Tena hiki kitengo cha emergency ndo kimekubuhu kwa rushwa. Ikitokea mtaani kwenu kuna shoti ya nguzo ama transfoma hamtarudishiwa huduma mpaka wapewe chochote, mnapiga simu na hawaji hata wakija wanajifanya hawana vifaa, yaani ni wanyanyasaji kupita kiasi. Prof. tunaomba uanze na kitengo hiki ukifumue fumue chote
Muhongo alikuwa anapiga kazi tena freshi tuu..... but wanamtandao...... wa mstaafu ndo walimponza. wait uone jamaa atavopiga kazi chini ya JPM mtakubali mziki wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.