Profesa Muhongo alivyoshiriki kupandisha bei ya umeme

1. Septemba 28 / 2016 alishiriki kikao kilichoshauri mabadiliko ya bei ya umeme kilichowashirikisha Tanesco na Benki ya dunia .

2. Septemba 30 /2016 aliiarifu kwa barua Wizara ya Fedha kuhusu uamuzi na mpango kazi uliofikiwa katika kikao hicho .

3. Desemba 30 / 2016 Ewura inatangaza bei mpya za umeme huku ikipandisha kwa 8.5%.

4. Desemba 31 / 2016 anasitisha uamuzi wa Ewura wa kupandisha bei ya umeme KWA MADAI KWAMBA HAKUSHIRIKISHWA.

5. Rais John Magufuli anatengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco , Felchesmi Mramba.

Chanzo - Mwananchi
kwa hiyo, kutokana na ushiriki wake, alitakiwa atumbuliwe!!
 
eb44e3d84343da565214bd1d29ad5e0b.jpg
bc5af8ab11529e42530e68e95b9704b5.jpg
 
Tunapoongelea kuhusu uhuru wa kitaasisi, ni pamoja na haya ambayo EWURA na TANESCO wamefanyiwa na Prof. MUONGO? Hizi taasisi zina bodi zao ambazo ni full covered kutoka kwa rais na waziri kwa maana ya members of the board ni appointees wa Rais na waziri mwenye dhamana.
Kwahiyo, wanapofanya decision kwa mujibu wa sheria inabidi waheshimiwe. Ni kweli kila mtanzania asingependa umeme upande bei....But our concern is to question the procedure ambazo vyombo ya dola vinaingilia bila mpangilio na kuathiri ajira za watanzania wenzetu unfairly. kama nchi yetu ni ya kidemokrasia we have to go beyond periodic election only but also letting our institutions autonomous.
 
TULIWAAMBIA KUHUSU MAGAZETI YA KENYA YA MWANANCHI NA CITIZEN YA NAENDELEA NA AJENDA YA KUHUJUMU SERIKALI YA MAGUFULI. Watanzania tuwe macho na Wakenya bado wana hasira za kukosa Mradi wa Bomba la Uganda na adui wao mkubwa aliyewanyang'anya Bomba ni Waziri Muhongo ambae miaka yote amezuia TANESCO na EWURA kupandisha bei ya umeme. Uzushi wa Gazeti le leo la Kenya la Mwananchi ulaaniwe sana.
Leo limekuwa gazeti la Kenya!!!!! Mbona limesajiliwa tz, kama ni hivyo wangelifungia basi. Serikali haihujumiwi na mtu wa taasisi yoyote bali inajihujumu yenyewe. Viongozi wake wamejaa unafiki mwingi , uoga na hawapo huru kufanya maamuzi kwa mujibu wa mamlaka waliyopewa na sheria zinazongoza taasisi hizo.
 
Kuna Mwanachadema anayeweza kunisaidi hapa? Ni kwa nini huyu Waziri mnamchukia sana? kwanza naweza kusema manmchukia kulikoa hata Ngeleja au Yona, sasa bababu ni ipi haswa? Je ni utendaji au binfasi zaidi?
Ni kwa sababu ni mchapa kazi, wanapendaga magarasa yanapovurunda wao humshabikia kwa kumpamba. Ni sawa na JPM, sitegemei chadema na ukawa hii ua Mbowe kumkubali.
 
Yani Chadema ndiyo waliomtuma Muhongo ashiriki vikao vya kupandisha bei ya umeme alafu amtoe kafara Mkurugenzi wa Tanesco??
 
Na zile za escrow alipatamooo anapiga kelele kabisa akajitoa akili na ufahamu kuwa sio za serikali......akapata chake!!! Sasa anapambana kukopa zigo kwa wananchi wake!!! Huyu ni mcapakazi sanaa sikia tuuu
Yani Chadema ndiyo waliomtuma Muhongo ashiriki vikao vya kupandisha bei ya umeme alafu amtoe kafara Mkurugenzi wa Tanesco??
 
