Profesa Lumumba abebwa mzobemzobe na kupandishwa ndege kurudishwa Kenya, kabla ya kutoa mhadhara kuhusu uhusiano wa China na Zambia.

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,397
1539350854012.png

Profesa Patrick Lumumba

Profesa Lumumba alikuwa ametua mjini Lusaka pale idara ya uhamiaji ilipomkatalia kuingia nchini humo na kumrudisha kwenye ndege ya kurudi Nairobi.

Sababu zilizotolewa za kukataliwa kuingia nchini humo ni za kiusalama.

Idara ya uuamiaji nchini humo inafanya kazi zake chini ya kitengo cha usalama cha ikulu ya raisi Lungu.

Profesa Lumumba alikuwa atoe mhadhara juu ya mahusiano ya China na Africa au China -Africa Relation kwenye chou kikuu cha Lusaka nchini humo siku ya jumamosi.

Lumumba ni mpinzani mkubwa wa zoezi linaloendelea la China kuuziwa mali za umma za nchi hiyo na kuita zoezi hilo ukoloni mamboleo.

===========================================================================

The Council of Churches in Zambia, CCZ, has slammed government over the decision to detain and deport famed Kenyan lawyer and pan-Africanist Professor Patrick Lumumba.

Local news portal, Mwabantu quoted CCZ General Secretary, Fr Emmanuel Chikoya, as saying the act was condemnable especially for a renowned person who had been formally invited to share his ideas.

According to him, the ruling Patriotic Front, PF, led by Edgar Lungu was becoming notorious for muzzling dissenting voices and with that giving Zambia a bad name despite years of being a safe haven for peace in the southern Africa region.

He also pointed out a series of instances that showed that lest a foreigner sings PF’s praises, he/she was not welcomed into the country.

Government spokesperson, Dora Siliya confirmed the deportation of PLO Lumumba with the reason that it was due to security considerations.

Lumumba was due to deliver a public lecture on China – Africa relations last Saturday at a university in Lusaka but he was sent back upon arrival at the Kenneth Kaunda International Airport, KKIA.

He is a known advocate against what many observers have called a recolonization of the continent by China with unrealistic loans. Zambian president has slammed people he says are peddling reckless propaganda against the country’s deals with China.

Earlier this week, the state-owned newspaper caused social media outrage after it published a top story in two languages – the usual English and Chinese. The information minister said it was part of plans to boost readership and advertisements.

Sources: African news outlets
 
Back
Top Bottom