mwana wa mtemi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 374
- 204
Wakuu baada ya Mwalim Seif kutangaza nia ya kuwania Urais Zanzibar, ni dhahiri shahiri Profesa Mbarawa atapita kwa kishindo kikubwa! Prof amezidi kuipaisha nyota yake katika utendaji wenye mafanikio makubwa kwa Wizara alizosimamia zenye kuhudumia Watanzania zaidi ya 58+ Million!
Kwa Zanzibar msingi alioujenga Dkt Shein hakika umepata mjenzi wa kuta zake!
Tusubiri mchakato upite salama!
Kwa Zanzibar msingi alioujenga Dkt Shein hakika umepata mjenzi wa kuta zake!
Tusubiri mchakato upite salama!