TULIWAWAAMBIA KUHUSU GAZETI LA MWANANCHI NA HII NDIO TAARIFA TULIYOWAPA, LEO YAMETUMIA JAMAA KASHIBISHWA HELA SASA KAAMUA KUANDIKA ANAVYOJUA

BREAKING NEWS: MFANYAKAZI WA GAZETI LA CITIZEN ALIPWA KUICHAFUA SERIKALI KUHUSU KUPANDA KWA BEI ZA UMEME

Habari tulizozipata hivi punde zinaeleza kuwa wapo baadhi ya wafanyabiadhara na watumishi Wizara ya Nishati na Madini, na TANESCO ambao walitumbuliwa na Prof. Muhongo na hatimaye JPM kuridhia na kumtumbua MKURUGENZI wa TANESCO Eng. Mramba wamejipanga kuichafua Serikali ya JPM. Watu hao wamejipanga kwa kushirikiana na Magazeti ya Citizen na Mwananchi yenye Makao Kuu Kenya wameingia rasmi kwenye Ajenda na Vita ya Tariff ya umeme. Nia ni kulazimisha Serikali ikubali ombi la TANESCO na EWURA kupandisha bei ya umeme.

Pia, Kuna Mwandishi mmoja wa Gazeti la Mwananchi ajulikanae kwa jina la Matandiko Mobile +255 716 186 074 amekuwa akiwapigia simu viongozi wa Serikali akidai ana taarifa muhimu za Serikali Kama vile barua nyeti za Wizara za Nishati & Madini, Wizara ya Fedha & Mipango, Benki ya Dunia akidai amepewa na TANESCO kuwa bei hizo ziliridhiwa na Benki ya Dunia, Mwandishi huyu ameeleza kuwa arazitoa taarifa hizo kwenye magazeti hayo.

Ushauri wangu kwa Serikali hii ya JPM huyu Mtu ni wa kukamatwa na kutoa maelezo wapi amepata hizo taarifa na zina malengo gani kwa Serikali hii ya JPM ambayo sisi sote tunaiona ibafanya kazi karibu na Wananchi wake.

Kama hizo taarifa ziliridhiwa na Benki ya Dunia je hao Tanesco walipeleka kwa Waziri wao? Je hicho Ndio kigezo kilichotumika wao kupewa mkopo na Benki ya Dunia, Je Kama ni kigezo ni kwa nini hawakupeleka bei hiyo kwa Waziri wao au kwa JPM?

Tunajua huyu Mwandishi atakuwa amelipwa na watu ambao wanampiga vita JPM na watashindwa tu. Tunaviomba vyombo vya Dola vianze kazi ya kumfuatilia Mwandishi huyu, haya magazeti yaende Kuandika habari za uchochezi huko Kwao Kenya walikozoea kupigana.

Hata wakileta hizo taarifa tubachojua sisi Wananchi walikataa bei hizo na tulimsikia Waziri wa Nishati na Madini mara kwa mara akieleza kuwa bei ya umeme haiwezi kupanda, hata alivyoulizwa na waandishi wa habari aliwambia kuwa anasubiri aletewe bei hiyo Ndio atoe maoni yake Kama Waziri Mwenye dhamana, na TANESCO kwa kushirikiana na EWURA wakaamua kutangaza bei hizo.

Taarifa zinaeleza hata wakati EWURA wanaamua kutangaza bei Waziri mwenye dhamana na Naibu wake walikuwa ziara za Kikazi mikoani, viongozi wakuu wa nchi nao walikuwa ziara za Kikazi Nje ya DSM, tunachowauliza hawa EWURA nani alikuwa nyuma ya mchezo huo? Je walikuwa wanajiamini nini? Au walikuwa wanataka kumhombanisha na Wananchi wake ambao kimsingi bei hiyo waliikataa kila walipopita.

JPM piga kazi sisi vijana wako wa CCM Tupo nyuma yako tunakusaidia, watu Kama hawa wa magazeti ya Citizen na Mwananchi wasikunyime usingizi, vijana wako wanawafuatilia kwa karibu sana.
Nyie watu mnaotumikia serikali ya awamu hii mna shida kweli, hainingii akilini eti kushindwa kufanya kazi kwa weledi ni kwa sababu mnahujumiwa na magazeti. Kweli mwandishi wa gazeti ndo aisumbue serikali nzima ishindwe kufanya kazi kisa wakenya wanawahujumu.?? Kama mmeshindwa kufanya kazi msimtafute mchawi. Utetezi mnaouleta hapa ni wakitoto sana, eti mnaweka na no ya simu so what?? Ili tumpigie tumuulize au tukamkamate?? Hata hiyo no unaweza ukawa umeisajili mwenyewe uliyeandika haka kahabari uchwara. Kama mnaweza kuongoza nchi hebu chapeni kazi msituletee utetezi wenu usiokuwa na kichwa wala miguu.
 
