Profesa Muhongo kugombea ubunge Musoma Vijijini

mgeni wenu

JF-Expert Member
Jan 2, 2012
3,664
1,730
Baada ya hali ya udhamini kuwa ngumu na kushauriwa atafute political base kwanza . Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo atagombea Ubunge kupitia CCM Musoma vijijini na Nimrod Mkono atagombea Butiama.

Mchambuzi wa tetesi hizi alipojaribu kuzungumza na msemaji wake bwana Elias Mabuba Alikiri kuwa "ni kweli Muhongo hana misingi ya kisiasa kabisa, imebidi tuingie kwenye u Rais kutafuta foundation ya political base ili agombee ubunge.

Jimbo La Musoma Vijijini ndipo alipozaliwa na kukulia Musoma Mjini na baadae kuhamia Ujerumani na South Africa hadi alipoteuliwa Kuja kuwa waziri wa nishati na madini.

Anakuja kuwa waziri Tena ili kumaliza ahadi alizoacha huko nyuma.

Tukutane October.
 
Kwao hawamtaki hata barabara ya kutoka mjini hadi kwao ni mbovu na hajawahi kufika kwa kwa miaka leo hii anataka kutapeli watu.Ukawa wapo na wamejipanga mwanzo mwisho yule mturutumbi Mkono kakimbia jimbo.

swissme
 
Mchakato wa upembuzi yakinifu upo mbioni kuskia kilio cha wananchi kuhusu barabara hiyo
 
Mchakato wa upembuzi yakinifu upo mbioni kuskia kilio cha wananchi kuhusu barabara hiyo

Jimbo la Musoma vijijini tunae mbunge wetu tiyari, Antony John Mtaka. Kijana mchapakazi ,mwadilifu na mkombozi kwa wana wa nyanja wote. Hatuna tatizo na Prof Muhongo, lakini sahihi kwake kugombea ni Musoma mjini ambako nako tunamhitaji zaidi. Go Antony go, go Musoma vijijini inakuhitaji sana.
 
Baada ya hali ya udhamini kuwa ngumu na kushauriwa atafute political base kwanza . Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo atagombea Ubunge kupitia CCM Musoma vijijini na Nimrod Mkono atagombea Butiama.

Mchambuzi wa tetesi hizi alipojaribu kuzungumza na msemaji wake bwana Elias Mabuba Alikiri kuwa "ni kweli Muhongo hana misingi ya kisiasa kabisa, imebidi tuingie kwenye u Rais kutafuta foundation ya political base ili agombee ubunge.

Jimbo La Musoma Vijijini ndipo alipozaliwa na kukulia Musoma Mjini na baadae kuhamia Ujerumani na South Africa hadi alipoteuliwa Kuja kuwa waziri wa nishati na madini.

Anakuja kuwa waziri Tena ili kumaliza ahadi alizoacha huko nyuma.

Tukutane October.

Ukawa hawawezi Kumpa uwaziri huyo kwani ni fisadi
 
Jimbo la Musoma vijijini tunae mbunge wetu tiyari, Antony John Mtaka. Kijana mchapakazi ,mwadilifu na mkombozi kwa wana wa nyanja wote. Hatuna tatizo na Prof Muhongo, lakini sahihi kwake kugombea ni Musoma mjini ambako nako tunamhitaji zaidi. Go Antony go, go Musoma vijijini inakuhitaji sana.

Musoma mjini hilo jimbo ccm wanaliona kama kituo cha police,kwa jinsi lilivyoshikwa na kiboko nyerere
 
Baada ya hali ya udhamini kuwa ngumu na kushauriwa atafute political base kwanza . Aliyekuwa waziri wa nishati na madini prof. Muhongo atagombea Ubunge kupitia CCM Musoma vijijini na Nimrod Mkono atagombea Butiama.

Mchambuzi wa tetesi hizi alipojaribu kuzungumza na msemaji wake bwana Elias Mabuba Alikiri kuwa "ni kweli Muhongo hana misingi ya kisiasa kabisa, imebidi tuingie kwenye u Rais kutafuta foundation ya political base ili agombee ubunge.

Jimbo La Musoma Vijijini ndipo alipozaliwa na kukulia Musoma Mjini na baadae kuhamia Ujerumani na South Africa hadi alipoteuliwa Kuja kuwa waziri wa nishati na madini.

Anakuja kuwa waziri Tena ili kumaliza ahadi alizoacha huko nyuma.

Tukutane October.

Loh! ameshajipangia kuwa waziri wa nishati tena? makubwa
 
Kwao hawamtaki hata barabara ya kutoka mjini hadi kwao ni mbovu na hajawahi kufika kwa kwa miaka leo hii anataka kutapeli watu.Ukawa wapo na wamejipanga mwanzo mwisho yule mturutumbi Mkono kakimbia jimbo.

swissme

Mbunge wa Musoma mjini ni Vicent kiboko Joseph Nyerere. Sasa sospeter muhongo unamtuhumu kwa lipi?
Kaangalie alivyo peleka umeme msm vijijini.
 
Muhongo kete ni umeme vijijini mjini Hana kete, maana hata nyumba ya baba yake anaikimbia na kufanya vikao Peninsula hotel...kwa mjini hatopata hata nafasi ndani ya Chama chake maana tycoon Mathayo anaiweza ccm Ila nje kiboko yake ni Chadema
 
Back
Top Bottom