Hapo ndio akili ya mtz ilipolala Ni ngumu kujikwamua kiuchumi km tunatumia muda na akili nyingi kudeal na sujective issuesNafikiri watz labda tujaribu zaidi, kuelekeza nguvu zetu nyingi kwenye issues ambazo ni 'objective' 'kwa maendeleo, na jinsi ya kutatua changamoto than kuwa 'too subjective' tumechelewa sana.
Nyuzi nyingi humu jf Ni za kujadili watu badala ya kuwa innovatives ktk technical na economical agendas.