Kuna Mwanachadema anayeweza kunisaidia hapa? Ni kwa nini huyu Waziri Muhongo mnamchukia sana? Kwanza naweza kusema mnamchukia kuliko hata Ngeleja au Yona, sasa sababu ni ipi haswa? Je ni utendaji au binafsi zaidi?
Ni kwa sababu ni mchapa kazi, wanapendaga magarasa yanapovurunda wao humshabikia kwa kumpamba. Ni sawa na JPM, sitegemei chadema na ukawa hii ua Mbowe kumkubali.
Naona kama vile ni ID ya mtu mmoja, anauliza na kujijibu!
 
Wakati mwingine vijana wa Lumumba tumieni akili japo kidogo, tunajua kweli akili zenu zinashikiliwa kwenye vibuyu hapo lumumba lakini hizo kiduchu mlizobakishiwa ambazo zina wasaidieni msigongwe na magari hapa mjini basi zitendeeni haki. Hivi kwa nini kila watu wenu wakifanya ujinga unaodhihirika mbele ya umma lazima muisingizie Chadema? Ndiyo maana mkulu anawapotezea kwenye teuzi mbali mbali kwani hamna faida yoyote hapa duniani wala mbimguni.
 
TULIWAAMBIA KUHUSU MAGAZETI YA KENYA YA MWANANCHI NA CITIZEN YA NAENDELEA NA AJENDA YA KUHUJUMU SERIKALI YA MAGUFULI. Watanzania tuwe macho na Wakenya bado wana hasira za kukosa Mradi wa Bomba la Uganda na adui wao mkubwa aliyewanyang'anya Bomba ni Waziri Muhongo ambae miaka yote amezuia TANESCO na EWURA kupandisha bei ya umeme. Uzushi wa Gazeti le leo la Kenya la Mwananchi ulaaniwe sana.

Poor argument, hilo gazeti limesajiliwa wapi? akili zingine bhana!
 
Wangetumbuliwa vigogo wa Ewura, Tanesco na board yake kelele zisingekuwa nyingi hivi. Lakini kumtoa kafara MD wa Tanesco ilhali yeye hana mamlaka ya kupanga bei, ndiyo inafanya wachambuzi wa mambo kuchimba ili ukweli uwekwe wazi. Hakuna cha Ukenya hapa, ila kwa uvccm ukweli ukiandikwa kwao wanaona nongwa wakati m/kiti wao kila siku anaimba "msema kweli ni mpenzi wa Mungu".
 
ni ngumu sana kuiamini CCM, watendaji wake na mashabiki wake mpaka pale itakapoleta maendeleo iliyoshindwa kuyaleta toka 1961.....

tukiwa wote tunaiunga mkono CCM kama wewe unavyoiunga mkono nafikiri leo hii tusingekuwa na barabara wala hospitali hata moja...

Moja ya Majukumu ya Prof Muhonga ni kuhakikisha Tanzania inakuwa na umeme wa uhakika kwa kuitumia hiyo hiyo Tanesco, Jukumu lingine la Prof Muhongo ni kuhakikisha mzigo wa malipo ya umeme kwa Mtanzania yanapungua, jukumu lingine ni kuhakikisha gharama na muda wa kuunganisha umeme zinakuwa ndogo na kwa muda, jukumu lingine ni kusambaza umeme nchi nzima, Jukumu lingine ni kuhakikisha hatununui umeme kwa mtu yeyote yule baadala yake tuwe tunauza, Mwisho kabisa kuifanya Tanesco ijiendeshe yenyewe kibiashara na iwe mhimili wa wamapato kwa taifa... AKIYAFANYA HAYO ATAKUWA AMEFANYA KAZI YAKE, mengine blah blah blah tuuuu..
 
Ni bahati mbaya wachangiaji wengi hawajui nani hasa mmiliki wa Mwananch na The Citizen. Kwa taarifa haya magazeti mmiliki wake mkuu ni The Aga Khan Foundation na baadhi ya Watanzania akiwamo Rostam Aziz. Kenya haina hisa zozote ila tu ni Makao makuu ya the Nation Group ambayo ni mali ya Aga Khan.
 
