyie.Proffessor vip tena...naamin una mpunga wa kutosha na uzee umeenda sana .kama vip jikate tuliunge mtaani, tuanze kukimbizan na TRA, tatizo lenu mmezoea kazi za ofisi na kukalisha vitambi kwenye viti vya kuzunguka, alaf hujajua kuwa aliyekuajir ni mwanasiasa na lazima atakupelekesha tuu utake ustake, na wewe ndo utakayeumia....Muulize shetani baada ya kukosana na mwajir wake nini kilimpata..mpaka leo tuko naye tandahimba huku
Mwendawazimu ni wewe Bosi wa CAG ni bunge maana ndilo linalomtuma kazi,Rais anateua tu CAG,, Bunge linasimamia serikali ambayo inakuwa audited na CAG,ripoti anakabidhiwa rais(serikali) ili ikabidhi kwa mamlaka inayoisimamia( bunge)
Ila kwa hili assad kaingia kwenye 18 hachomoi
... Ghafla huyu mzee nimetokea kumkubali saana, napenda saana watu wanaojitambua ma kuheshimu taaluma yao na kujiheshimu wao kama wao pale ambapo ukandamizi unapoletwa kwao.
Hatuna CAG up to now...kiti kipo wazi...hatuwez kuwa na CAG mropokaji, anashambulia mhimili wa bunge kweny media alaf wajinga fulani wanapiga makofi....kwa nin ashambulie only bunge? ina mana sehemu zingine ni dhabiti ispokuwa bunge? vip kuhusu mahakama.. kiufupi tu huyo anatakiwa afukuzwe kazi
Bunge halikosoi taarifa ya CAG; hukosoa hao waliotumia fedha za umma tofauti na ilivyokusudiwa na kupelekea taarifa ya CAG iwe hivyo ilivyo. Kwa taarifa yako hao siyo wengine bali ni serikali. Haijapata kutokea serikali kuwa na kinyongo na CAG kwa sababu kazi yake ni "noble". Kazi ya kulinda fedha na rasilmali za watu wanyonge ni takatifu. Mtu mwenye dhamira njema na unyenyekevu wa moyo hawezi kuwa na kinyongo na mtu mwenye dhamana hiyo hasa anapoonekana kufanya hiyo kazi kwa uzalendo na utaalam mkubwa. Tatizo lililopo mbele yetu sasa ni kwamba tunayo serikali ambayo inaamini haikosei na mamlaka yake hata kwenye matumizi ya fedha za umma haina mipaka! Incredible!
Sasa uadilifu wa jiwe ni upi kama anaagiza mpaka bunge lisijadili lipoti ya mkaguzi mkuu wa hesbu za serikali huyu mwenyekiti ni bala Tanzania.
Mawazo yako sawa kabisa na wale KK! Tulidhani ni KKK, kumbe hata ile ya kuhesabu nasikia kwao si lazima!Wewe ndo hujui. CAG kaajiriwa na wanasiasa ndio maana ripoti yake anawapelekea wanasiasa ili waijadili na kuwaagiza mawaziri wafanyie kazi. Kwa taarifa yako tu hao wanasiasa hawamuamini hata huyo CAG mwenyewe ndio maana wao darasa la saba wanajadiri taarifa ya CAG msomi na kuikosoa kabla hawajamuagiza waziri afanyie kazi.
Nadhani kiongozi anahitaji kutafakali sana kabla ya kuhumu. Hasira na hamaki sio dalili ya kiongozi bora. Ukikasirika na kuhamaki unawesa kushitukia umempiga mtu fimbo ya kichwa na kusababisha kifo Kwa vitu hata vya kawaida tuHata woga kupitiliza na kuona kila wazo mbadala linastahili kupingwa na kufikiria adhabu kwa aliyelitoa ni Udhaifu mkubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app