Speaker Ndugai aliiagiza kamati ya Madini ya Bunge ichunguze biashara ya madini ya dhahabu na almasi.
Kamati ilihoji watu akiwemo aliyekuwa waziri wa wizara ya nishati na madini, Simbachawene. Alipoitwa Prof. Muhongo, aligoma kwenda kuhojiwa. Ndipo Speaker akaagiza Polisi imkamate na kumpeleka akahojiwe. Walifanikiwa na wakamuhoji.
Hata kama ninhekuwa ni mimi ningegoma kwenda huko kuhojiwa.
Kwa sababu hakuna maana yoyote kwa sasa na hakuna manufaa yoyote zaidi ya spika kujipendekeza kwa Sizonje.
Kuna wakati Profesa Muhongo anakuwaga na Akili timamu, kama hili la kugoma kujipeleka kuhojiwa na watu wenye Akili fupi fupi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.