Profesa Mark James Mwandosya hakula kiapo cha utii katika zoezi la kuapa mawaziri pale ikulu?

Apr 30, 2012
21
7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.JAKAYA MRISHO KIKWETE amewaapisha Mawazri wapya ambao aliwateua siku ya Ijumaaa katika Baraza Jipya la Mawaziri.

Miongoni mwa Mawaziri wapya yupo Mheshimiwa Pro.Mark Jame Mwandosya ambaye alkuwa waziri wa maji lakini safari hii amekuwa ni Waziri asiye kuwa na wizara maalumu katika ofisi ya Rais.

Je katika Sherehe za kula viapo hii leo pale Ikulu huyu Mheshimiwa alikuwepo na ameapa???? kwana last time ilisemekana yupo India ambako alirudi kuendelea kupata Matibabu.

Mwenye uwezo wa kuthibitisha tunaomba hapa!!
 
Bado anaumwa, amepewa ulaji ili aendele kuzitafuna kodi za Watanganyika. Kwani ulikuwa hujui kuwa uongozi wa Tanganyika wanapeana kishikaji
 
Aliogopa kumpa mshtuko angetangaza kumtoa. Huenda hali yake ingekuwa mbaya zaidi. Ametumia busara kuendelea kumpa mshahara na heshima ya uwaziri lakini bila portfolio. Binafsi nimeona busara nzuri.
 
ataapa online...

Tutakuwa tume-advance katika e-governance! Hii nauhakika hatujaifikia maana hata Rais angetuma maamuzi yake akiwa Brazil online kwa Mtoto wa Mkulima juu ya MAWAZIRI WEXI!
 
ataapa online...
Ikulu wale mpaka leo bado wanatumia domain za Yahoo, watahitaji msaada ku install Skype ya kumwapishia Mwandosya from India.

Anyhow, Rais anasema hakutaka kuongeza ukubwa wa Baraza lakini ana nafasi ya Waziri Asiye na Shughuli Maaalum Ofisi ya Rais, height of hypocrisy.
 
waziri asiye na wizara anaapa ili afanye kazi gani? Yeye kazi yake ni kusoma magazeti tu. Lakini pia inaweza kuwa ni njia mbadala ya kumuongezea msongo wa mawazo.
 
Back
Top Bottom