Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
Profesa Maathai afariki dunia
Mwanaharakati wa mazingira, mtetezi wa haki za wanawake na mshindi wa tuzo ya Noble Profesa Wangari Maathai afariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 baada ya kuugua saratani.
Chanzo: BBC Swahili - Habari - Profesa Maathai afariki dunia
Kazi yake ilitambulika kimataifa na kumfanya maarufu kote ulimwenguni ambapo alijulikana pia na watu mashuhuri
Mwanaharakati wa mazingira, mtetezi wa haki za wanawake na mshindi wa tuzo ya Noble Profesa Wangari Maathai afariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 baada ya kuugua saratani.
Chanzo: BBC Swahili - Habari - Profesa Maathai afariki dunia