Hivi kwanini ni lazima Muhongo awe Waziri wa nishati na madini na si mwingine yeyote ?
 
TULIWAWAAMBIA KUHUSU GAZETI LA MWANANCHI NA HII NDIO TAARIFA TULIYOWAPA, LEO YAMETUMIA JAMAA KASHIBISHWA HELA SASA KAAMUA KUANDIKA ANAVYOJUA

BREAKING NEWS: MFANYAKAZI WA GAZETI LA CITIZEN ALIPWA KUICHAFUA SERIKALI KUHUSU KUPANDA KWA BEI ZA UMEME

Habari tulizozipata hivi punde zinaeleza kuwa wapo baadhi ya wafanyabiadhara na watumishi Wizara ya Nishati na Madini, na TANESCO ambao walitumbuliwa na Prof. Muhongo na hatimaye JPM kuridhia na kumtumbua MKURUGENZI wa TANESCO Eng. Mramba wamejipanga kuichafua Serikali ya JPM. Watu hao wamejipanga kwa kushirikiana na Magazeti ya Citizen na Mwananchi yenye Makao Kuu Kenya wameingia rasmi kwenye Ajenda na Vita ya Tariff ya umeme. Nia ni kulazimisha Serikali ikubali ombi la TANESCO na EWURA kupandisha bei ya umeme.

Pia, Kuna Mwandishi mmoja wa Gazeti la Mwananchi ajulikanae kwa jina la Matandiko Mobile +255 716 186 074 amekuwa akiwapigia simu viongozi wa Serikali akidai ana taarifa muhimu za Serikali Kama vile barua nyeti za Wizara za Nishati & Madini, Wizara ya Fedha & Mipango, Benki ya Dunia akidai amepewa na TANESCO kuwa bei hizo ziliridhiwa na Benki ya Dunia, Mwandishi huyu ameeleza kuwa arazitoa taarifa hizo kwenye magazeti hayo.

Ushauri wangu kwa Serikali hii ya JPM huyu Mtu ni wa kukamatwa na kutoa maelezo wapi amepata hizo taarifa na zina malengo gani kwa Serikali hii ya JPM ambayo sisi sote tunaiona ibafanya kazi karibu na Wananchi wake.

Kama hizo taarifa ziliridhiwa na Benki ya Dunia je hao Tanesco walipeleka kwa Waziri wao? Je hicho Ndio kigezo kilichotumika wao kupewa mkopo na Benki ya Dunia, Je Kama ni kigezo ni kwa nini hawakupeleka bei hiyo kwa Waziri wao au kwa JPM?

Tunajua huyu Mwandishi atakuwa amelipwa na watu ambao wanampiga vita JPM na watashindwa tu. Tunaviomba vyombo vya Dola vianze kazi ya kumfuatilia Mwandishi huyu, haya magazeti yaende Kuandika habari za uchochezi huko Kwao Kenya walikozoea kupigana.

Hata wakileta hizo taarifa tubachojua sisi Wananchi walikataa bei hizo na tulimsikia Waziri wa Nishati na Madini mara kwa mara akieleza kuwa bei ya umeme haiwezi kupanda, hata alivyoulizwa na waandishi wa habari aliwambia kuwa anasubiri aletewe bei hiyo Ndio atoe maoni yake Kama Waziri Mwenye dhamana, na TANESCO kwa kushirikiana na EWURA wakaamua kutangaza bei hizo.

Taarifa zinaeleza hata wakati EWURA wanaamua kutangaza bei Waziri mwenye dhamana na Naibu wake walikuwa ziara za Kikazi mikoani, viongozi wakuu wa nchi nao walikuwa ziara za Kikazi Nje ya DSM, tunachowauliza hawa EWURA nani alikuwa nyuma ya mchezo huo? Je walikuwa wanajiamini nini? Au walikuwa wanataka kumhombanisha na Wananchi wake ambao kimsingi bei hiyo waliikataa kila walipopita.

JPM piga kazi sisi vijana wako wa CCM Tupo nyuma yako tunakusaidia, watu Kama hawa wa magazeti ya Citizen na Mwananchi wasikunyime usingizi, vijana wako wanawafuatilia kwa karibu sana.
tunashukuru kwa taarifa..
 
Back
Top Bottom