Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wapendwa nimemuona mze wetu mmoja kwa wale wa miaka kadhaa alikuwa chuo kikuu cha dar es salaam..prof mshana.majuzi nikiwa training nilikuwa kwenye chuo cha KITS
nikaona jamaa wanangaika kuangalia matokeo mwishoni nikaenda kuchek kama kawa supp wimbo wa taifa hamad sikuona disco..mwisho nikaona jina la prof mshana aaaahhh moyo uliburudika sana nikasema inapendeza kuona watu waliokuwa vyema wakitumika rwanda na kuheshimika...nikajaribu kumuuliza jamaa mmoja akasema hiyo jamaa ni kichwa hata kumpata shida ..nkamwambia safi sana kama mjuavyo mtanzania nikaruka upande wa pili nkamwona mze wetu nilifuurahishwa sana
sijaajua chuo alisaafu ama lah
Mungu akubariki uko uliko mzee mshana
nikaona jamaa wanangaika kuangalia matokeo mwishoni nikaenda kuchek kama kawa supp wimbo wa taifa hamad sikuona disco..mwisho nikaona jina la prof mshana aaaahhh moyo uliburudika sana nikasema inapendeza kuona watu waliokuwa vyema wakitumika rwanda na kuheshimika...nikajaribu kumuuliza jamaa mmoja akasema hiyo jamaa ni kichwa hata kumpata shida ..nkamwambia safi sana kama mjuavyo mtanzania nikaruka upande wa pili nkamwona mze wetu nilifuurahishwa sana
sijaajua chuo alisaafu ama lah
Mungu akubariki uko uliko mzee mshana